marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

elexbet giriş

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

betpas

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

türk ifşa

casinoroyal

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

lunabet

lunabet giriş

betpas

betpas giriş

pokerklas

pokerklas giriş

mislibet

mislibet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI MKENDA:’DOLA MIL 5 ZATOLEWA KUKAMILISHA UJENZI WA TAASISI YA SAYANSI YA BAHARI ZANZIBAR’

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akizungumza na watumishi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022. (Picha Zote Na Mathias Canal)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akizungumza na watumishi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022. Wengine pichani ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Prof William Anangisye (Kushoto) na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Keneth Hosea (Kulia).
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akikagua eneo lililoungua la Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akikagua ujenzi wa majengo ya Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akikagua ubora wa vifaa vya kufundishia masomo ya uvuvi wakati alipotembelea Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akikagua ujenzi wa majengo ya Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022.
Sehemu ya watumishi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi-Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda alipotembelea katika taasisi hiyo kukagua ujenzi wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja tarehe 9 Julai 2022.

…………………………….

Na Mathias Canal, WEST-Zanzibar

Serikali imetoa kiasi cha Dola Milioni tano (USD Mil 5) kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa majengo ya Taasisi ya Chuo cha Bahari Zanzibar ambacho ni kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kilichopo katika eneo la Buyu mjini Unguja Visiwani Zanzibar.

Fedha hizo zimetolewa ambapo UDSM imetakiwa kuhakikisha kuwa inatekeleza kwa ufanisi mkubwa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kuhusu usimamizi wa mradi wa Benki ya Dunia wenye takribani Trilioni moja.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda ameyasema hayo tarehe 9 Julai 2022 wakati akikagua ujenzi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar iliyopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati akiwa katika ziara ya siku moja kisiwani Unguja.

Waziri Mkenda amesema kuwa mradi huo wa mageuzi ya kiuchumi kupitia elimu ya juu una lengo la kuboresha mitaala na miundombinu ikiwemo kujenga kampasi mpya za vyuo vikuu pia unalenga kutoa ujuzi unaotakiwa na soko hasa uchumi wa viwanda.

Prof Mkenda amempongeza Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete kwa kusimamia na kukagua mara kwa mara ujenzi wa maabara ya muda katika chuo hicho kutokana na maaba ya chuo hicho ikiwemo ofisi kuungua mwishoni mwa mwaka jana katika eneo la Malindi.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkenda amemtaka Makamu Mkuu wa Chuo cha Ardhi ambao ni wasimamizi wa ujenzi wa Taasisi ya Sayansi za Bahari-Zanzibar kuhakikisha anafika haraka iwezekanavyo mjini Zanzibar ili kukagua na kuhakikisha dosari zilizopo katika ujenzi wa chuo hicho zinapatiwa ufumbuzi wa haraka.

“Hatutaruhusu Chuo chetu kikuu chochote ambacho kinafundisha wataalamu halafu kisimamie kazi isiridhishe, tunataka kazi ikisimamiwa na chuo chetu chochote iweze kuakisi ule ubora ambao tunatarajia ” Amekaririwa Waziri Mkenda

Waziri Mkenda amesema kuwa hata kama muda wa usimamizi wa mradi umekwisha lakini mkandarasi anapaswa kuhakikisha kuwa anakamilisha dosari zote zilizopo ikiwemo ubovu wa marumaru.

Amesema kuwa haitokuwa kazi ngumu kwake kufumua uongozi endapo kazi haitaenda vizuri kama ilivyokusudiwa kwa mujibu wa taratibu za ujenzi na makubaliano katika mkataba wa ujenzi.

Kadhalika Waziri Mkenda amesisitiza kuwa wanafunzi wanaosoma kozi zinazohusu uvuvi wanapaswa kufundishwa kwa vitendo na kupewa kazi za mara kwa mara za kwenda baharini kwa ajili ya kujifunza uvuvi kwa vitendo.

About the author

Alex Sonna