marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Deneme Bonusu

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

jupiterbahis

sweet bonanza oyna

Featured Kitaifa

WANANCHI WAASWA KUTOA TAARIFA ZA KUFICHUA UKATILI WA KIJINSIA UNAOENDELEA KATIKA JAMII

Written by Alex Sonna

Na Eva Godwin – Dodoma

TAASISI ya Kituo Cha Msaada Wa Sheria Kwa Wanawake (WLAC) imeiasa  Jamii kuwa na ushirikiano wa kutoa  taarifa za kufichua ukatili wa kijinsia unaoendelea katika maeneo mbalimbali 

Wakili wa kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Abia Richard akizungumza na Mzalendo blog leo Septemba 12, 2022 kwenye wiki ya maonesho ya maadhimisho ya Miaka 20 ya Tume ya Haki za Binadamu na Utaswala bora yanayofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete ambapo Taasisi mbalimbali za Msaada wa sheria zimeshiriki Jijini Dodoma.

Amesema Jamii inapaswa kuwa mstari wa mbele katika kupaza sauti kwa kufichua ukatili hasa kwa wale Watu wanaoficha ukatili unaoendelea katika Jamii zetu.

“Jamii inatakiwa kuwa msaada kabisa katika kutoa taarifa za ukatili wa kijinsia kwa wanawake na Jamii isipochukua hatua sisi tutashindwa kutatua hizi shida
Kama Jamii yenyewe ikifumbia macho huu ukatili unaoendelea kwenye Jamii zetu hivi vitendo havitaweza kukoma wala kuisha, tusiofie kupoteza ndugu au wenzi wetu kwa kuficha hivi vitendo vya kikatili”, amesema

” Jamii hionyeshe ushirikiano kwa kupaza sauti zao kwenye vyombo husika, kuna mwingine anashindwa kutoa taarifa kwa kuhofia labda akijulikana itamletea shida, lakini pale ambapo unakaa kimya ndipo unaendelea kulikuza tatizo na mwisho wa siku ndio madhara makubwa yanatokea”. Amesema Wakili Richard

Aidha Amesema wao kama taasisi zisizo za kiserikali pia wamekuwa wakikutana na changamoto mbalimbali katika kujitahidi kufikisha msaada kwenye jamii .

“Moja ya changamoto ni utekelezaji katika kesi unaweza ukakuta Wakili amefanya kesi imeisha kwa wakati na hukumu imeenda kwa wakati lakini mteja kupata kile ambacho kimeamriwa kwenye hukumu inakuwa inachukua muda mrefu sana ambapo unakuta sasa mteja anasubiri kwa muda huo mrefu kusubiri haki yake, na haki iliyocheleweshwa ni sawasawa na haki iliyonyimwa”, amesema

“Katika kuendelea kuelimisha jamii juu ya sheria na haki za binadamu ni fedha kwasababu sisi ni taasisi binafsi hivyo tunategemea wadhamini watusaidie tuweze kuendelea na majukumu, kwasababu kilakitu kinategemea fedha kun kuandaa semina na mafunzo mbalimbali kuhusu sheria na haki za binadamu, kutoa machapisho mbalimbali, kufanya utafiti na kutumia matokeo ya tafiti hizo kama zana na ushawishi hivi vyote vinategemea fedha na huduma zinakuwa zinalegalega kwa kuwa na changamoto hiyo”. Amesema Richard

Ameongezea kwa kutoa wito kwa vyombo vya sheria viweze kuhakikisha vinatoa haki kwa mapema kwa utekelezaji wa haraka na haki iwe sawa kwa sawa kwa pande zote mbili.

” Nipende tu kutoa wito kwa vyombo vyetu vya sheria kuhakikisha wanatoa haki kwa muda unaostahili kama hukumu imeshasema basi utekelezaji ufanyike kwa haraka na haki iwe sawa kwa kila Mmoja”. Amesema

About the author

Alex Sonna