slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

pusulabet giriş

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

slot siteleri

lunabet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

marsbahis

taraftarium24

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

betasus

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

holiganbet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

Hacklink panel

matbet

kingroyal

kingroyal

matbet

matbet

Casibom

Featured Kitaifa

SH.BILIONI 1.1 ZAKUSANYWA KAMPENI GGM KILI CHALLENGE 2022

Written by Alex Sonna

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai (kulia) akipokea bendera kutoka kwa mmoja wa washiriki wa kampeni ya GGM Kili Challenge 2022 waliopanda mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangia fedha za kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi. Kulia kwake ni Makamu Rais wa AngloGold Ashanti- GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo. Hafla ya mapokezi hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika lango la Mweka Moshi.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai (wa pili kulia) pamoja na Mkuu wa mkoa wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule (katikati) wakipokea bendera kutoka kwa mmoja wa washiriki wa kampeni ya GGM Kili Challenge waliopanda mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangia fedha za kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi. Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Moshi, Abbas Kayanda na nyuma yao aliyevaa kofia ni Makamu Rais wa AngloGold Ashanti- GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo. Hafla ya mapokezi hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika lango la Mweka Moshi.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa kampeni ya GGM Kili Challenge 2022 waliopanda mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangia fedha za kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi. Hafla ya mapokezi hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika lango la Mweka wilayani Moshi.

Makamu Rais wa AngloGold Ashanti- GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo akimpongeza mmoja wa washiriki wa kampeni ya GGM Kili Challenge 2022 waliopanda mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangia fedha za kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi. Hafla ya mapokezi hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika lango la Mweka wilayani Moshi.

…………………………………..

NA MWANDISHI WETU-

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS), imeendelea kuweka rekodi utoaji wa huduma za kijamii baada ya kukusanya zaidi ya Sh bilioni 1.1 kupitia kampeni ya GGM Kili Challenge 2022 iliyoanza Juni 29 na kuhitimishwa Julai 21 mwaka huu.

Kampeni hiyo iliyoasisiwa na GGML miaka 20 iliyopita, ni mahsusi kwa ajili ya kutoa elimu kuhusu VVU/Ukimwi pia kuchangisha fedha za udhibiti wa maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa lengo la kusaidia jitihada Serikali kufikia sifuri tatu kwa maana ya kutokomeza maambukizi mapya kwa kufikia asilimia sifuri, sifuri ya unyanyapaa pamoja na sifuri katika vifo vitokanavyo na UKIMWI

Akizungumza mwishoni mwa wiki iliyopita wilayani Moshi katika hafla ya mapokezi ya washiriki 52 ambao kati yao 24 walipanda mlima Kilimanjaro kwa kutembea kwa miguu na 28 kwa kuuzunguka kwa kutumia baskeli kupitia lango la Machame na kushukia Mweka, Makamu Rais wa AngloGold Ashanti- GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simona Shayo alisema kampeni ya mwaka huu imekuwa na mafanikio ya kipekee.

Alisema kampeni hiyo iliyozinduliwa rasmi Juni 29 jijini Dodoma na kufuatiwa na harambee ya uchangiaji fedha iliyofanyika Julai 14 kisha Julai 15, 2022 washiriki wakaagwa kwa ajili ya zoezi hilo la kupanda mlima, pia ilihusisha utoaji wa huduma bure za upimaji wa VVU na kisukari na utoaji wa chanjo ya UVIKO -19 kwa wakazi wa Mji wa Moshi na mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla.

Alisema huduma hizo zilianza kutolewa katika lango la Machame, Kialia, Soko la Kalali na Nshara na sasa Mweka.

 “Ni furaha kubwa kuwaeleza kuwa katika huduma hizo zilizoanza kutolewa kuanzia tarehe 15 hadi 18 Julai mwaka huu, jumla ya watu 463 wamepimwa VVU ambapo wote majibu yameonesha hawana maambukizi ya VVU. Vivyo hivyo watu 411 wamejipima wenyewe kwa hiari. Hii ni hatua kubwa katika muitikio wa Watanzania kutaka kujua hali ya afya zao,” alisema.

Pia alisema katika utoaji wa chanjo dhidi ya UVIKO-19, watalaam wamefanikiwa kutoa chanjo kwa watu 822 ambao kati yao wanaume ni 365 na wanawake ni 427 wakati katika uchangiaji wa damu zimekusanywa chupa au unit 27 za damu ilihali katika zoezi la ugawaji wa kondomu, jumla ya mipira ya kiume 9,335 na ya kike 200 imegawiwa katika maeneo hayo.

 “Pia ili kutoa elimu ya kutosha kwa umma kuhusu masuala ya VVU/Ukimwi, tembe za PrEP ambazo ni mahsusi kwa matumizi ya kupunguza makali ya VVU na kwa watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU ziligawiwa pamoja na vipeperushi 204 vya masuala ya afya ya uzazi,” alisema.

Aidha, Mkurugenzi wa TACAIDS, Dk. Leonard Maboko alisema fedha zilizokusanywa kwenye kipindi cha kampeni hiyo kwa ujumla ni Sh bilioni moja.

 Pia alitoa wito kwa wadau wengine kukaa mezani na taasisi hiyo ili kupeana mbinu za kuchangisha fedha zaidi kutunisha mfuko wa udhibiti Ukimwi nchini.

Aidha, akizungumza katika mapokezi hayo, Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai aliwapongeza washiriki hao 52 wa waliopanda Mlima Kilimanjaro na kuwaitwa kuwa ni mashujaa.

 Aidha, akizungumzia matokeo ya vipimo vya VVU kwa watu zaidi ya 400, Kagaigai alisema yanaonesha jinsi gani mapambano wanayofanya kukabiliana na VVU sasa yanaelekea kwenye mafanikio.

 Mkuu wa mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule naye alipongeza juhudi zilizooneshwa na GGML na wadau wake na kusema kuwa matokeo ya vipimo hivyo  yanaonesha dhamira ya serikali kufikia sifuri tatu inaenda kutimia.

Aidha, alionya changamoto iliyobaki ni ya maambukizi mapya kwa kuwa waathiriwa wengi hawapotezi maisha kwa VVU au hawaoneshi dalili.

 Aidha, mmoja wa wapanda mlima huo, Lucina Livigha alisema licha ya changamoto za upandaji wa mlima, wamejihisi fahari kuwa sehemu ya mafanikio ya kampeni hiyo inayookoa maisha ya Watanzania.

About the author

Alex Sonna