Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

SHAKA ASHAURI TARURA KUVUNJA MIKATABA YA WAKANDARASI WABABAISHAJI, AKERWA NA UCHELEWESHAJI MIRADI YA BARABARA UYUI

Written by Alex Sonna

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka akizungumza na mbele ya
akizungumza na wanachama
wa CCM na wananchi wa kata ya Igulungu, Jimbo la Tabora Kaskazini baada
ya kukagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Gilimba katika Halmashauri
ya Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora ambayo ipo katika hatua ya
ukamilishaji,pichani kulia ni
Meneja wa TARURA wilaya ya Uyui Rahab Thomas

…………………………….

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV-Uyui

KATIBU wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amemshauri Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff kuwasimia vema mameneja wa Wakala huo wilaya na mikoa ili kuhakikisha wakandarasi wababaishaji na walioonesha uwezo mdogo kwenye utekelezaji wa miradi ya barabara wanasitishiwa mikataba na kutokupewa kazi za TARURA nchi nzima.

Shaka ameyasema hayo wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa kata ya Igulungu, Jimbo la Tabora Kaskazini baada ya kukagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Gilimba katika Halmashauri ya Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora ambayo ipo katika hatua ya ukamilishaji.

Shaka aliyasema hayo baada ya wananchi kulalamikia ubovu wa barabara yao ya Igulungu ambayo ina mkandarasi anaijenga na amelipwa kiasi cha Sh.milioni 60 kati ya Sh.milioni 499 za mradi huo lakini kazi inasuasua na hata maeneo aliyoyajenga yapo chini ya kiwango.

“Inasikitisha TARURA mnakiri hapa kuwa mmepokea fedha Sh.milioni 499 na mkasaini mkataba na mkandarasi mwezi Juni 2021 ambao alipaswa kuikamilisha kazi ndani ya miezi sita, leo ni mwezi Agosti, 2022 miezi 14 tangu mpokee fedha na kumpata mkandarasi bila kazi kukamilika. Wawakilishi wa wananchi wamelalamika mkandarasi hana uwezo na ninyi TARURA mmekiri hilo ila mnafikiria kuvunja mkataba wake mpaka sasa.

“Ushauri Wangu vunjeni mkataba na mkandarasi huyo na wengine wote ambao hawafanyi vizuri ili wapewe kazi wakandarasi ambao wanauwezo wa kufanya kazi kwa viwango na kasi inayotakiwa.

“Serikali ya CCM Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan inataka kupeleka huduma kwa wananchi kwa kuboresha mawasiliano ya miundombinu ya barabara hasa vijijini ndio maana imeiimarisha sana TARURA kwa kuiongezea fedha kutoka Sh.bilioni 276 hadi Sh. bilioni 750 katika mwaka wa fedha 2021/2022 ambapo Jimbo hili lilipata Sh. bilioni 1.5. Ongezeko hili ni ili TARURA iweze kuwahudumia watanzania kikamilifu katika miundombinu hii ya barabara.” Amesema Shaka

Shaka amesisitiza lengo la kuanzishwa kwa TARURA nchini ni kuhakikisha inawasaidia wananchi katika Suala zima la ujenzi wa miundombinu ya barabara ili kuwarahisisha katika usafirishaji wa mazao, bidhaa na kwenye kufuata huduma za kijamii. Hivyo ni muhimu kutumia wakandarasi wenye sifa na uwezo wa kufanya kazi ili kuhakikisha miradi wanayopatiwa na Serikali inakamilika kwa wakati.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Jumuiya ya CCM ya Umoja wa Wazazi Tanzania Ndg Gilbert Kalima ambaye ameambatana na Shaka katika ziara hiyo amewataka wananchi kujitokeza kuhesabiwa siku ya sensa Agosti 23, 2022.

‘CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu na Jiandae Kuhesabiwa Agosti 23, 2022.’

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka akizungumza na mbele ya
akizungumza na wanachama
wa CCM na wananchi wa kata ya Igulungu, Jimbo la Tabora Kaskazini baada
ya kukagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Gilimba katika Halmashauri
ya Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora ambayo ipo katika hatua ya
ukamilishaji,pichani kulia ni
Meneja wa TARURA wilaya ya Uyui Rahab Thomas


Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa Itikadi na UeneziShaka Hamdu Shaka(kushoto) akimsikiliza
Meneja wa TARURA wilaya ya Uyui mkoani Tabora Rahab Thomas alipokuwa akieleza changamoto zilizopo kwenye mradi wa barabara ya Igulungu wilayani humo.



Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka akipokelewa a na Wana CCM pamoja na
wananchi wa Kata ya Igulungu , Jimbo la Tabora Kaskazini baada
ya kufika kwenye kata hiyo kwa ajili ya kukagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Gilimba katika Halmashauri
ya Wilaya ya Uyui mkoani Tabora .

About the author

Alex Sonna