slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu 888

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

imajbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

marsbahis

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

betorder

matbet

matbet

matbet

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MHAGAMA ATAKA WATUMISHI TAKUKURU KUZIBA MIANYA YA RUSHWA KWENYE VYANZO VYA MAPATO VYA SERIKALI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na watumishi wa TAKUKURU wakati akifunga mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU Makao Makuu, Mikoa na Wilaya yaliyofanyika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere mkoani Pwani.

…………………………….

Na. Veronica E. Mwafisi-KIBAHA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amewataka watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuhakikisha wanaziba mianya ya rushwa kwenye vyanzo vya mapato vya Serikali vilivyobuniwa kimkakati ili kuongeza pato la taifa litakalotumika kuleta maendeleo ya kiuchumi kupitia sekta za kilimo, afya, madini, nishati, utalii na miundombinu.

Mhe. Jenista ameyasema hayo alipokuwa akifunga mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU Makao Makuu, Mikoa na Wilaya yaliyofanyika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere mkoani Pwani.

Mhe. Jenista amesema, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kubuni vyanzo vipya vya ukusanyaji mapato ili vitumike kuleta maendeleo nchini, lakini kwenye jambo lolote zuri linapofanywa na Serikali rushwa huwa inajipenyeza hivyo, ni wajibu wa kila mtumishi wa TAKUKURU kujipanga na kufanya ufuatiliaji wa karibu ili kuzuia rushwa isikwamishe mipango ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

“Watumishi wa TAKUKURU tumieni vizuri mafunzo haya mliyoyapata kutekeleza kikamilifu jukumu lenu la kuzuia na kupambana na rushwa kwenye vyanzo vyote vya mapato na miradi ya kimkakati ambayo Serikali imebuni kwa manufaa ya wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla,” Mhe. Jenista amesisitiza.

Akizungumzia eneo lingine ambalo watumishi wa TAKUKURU wanatakiwa kulipa uzito katika ufuatiliaji, Waziri Jenista amesema ni eneo la fursa za biashara na uwekezaji ambazo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akizitafuta kwa juhudi kubwa ili ziwe na tija na manufaa katika maendeleo ya taifa.

“Mhe. Rais ana mapenzi mema na taifa letu na ndio maana amekuwa mstari wa mbele kutafuta fursa za biashara na uwekezaji ili watanzania wanufaike na fursa hizo kwa kupata huduma bora na kuongeza kipato chao, hivyo hatuna budi kumuunga mkono kwa kutekeleza majukumu yetu kikamilifu katika mapambano dhidi rushwa ili kuwavutia wawekezaji kuwekeza nchini.” Mhe. Jenista ameongeza.

Waziri Jenista ameongeza kuwa, rushwa isipozuiwa katika sekta ya uwekezaji ni wazi kuwa wawekezaji watakosa imani na kushindwa kuwekeza nchini, hivyo taifa litakosa mapato.

Aidha, Mhe. Jenista ameitaka TAKUKURU kufanya ufuatiliaji na kuchukua hatua stahiki kwa watendaji wasiotenda haki kwa watumishi wanaowangoza, ikiwa ni pamoja na wale wanaoshindwa kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya kushughulikia stahiki za watumishi wa umma.

“Tabia za unyanyasaji, upendeleo na mambo mengine yanayokwamisha watumishi wa umma kupewa stahiki zao hazitovumilika, TAKUKURU nawaagiza kufuatilia jambo hili kwa karibu ili watumishi wa umma wasinyimwe haki zao za msingi kama ambavyo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akiagiza mara kwa mara ili kuongeza morari ya watumishi kufanya kazi kwa bidIi na uadilifu.” Mhe. Jenista amesisitiza.

Awali, akimkaribisha Waziri Jenista kufunga mafunzo hayo, Mkurugenzi wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha bajeti iliyowezesha watumishi hao kushiriki mafunzo hayo.

“Mafunzo kama haya mara ya mwisho yalifanyika mwaka 2011 kutokana na ufinyu wa bajeti, lakini Mhe. Rais kwa kuwa aliona kuna umuhimu mkubwa wa watumishi hawa kushiriki mafunzo aliidhinisha bajeti.” CP Hamduni amefafanua.

Mafunzo hayo yamefanyika ili kukidhi matakwa ya muundo wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na yamehudhuriwa na Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU wapatao 100 kutoka Makao Makuu, mikoani na wilayani.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamisha wa Polisi, Salum Hamduni (wa kwanza kulia) baada ya kuwasili katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani kufunga mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU Makao Makuu, Mikoa na Wilaya. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akielekea katika ukumbi wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani kufunga mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa viongozi wa TAKUKURU. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge na kushoto kwake ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi Mwalimu Nyerere, Prof. Marcellina Chijoriga.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na watumishi wa TAKUKURU wakati akifunga mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU Makao Makuu, Mikoa na Wilaya yaliyofanyika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere mkoani Pwani.

Sehemu ya Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kabla ya Waziri huyo kufunga mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa Wakuu wa Vitengo wa TAKUKURU Makao Makuu, Mikoa na Wilaya yaliyofanyika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere mkoani Pwani.

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamisha wa Polisi, Salum Hamduni akiwasilisha taarifa kuhusu mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kabla ya Waziri huyo kufunga mafunzo hayo yaliyowashirikisha Wakuu wa Vitengo vya TAKUKURU kutoka Makao Makuu, Mikoa na Wilaya katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti mmoja wa viongozi wa TAKUKURU aliyeshiriki mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ yaliyofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akipokea tuzo ya kutambua mchango wake katika kuzuia na kupambana na rushwa kutoka kwa mmoja wa washiriki wa mafunzo ya ‘Intermediate Investigation Course’ wakati waziri huyo alipokuwa akifunga mafunzo hayo yaliyofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na sehemu ya viongozi wa TAKUKURU walioshiriki mafunzo ya uchunguzi kwa viongozi yaliyofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani.

About the author

Alex Sonna