Featured Kitaifa

RAIS DK.MWINYI ATETA NA KAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR ALIPOFIKA IKULU

Written by mzalendoeditor

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kijitambulisha, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Kamishna wa Polisi Zanzibar. Hamad Khamis Hamad, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 4-8-2022, alipofika kujitambulisha.(Picha na Ikulu)

About the author

mzalendoeditor