slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu 888

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

kingroyal

matbet

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

dedebet

betpark

Featured Kitaifa

MAJALIWA ATOA RAI VIONGOZI WA DINI WAENDELEE KUOMBEA AMANI TANZANIA

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran Tukufu, yaliyofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI wa Morocco na Makao Makuu wa Bakwata, Dar es Salaam, Agosti 14, 2022. Mashindano hayo yanafadhiliwa na Taasisi ya Mfalme Mohamed VI Ulamaa wa Afrika

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi cheti mshindi wa kwanza wa kusoma na kuhifadhi Quran (Riwayat Warsh) Murtado Katibi kutoka Nigeria, wakati alipomuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran Tukufu, yaliyofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI wa Morocco na Makao Makuu wa Bakwata, Dar es Salaam, Agosti 14, 2022. Mashindano hayo yanafadhiliwa na Taasisi ya Mfalme Mohamed VI Ulamaa wa Afrika

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza akimpongeza mshindi wa tatu wa kusoma na kuhifadhi Quran Saima Hassan kutoka Tanzania, wakati alipomuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran Tukufu, yaliyofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI wa Morocco na Makao Makuu wa Bakwata, Dar es Salaam, Agosti 14, 2022. Mashindano hayo yanafadhiliwa na Taasisi ya Mfalme Mohamed VI Ulamaa wa Afrika 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally, wakati alipomuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran Tukufu, yaliyofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI wa Morocco na Makao Makuu wa Bakwata, Dar es Salaam, Agosti 14, 2022. Mashindano hayo yanafadhiliwa na Taasisi ya Mfalme Mohamed VI Ulamaa wa Afrika 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa  Taasisi ya Mfalme Mohamed VI Ulamaa wa Afrika, Mohamed Rifk alipomuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran Tukufu, yaliyofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI wa Morocco na Makao Makuu wa Bakwata, Dar es Salaam, Agosti 14, 2022. Mashindano hayo yanafadhiliwa na Taasisi ya Mfalme Mohamed VI Ulamaa wa Afrika (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

……………………………..

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema viongozi wa dini hawana budi kuendelea kuiombea amani Tanzania pamoja na viongozi wake kwani bila amani hata kusanyiko la kidini haliwezi kufanyika.

Akinukuu Quran tukufu sura ya 2, aya ya 126 (Quran 2:126), Waziri Mkuu amesema nabii Ibrahim aliuombea mji wake na wakazi wake amani na neema kutoka kwa Mwenyezi Mungu.  “Nami nitoe rai kwa viongozi wetu wa dini, waendelea kuiombea nchi yetu na viongozi wake ili waendelee kuliongoza vema Taifa letu ikiwa ni pamoja na kujenga umoja na mshikamano, kudumisha amani na kuimarisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii.”

Ametoa wito huo leo (Jumapili, Agosti 14, 2022) kabla ya kukabidhi tuzo kwa mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Quran barani Afrika katika mashindano yaliyofanyika kwenye msikiti wa Mfalme Mohammed VI, ulioko Kinondoni makao makuu ya BAKWATA, jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yamefadhiliwa na Taasisi ya Mfalme wa Morocco Ulamaa Afrika.

Akizungumza kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu amesema kusanyiko hilo ni kielelezo cha utukufu wa Quran barani Afrika kwani limejumuisha washiriki 88 kutoka nchi 34 barani Afrika.

Amesema katika zama hizi dunia inashuhudia kuongezeka kwa vitendo viovu ikiwemo watoto kuuwa wazazi wao; ulawiti; ubakaji hususani kwa watoto na wanafunzi; watoto na vijana kutowaheshimu watu wazima; uvaaji wa mavazi yasiyo na stara hususani kwa wasichana na wavulana na matumizi ya madawa ya kulevya.

“Tunapaswa kutambua kuwa tupo katika zama zinazokabiliwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa rika zote. Ni jambo zuri, jambo bora na jambo tukufu kabisa kukaa, kuisoma na kuisikiliza Quran. Lakini swali la msingi ni kwa kiasi gani tunaizingatia hii Quran katika mwenendo mzima wa maisha yetu ya kila siku. Kwa lugha nyingine, tunapowahifadhisha Quran vijana wetu tuhakikishe jambo hilo jema linakwenda sambamba na ujenzi wa misingi imara katika kujenga jamii bora,” amesema.

Amesema Quran inapaswa kuwa chanzo cha kutegemewa cha mafunzo sahihi ya tabia njema, utii na kuheshimu mamlaka zilizopo. “Tukiwalea vijana wetu katika mafunzo haya tutakuwa tunamsaidia mlezi wetu namba moja Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anaguswa na suala zima la maadili hususan kwa vijana kuwa na wasaidizi wacha Mungu na waadilifu katika kutekeleza majukumu yao.”

Waziri Mkuu ametoa rai kwa viongozi wa dini wahakikishe kuwa vijana wanaweza kuhifadhi Quran lakini pia wawe wamehitimu katika fani mbalimbali. “Kijana akihitimu fani yake siyo rahisi kumuona akienda kinyume na maadili ya taaluma yake. Kwa hiyo, Quran ni mchunga wa nafsi ya mtaalamu huyo na hivyo, kumfanya aonyeke dhidi ya kufanya vitendo vinavyokwenda kinyume na uadilifu.“

Mapema, akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na washiriki wa hafla hiyo ya kutoa tuzo kwa washindi, Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir alimshukuru Mfalme wa VI wa Morocco na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Mfalme wa Morocco Ulamaa Afrika, Bw. Mohammed Rifqiy kwa kuamua kuleta mashindano hayo Afrika Mashariki.

“Uamuzi wao wa kuleta mashindano haya umetuwezesha kuona jinsi Quran ilivyokuwa inaandikwa kwa mkono hadi kufikia hatua ya sasa ya kuchapisha. Wenzetu wa Afrika Magharibi wamezoea kuyaona haya.”

Miongoni mwa washindi waliotia fora ni binti wa miaka 14, Saima Hassan Suleiman wa Dar es Salaam ambaye aliibuka mshindi wa kwanza katika kundi la pili la kusoma Quran na kuhifadhi juzuu 30.

Saima ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Shaaban Robert ya jijini Dar es Salaam, alisema amekuwa akijifunza Quran tangu alipokuwa na miaka mitano. Kundi hilo lilikuwa na washindi wawili wa Tanzania akiwemo Ahmed Salum Mbweta ambaye ameibuka mshindi wa tatu.

Mshindi wa kwanza katika kundi la kwanza la kusoma na kuhifadhi Quran kwa mtindo wa riwaya ya warshi (Riwayat Warsh) ni Murtado Olatunji Katibi wa Nigeria. Wa pili ni Abdinassir Hassan Ibrahim kutoka Somalia na wa tatu ni Khatry Dakhay kutoka Mauritania.

Katika kundi la tatu ambalo ni la tajwid, mshindi wa kwanza alikuwa ni Ustaadh Ahmad Salim Mbwewa ambaye ni mwalimu wa watoto jijini Dar es Salaam.

About the author

Alex Sonna