Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

Grandpashabet giriş

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet Güncel Giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat giriş

betsat

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

casibom

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

maxwin

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

Featured Kitaifa

TAFITI KUBORESHA SHUGHULI SEKTA YA UVUVI NCHINI

Written by Alex Sonna

Mwakilishi wa Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Bw. Emmanuel Kayuni akifungua mafunzo ya kuandaa vijarida Sera ambapo amewasihi watafiti kuhakikisha matokeo ya tafiti zao yanakwenda kubadilisha maisha ya wadau waliopo kwenye mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi. Mafunzo hayo yamefanyika kwenye ukumbi wa TAFORI Manispaa ya Morogoro.

Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Huduma za Ugani, Prof. Mohammed Sheikh akiwasilisha mada ya utangulizi kwenye mafunzo ya kuandaa vijarida Sera yaliyofanyika kwenye ukumbi wa TAFORI Manispaa ya Morogoro. Prof. Sheikh amesema kuwa Sekta ya Uvuvi inaendelea kujipanga kuhakikisha matokeo ya tafiti yanakwenda kubadilisha maisha ya wadau wa sekta hiyo.

Meneja Seksheni ya Sayansi za Jamii kutoka COSTECH, Bi. Hildegalda Mushi akizungumza na washiriki wa mafunzo ya kuandaa vijarida Sera yaliyofanyika kwenye ukumbi wa TAFORI Manispaa ya Morogoro.

Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo ya kuandaa vijarida sera wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa kwenye mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa TAFORI Manispaa ya Morogoro.

Mwakilishi wa Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Bw. Emmanuel Kayuni akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo ya kuandaa vijarida Sera mara baada ya kufungua mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa TAFORI Manispaa ya Morogoro.

………………………………………..

TAFITI zinazofanywa kwenye sekta ya uvuvi zijikite katika kuboresha mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi ili wadau wa sekta hiyo waweze kunufaika ipasavyo.

Hayo yamesemwa na Mwakilishi wa Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Bw. Emmanuel Kayuni ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa sekta hiyo wakati akifungua mafunzo ya kuandaa vijarida sera yaliyofanyika kwenye ukumbi wa TAFORI Manispaa ya Morogoro Julai 25, 2022.

Bw. Kayuni amesema kuwa tafiti zinazofanyika ni lazima matokeo yake yawafikie walengwa ambao ni wadau wa sekta ya uvuvi ili kuweza kuwanufaisha na kuboresha shughuli wanazozifanya katika mnyororo wa thamani wa sekta hiyo.

“Tafiti zinazofanyika ni lazima ziwafikie walengwa, kuzielewa na kuwasaidia kubalidilisha maisha yao katika shughuli wanazozifanyi, hapo tafiti hizo zitakuwa na tija katika kuleta maendeleo ya wadau wa sekta ya uvuvi na taifa kwa ujumla.” alisema Bw. Kayuni

Alisema wamejipanga kuzitumia tafiti zinazofanywa kwa lengo la kuboresha sera zinazohusu sekta ya uvuvi ili wadau wa sekta hiyo waweze kunufaika.

Bw. Kayuni amesema kuwa tafiti zinazofanywa zikifanyiwa kazi zinawafanya watafiti kuendelea kufanya tafiti zaidi kwa lengo la kuboresha sekta ya uvuvi.

Naye Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Huduma za Ugani, Prof. Mohammed Sheikh amesema kuwa mafunzo hayo ni kwa ajili ya kusaidia kwenye kutunga sera na kufanya maamuzi ambayo yatasaidia kuipeleka sekta ya uvuvi mbele. Prof. Sheikh amesema Sekta ya Uvuvi imeamua kufanya mafunzo hayo kwa lengo la kuwajengea uwezo wataalam ili kuweza kuzitumia tafiti ambazo zimefanyika ili kuwaletea maendeleo wadau wa sekta hiyo. Pia amesema kuwa matarajio ya mafunzo hayo ni kuhakikisha kuwa tafiti mbalimbali zinazofanyika kuhusu sekta ya uvuvi kutobakia kwenye makaratasi badala yake kwenda kuwafikia wadau na kuleta maendeleo kwenye sekta ya uvuvi.

Meneja Seksheni ya Sayansi za Jamii (COSTECH), Bi. Hildegalda Mushi amesema kuwa taasisi yao inafanyakazi ya kuwezesha tafiti mbalimbali ambazo zinalenga kuwezesha maendeleo ya matokeo ya tafiti na kuwezesha maendeleo ya teknolojia. Tafiti hizi zinalengo la kuhakikisha kuwa wadau wa uvuvi wanasonga mbele kimaendeleo na kuhakikisha zinawasaidia watunga sera ili waweze kutunga sera ambazo zinatekelezeka kwa maendeleo ya wadau na taifa kwa ujumla.

Mafunzo hayo yamewahusisha wataalam kutoka Sekta ya Uvuvi, Taasisi ya Utafiti ya Uvuvi (TAFIRI), Wakala ya Mafunzo ya Uvuvi (FETA), na COSTECH ambapo washiriki wamepata fursa ya kujadili kwa kina juu ya matokeo ya tafiti zilizofanyika kwa malengo ya kuipeleka mbele sekta ya uvuvi.

About the author

Alex Sonna