Featured Kitaifa

MATUKIO KATIKA PICHA :MAKAMU WA RAIS AWASILI JIJINI MBEYA

Written by mzalendoeditor

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya Jacob Mwakasole pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali na chama na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati alipowasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Songwe leo tarehe 30 Julai 2022 kwaajili ya ufunguzi wa maonesho ya nane nane yanayofanyika mkoani Mbeya kuanzia tarehe 1 Agosti 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifurahia muziki wa kwaya ya utumishi wa umma ya mkoa wa Mbeya wakati alipowasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Songwe leo tarehe 30 Julai 2022 kwaajili ya ufunguzi wa maonesho ya nane nane yanayofanyika mkoani Mbeya kuanzia tarehe 1 Agosti 2022.

About the author

mzalendoeditor