Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ATAKA USHIRIKI WA WATOTO KATIKA MABARAZA YAO

Written by Alex Sonna

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum  Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza wakati wa kumkabidhi bendera ya Taifa Mtoto Victor Paschal Tantau anayetarajiwa kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Watoto Duniani utakaofanyika nchini Denmark kuanzia tarehe 13 hadi 16 Septemba, 2022.

……………………..

Na WMJWM, Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi na walezi nchini kuwaruhusu watoto wao kushiriki kwenye Mabaraza ya watoto yaliyopo katika ngazi za Kata hadi Taifa kwani katika mabaraza hayo ndipo vipaji vya watoto hao vinajengwa

Akitoa Salamu za Rais Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum M. Doirothy Gwajima wakati wa kumkabidhi bendera ya Taifa Mtoto Victor Paschal Tantau anayetarajiwa kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Watoto Duniani utakaofanyika nchini Denmark kuanzia tarehe 13 hadi 16 Septemba, 2022.

Amesema kuwa Watoto wanastahili haki ya kushiriki na kushirikishwa kwenye masuala yanayowahusu. ikiwa ni kutekeleza Haki hiyo ya Msingi kwao na inayotambuliwa na Baraza la Usalama la Umoja la Umoja wa Mataifa likihusisha viongozi wa nchi wanachama wa Umoja huo kwenye mkutano maalum iliofanyika tarehe 8 hadi 10 Mei, 2002 ikiwa na maazimio kadhaa likiwemo azimio la kuunda chombo maalum kwa ajili ya ushiriki na ushirikishwaji wa Watoto katika masuala yanayowahusu.

Amefafanua katika kutekeleza azimio hilo, mwezi Desemba 2002 Serikali iliunda Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuwezesha Watoto kukutana na kujadili masuala yanayohusu haki, ulinzi na maendeleo yao kwa ujumla.

Pia Waziri Dkt Gwajima amesema katika kuimarisha ushirikishwaji wa Watoto , Serikali iliandaa Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya Mwaka 2008 na kwenye Sura ya 5 imetoa maelekezo kwa wadau kuhakikisha kuwa Watoto wanashirikishwa kunapo masuala yanayowahusu.

“Sheria ya Mtoto Namba 21 ya Mwaka 2009 inatambua kwamba mtoto anapaswa kushirikishwa masuala yanayomhusu” alisema Waziri Dkt. Gwajima

Aidha Waziri Dkt. Gwajima, ameeleza kuwa Mabaraza ya watoto ndio msingi wa kuwajenga watoto kupitia klabu za watoto shuleni ambazo ndio nguzo za utendaji wa mabaraza ya watoto nchini hivyo Klabu hizo za watoto zinatumiwa na wawezeshaji wa watoto kujadili masuala mahsusi yanayohusu watoto yakijumuisha; Uongozi, Uzalendo kwa Taifa lao na Maadili Mema.

Naye Mtoto Victor Paschal Tantau amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Wizara inayosimamia masuala ya ustawi wa mtoto na kumuomba kuendelea kuwasaidia watoto ambao hawana uwezo wa kupata haki zao za msingi hasa Elimu.

“Nasema asante sana Mhe. Rais, Mhe. Waziri na viongkzi wote wa Wizara hii kwa kutupa fursa watoto ili tuweze kuonesha na kujenga vipaji vyetu tulivyonavyo kwa manufaa ya ustawi wetu” alisema Mtoto Victor

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mtoto Sebastian Kitiku amesema Serikali kupitia Wizara inayosimamia masuala ya Maendeleo ya Mtoto itahakikisha inaratibu uanzishiwaji na uendeshaji wa Mabaraza ya watoto nchini ili yaweze kusaidia kuwajengea uwezo wa kujiamini na kuvumbua vipaji vya watoto na kuviendeleza kwa manufaa ya jamii na taifa kwa ujumla.

Wakati huo huo Baba wa mtoto huyo Paschal Tantau amesema Mabaraza ya watoto yana uwezo mkubwa wa kuwajengea watoto kuweza kujiamini na kuvumbua vipaji vyao kwani hadi kufikia hatua ya Mtoto wake Victor kuchaguliwa kushiriki Mkutano huo wa Kimataifa ni Baraza la Watoto la Mkoa ndio limemjengea uwezo Mtoto wake mpaka kufikia hatua hiyo.

Mtoto Victor Paschal Tantau anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Watoto Duniani utakaofanyika nchini Denmark kuanzia tarehe 13 hadi 16 Septemba, 2022.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum  Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza wakati wa kumkabidhi bendera ya Taifa Mtoto Victor Paschal Tantau anayetarajiwa kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Watoto Duniani utakaofanyika nchini Denmark kuanzia tarehe 13 hadi 16 Septemba, 2022.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima  akimvisha bendera ya Taifa Mtoto Victor Paschal Tantau anayetarajiwa kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Watoto Duniani utakaofanyika nchini Denmark kuanzia tarehe 13 hadi 16 Septemba, 2022.

 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa katika picha ya pamoja na Mtoto Victor Paschal Tantau na wazazi wake anayetarajiwa kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Watoto Duniani utakaofanyika nchini Denmark kuanzia tarehe 13 hadi 16 Septemba, 2022.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJWM

About the author

Alex Sonna