Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

KATAMBI AZINDUA ALBAMU YA TENDA WEMA YA SALOME NTALIMBO

Written by Alex Sonna
 
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga akizindua Albamu ya Tenda Wema ya mwimbaji wa muziki wa nyimbo za Injili Salome Ntalimbo.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema ya mwimbaji wa muziki wa nyimbo za Injili Salome Ntalimbo.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga akimpongeza mwimbaji wa muziki wa nyimbo za Injili Salome Ntalimbo kwa Albamu ya Tenda Wema.
 
*
 
Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog
 
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga amezindua Albamu ya Tenda Wema ya mwimbaji wa muziki wa nyimbo za Injili Salome Ntalimbo.
 
 
Uzinduzi wa Albamu hiyo iitwayo Tenda Wema kutoka kwa Mwimbaji Salome Ntalimbo umefanyika Jumapili Septemba 4, 2022 katika Kanisa la EAGT Ushirika Mjini Shinyanga na kuhudhuriwa na Waimbaji mbalimbali akiwemo Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bahati Bukuku ,Neema Mwaipopo pamoja na viongozi mbalimbali wa taasisi na serikali akiwemo Mfanyabiashara maarufu Gilitu Makula na Meneja msaidizi wa Benki ya Exim Tawi la Mwanza,Sarah Tito.
 
 
Awali akisoma risala mbele ya Mgeni rasmi Mhe. Katambi, mwimbaji wa nyimbo za injili Salome Ntalimbo ameeleza kuwa ili afikie adhima yake anahitaji zaidi ya Shilingi milioni 45 kwa ajili ya kununua vyombo vya muziki ili aendelee kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya kuimba ndani na nje ya nchi ya Tanzania.
 
Akizungumzia changamoto alizokutana nazo kwenye muziki huo, Salome Ntalimbo alisema ni gharama kubwa ya uandaaji wa nyimbo pamoja na kusambaza kazi hiyo.
 
 
“Naimba muziki kwa sababu nasikia kuitwa kwa ajili ya kazi hiyo, kusema kweli gharama za uandaaji wa kazi nzuri ni kubwa hata hivyo namshukuru Mungu kwa sababu nimeshakamilisha hatua ya kwanza,” alisisitiza Salome.
 
 
Hata hivyo alisema, imekuwa rahisi kwake kufikia ndoto ya mafanikio kwa sababu ya ushirikiano mkubwa kutoka kwa waimbaji waliomtangulia akiwemo Bahati Bukuku ,Neema Mwaipopo na waimbaji wengine.
 
 
Kufuatia risala hiyo, Mhe. Katambi ametoa pesa taslimu kiasi cha shilingi milioni 5 ,John Ntalimbo mme wa Salome akitoa shilingi Milioni 5 ,Gilitu Makula milioni 3,Bahati Bukuku Milioni 1 huku Meneja msaidizi wa Benki ya Exim Tawi la Mwanza Sarah Tito na wadau wengine wakichangia fedha zao ambapo kwa pamoja wamechangia pesa taslimu kiasi cha shilingi milioni 29 na ahadi Shilingi milioni 11 ,Jumla ahadi na deni wakifikisha Shilingi milioni 40.
 
 
Katambi alisema kuwa ameguswa na kazi ya Salome Ntalimbo na ndiyo sababu iliyomfanya kufika katika kanisa la EAGT Ushirika kwa ajili ya kumtia moyo mwimbaji huyo ambaye amedhamiria kuhubiri na kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya kuimba.
 
 
Kwa upande wake John Ntalimbo akitoa neno la shukrani aliwashukuru wadau wote waliojitoa kuwezesha hafla hiyo na kueleza kuwa yeye akiwa mme wa Salome amemruhusu kumtumikia Mungu kwa moyo wake wote.
 
Askofu wa kanisa la EAGT Ushirika Askofu Raphael Machimu aliahidi kuendelea kumwombea mwimbaji Salome Ntalimbo ili azidi kuifanya kazi ya Bwana.
Askofu wa kanisa la EAGT Ushirika Askofu Raphael Machimu akiomba kabla ya Albamu ya Tenda Wema kuzinduliwa.
Askofu wa kanisa la EAGT Ushirika Askofu Raphael Machimu akizungumza wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema ya mwimbaji wa muziki wa nyimbo za Injili Salome Ntalimbo.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema ya mwimbaji wa muziki wa nyimbo za Injili Salome Ntalimbo.
Salome Ntalimbo na Bahati Bukuku wakiimba wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema
Salome Ntalimbo na Bahati Bukuku wakiimba wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema
Salome Ntalimbo na Bahati Bukuku wakiimba wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Tenda Wema
Neema Mwaipopo akiimba kanisani
Bahati Bukuku akitoa Fedha Milioni 1 kwa ajili ya kuunga mkono uzinduzi wa albamu ya Tenda Wema
John Ntalimbo akiwa na mke wake Salome Ntalimbo wakati  wa uzinduzi wa albamu ya Tenda Wema
John Ntalimbo akieleza furaha yake baada ya  mke wake kuzindua Albamu ya Tenda Wema
Meneja  msaidizi wa Benki ya EXIM tawi la Mwanza Sara Tito akiwa na wahandisi wa TARURA
 
Bahati Bukuku ,Salome Ntalimbo na Neema  Mwaipopo wakiwa wamekaa pamoja.
Bahati Bukuku ,Salome Ntalimbo na Neema  Mwaipopo wakiwa wamekaa pamoja.
 

About the author

Alex Sonna