marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Grandpashabet Güncel Adres

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AWAJENGEA SOKO LA KISASA WANANCHI WA PERAMIHO KUPITIA TASAF 

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akielekea kukagua ujenzi wa soko la kisasa la Peramiho linalojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.

Mwonekano wa soko la kisasa la Peramiho linalojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akikagua ujenzi wa soko la kisasa la Peramiho linalojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akishuhudia shimo lililochimbwa kwa ajili ya ujenzi wa choo kitakachowahudumia watumiaji wa soko la kisasa la Peramiho linalojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Perahamiho, wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.

Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Peramiho wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Bi. Neema Maghembe akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Halmashauri yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika halmashauri hiyo mkoani Ruvuma.

Mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Peramiho, akiishukuru Serikali kwa niaba ya walengwa wengine wa mpango huo na wananchi wa Peramiho, Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma kwa kujengewa soko la kisasa.

…………………………………

Na. James K. Mwanamyoto-Peramiho

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) anajenga soko la kisasa katika Kijiji cha Peramiho ambalo litawahudumia wananchi, kuchangia mapato na ukuaji wa uchumi wa eneo hilo.

Mhe. Jenista amesema hayo, mara baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa soko la kisasa la Peramiho linalojengwa na TASAF, akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Ruvuma. 

Mhe. Jenista amewakumbusha wananchi wa Peramiho kuwa, wakati akiomba ridhaa ya kuwatumikia walimueleza kwamba kero yao kubwa ni kutokuwa na soko la kisasa hivyo aliwasilisha kero hiyo kwa Mhe. Rais, Samia Suluhu Hassan ambaye aliielekeza TASAF kujenga soko la kisasa Peramiho.

“Ujenzi wa soko hili la kisasa utakamilika kwa wakati na soko hili litachangia mapato na ukuaji wa uchumi hapa Peramiho, hivyo ninaomba tulitunze kwa manufaa na maendeleo yetu,” Mhe. Jenista amesisitiza.

Awali, akitoa taarifa ya ujenzi wa mradi huo wa soko la kisasa, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Bi. Neema Maghembe amesema kuwa ujenzi wa soko hilo ulianza rasmi tarehe 02 Machi, 2022 na mpaka sasa utekelezaji wake umefikia asilimia 70.

Akizungumzia mchango wa wananchi katika ujenzi wa mradi huo wa soko, Bi. Maghembe amesema kuwa wananchi wametoa mchango wenye thamani ya shilingi milioni 3,778,000/= ambao ni sawa na asilimia 2.2 ya gharama za mradi huo na kuongeza kuwa, kazi walizofanya wananchi wa Peramiho ni kuchimba msingi, kumwagilia maji ukuta, kuchota maji na kuchimba shimo la choo.

Bi. Maghembe amesema, ujenzi wa soko hilo la kisasa unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unatarajiwa kukamilika tarehe 15 agosti, 2022 kwa mujibu wa mkataba uliosaniwa.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amehitimisha ziara ya kikazi ya siku 3 mkoani Ruvuma iliyokuwa na lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani humo.

About the author

Alex Sonna