Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

UJENZI CHUO CHA UALIMU SUMBAWANGA WAFIKIA 61.4 % 

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti akisaini kitabu cha wageni leo alipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa chuo kipya cha ualimu cha Sumbawanga katika eneo la Pito ambapo umefikia asilimia 61 huku majengo 11 yakiwa hatua za mwisho kukamilika.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti akizungumza na watumishi wa chuo cha ualimu Sumbawanga wanaofanya kazi ya usimamizi wa mradi wa ujenzi leo alipotembelea eneo la Pito Manispaa ya Sumbawanga.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti (wa pili toka kushoto) akiwa na Mhandisi wa Ujenzi wa Mkoa huo Mhandisi Daud Sebyiga (kushoto) na Mhandisi Emanuel Didas (kulia) wakati akikagua mradi wa ujenzi wa chuo kipya cha ualimu Sumbawanga

Sehemu ya majengo mapya ya chuo cha ualimu Sumbawanga yanayoendelea kujengwa katika eneo la Pito manispaa ya Sumbawanga ambapo serikali ya Awamu ya Sita ilitoa shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa majengo 11 awamu ya kwanza .
(Habari na Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa

…………………………………

Na. OMM Rukwa

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imepongezwa kwa kuwezesha upatikanaji fedha shilingi 3,852,697,911 zinazotumika katika awamu ya kwanza kujenga majengo 11 ya chuo kipya cha Ualimu Sumbawanga eneo la Pito ambapo mradi huo umefikia asilimia 61.4 hadi sasa.

Akizungumza leo (06. 07.2022) kwenye ukaguzi wa mradi huo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti aliwaeleza waandishi wa habari kuwa serikali inatekeleza mradi huo kwa lengo la kufungua fursa za kielimu kwa wananchi ambapo utakapokamilika utasaidia kuchochea ukuaji wa uchumi.

“Rukwa tumenufaika na mradi huu wenye thamani ya shilingi Bilioni 3.9 ambapo majengo kadhaa yamekamilika na mengine jitihada za ukamilishaji zinaendelea vizuri. Nimeridhishwa na  kazi inayoendelea hapa na kuhusu changamoto chache nitawasiliana na Wizara ya Elimu tuzitatue mapema na mradi ufike mwisho” ,alisema Mkirikiti. 

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa alipongeza Taasisi  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( TAKUKURU) mkoani humo kwa kazi nzuri iliyofanya na inayoendelea kuifanya kufuatilia mwenendo wa matumizi ya fedha za umma hatua iliyosaidia mradi wa chuo hicho kutekelezwa vizuri.

Akizungumzia utekelezaji wa mradi huo Mhandisi Mshauri toka Chuo cha Ufundi Arusha Emanuel Didas alisema mradi umefikia asilimia 61.4 za ujenzi ambapo jumla ya shilingi Bilioni 2.5 kati ya shilingi Bilioni 3.0 zilizopokelewa mwezi Mei mwaka huu zimetumika hadi sasa.

Mhandisi Didas alisema jumla ya majengo 11 yamejengwa na yapo katika hatua za ukamilishaji ikiwemo jengo la madarasa lenye vyumba 8, mabweni mawili yenye uwezo wa wanafunzi 250 kila moja, vyoo vya nje, nyumba za watumishi ,jiko na bwalo na vibanda vya walinzi.

Mradi wa ujenzi wa chuo cha Ualimu Sumbawanga awamu ya kwanza kupitia mradi wa Education Program for Results (EP4R) chini ya Wizara ya Elimu ulianza 15 Agosti 2021 na unatarajia kukamilika mwaka huu. Kwa sasa chuo kinatumia majengo ya Kanisa Katoliki eneo la Kantalamba kwa ajili ya mafunzo.

About the author

Alex Sonna