Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

casinowon

esbet

tambet

betsalvador

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

holiganbet

Hacklink panel

betsmove

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

Gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

meritking

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel

jojobet

amgbahis

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

porno izle

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

jojobet

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

WANANCHI BADO WANA MWAMKO MDOGO KUPATA CHANJO YA UVIKO-19 VISIWANI ZANZIBAR

Written by Alex Sonna

MENEJA Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kutokana Wizara ya Afya Zanzibar, Bakar Magarawa, amesema wananchi bado wana mwamko mdogo wa kupata chanjo ya UVIKO – 19.
Alisema hayo alipokuwa akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari juu ya hali halisi ya maradhi hayo nchini na upatikanaji wa chanjo, katika mafunzo yaliyoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) kwa kushirikiana na Internews.
Alisema lengo la serikali hadi kufika Disemba mwaka huu asilimia 70 ya wananchi wawe tayari wamechanjwa lakini hadi sasa waliochanjwa ni asilimia 35, hali inayoonesha kwamba kuna kundi kubwa halijahamasika kupata kinga hiyo.
Sambamba na hayo alifahamisha kwamba licha ya serikali na waandishi wa habari kufanya kazi kubwa ya kuihamasisha jamii juu ya umuhimu wa kuchanja bado jamii haijaona umuhimu huo.
Alisema kwa sasa vipo vituo zaidi ya 120 vinavyotoa chanjo hizo katika maeneo mbalimbali, hivyo aliiomba jamii ikavitumia ipasavyo ili kupata chanjo hiyo.
Alisema tokea walipoanza kutoa chanjo hiyo, watu 267,824 sawa na asilimia hiyo 35.10 wamechanjwa, hivyo aliwaomba waandishi wa Habari kuendelea kuhamasisha.
“Tunashukuru kazi kubwa inayofanywa na vyombo vya habari lakini bado tuendelee kwani wapo watu wengi hawajajitokeza hivyo ipo haja ya kuendeleza kupatiwa elimu,” alieleza Magarawa.
Akitaja miongoni mwa sababu zinazochangia jamii kutokubali kupata chanjo ni pamoja na dhana kwamba chanjo inapunguza nguvu za kiume, kukosa uzazi kwa wanawake na baadhi ya watu kuamini kwamba chanjo hizo zinasababisha watu kugeuka wanyama.
Aidha alifahamisha kwamba serikali zote mbili zimefanya uchunguzi na kubaini kwamba chanjo hizo ni salama, hivyo alitumia fursa hiyo kuihamasisha jamii kukubali kupata kinga.
“Serikali imeandaa miongozo mbali mbali ili kukabiliana na ugonjwa huo ikiwemo kupata chanjo na mambo mengine, hivyo ni vyema wananchi kwenda sambamba na mikakati ya serikali ili kuweza kuwa na afya bora,” aliongeza Meneja huyo.
Aidha magarawa aliitaka jamii kuelewa kwamba ugonjwa huo bado upo na kwamba wagonjwa wanaendelea kupokelewa ambapo hadi Agosti 25, 2022 kulikuwa na wagonjwa watano katika hospitali ya Mnazimmoja ambao baadhi yao ni watalii na wengine ni wasafiri waliongia nchini kutoka nje ya nchi.
Akiwasilisha mada ya uandishi wa habari za UVIKO 19 na chanjo dhidi ya ugonjwa huo, Mkuu wa Idara ya mafunzo Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma Zanzibar ya chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Imane Duwe, aliwataka waandishi kuchukua tahadhari pale wanapokuwa katika majukumu yao ili wajikinge na maradhi hayo.
Aidha aliwasisitiza waandishi kuzingatia maadili na kuhakikisha taarifa zinahusu wagonjwa na ugonjwa huo na kuzifanyie uchunguzi lakini pia kuziwasilisha kwa kutumia lugha nyepesi kuepusha upotoshaji kwa umma.
Kwa upande wa Mwanasheria na Mwandishi wa Habari wa Shirika la Magazeti ya Serikali, Juma Khamis Juma, alisema ugonjwa wa UVIKO – 19 uliathiri kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa habari na uhuru wa kujieleza.
Juma alieleza hayo alipokuwa akiwasilisha mada katika mafunzo hayo na kueleza kuwa hali hiyo ilisababisha waandishi wa habari kufanya kazi katika mazingira magumu na wakati mwengine kunyimwa taarifa muhimu zinazohusiana na ugonjwa huo.
Alisema baadhi ya vikwazo vimeondoka na kutoa rai kwa waandishi wa habari kuendelea kuihamasisha jamii kupata chanjo kwa sababu kwa sasa upatikanaji wa chanjo hiyo umerahisishwa.
Akifunga mafunzo hayo, Mwenyekiti wa ZPC, Abdalla Abdulrahman Mfaume, aliwataka waandishi kuyatumia mafunzo hayo ili yalete tija katika kazi zao.

About the author

Alex Sonna