Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA TEMBO

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi rambirambi,  Mwanahawa Ali, mama mzazi wa marehemu  Riziki Rashid Issa aliyeuawa na tembo  katika kijiji cha  Nammaja wilayani Nachingwea.  Mheshimiwa Majaliwa  alikwenda  katika kijiji hicho kutoa pole  kwa familia  ya  marehemu  na wananchi, Julai 6, 2022.  Wengine kutoka kulia ni  Hidaya Sele, Fatuma Abdallah na wa nne kulia ni  Suwina Ismail. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

……………………….

RAIS Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa wananchi kutokana na athari walizozipata baada ya tembo kuvamia katika vijiji vyao na kusababisha maafa kikiwemo kifo.

Salamu hizo zimetolewa leo (Jumatano, Julai 6, 2022) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais Mheshimiwa Samia, wakati akizungumza na wananchi katika kijiji cha Nditi.

Waziri Mkuu amefanya ziara wilayani Nachingwea kwa ajili ya kukagua athari zilizosababishwa na uvamizi wa tembo katika mashamba ya wananchi kwenye kijiji cha Namapwiya na kuwapa pole wananchi hao.

Amesema Rais Mheshimiwa Samia anawapa pole kutokana na athari hizo na kwamba Serikali itahakikisha hakuna mwananchi atakayekosa chakula.

Amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea kupitia kamati ya maafa ya wilaya ahakikishe wanaandaa utaratibu wa kupatikana chakula kwa wananchi wote ambao mashamba yao yameathiriwa na wanyamapori.

Waziri Mkuu amesema tatizo hilo limechangiwa na wafugaji kuvamia maeneo ya hifadhi kwa kuingiza mifugo ikiwemo mbuzi, ng’ombe na kondoo katika hifadhi na kusababisha wanyamapori kukimbia na kwenda kwenye makazi ya wananchi.

Kufuatia hali hiyo Waziri Mkuu amemwagiza Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kukutana na wafugaji na kuwataka kutopeleka ng’ombe na mbuzi kwenye maeneo ya hifadhi.

Pia, Mheshimiwa Majaliwa ametoa wito kwa wananchi kutoingia na kuendesha shughuli za kilimo katika maeneo ya hifadhi ili kuepuka mazao yao kuharibiwa na wanyamapori.

Amesema katika kuhakikisha wanyamapori wanadhibitiwa, Mheshimiwa Rais Samia ameridhia zaidi ya shilingi bilioni 1.2 zitumike kwa ajili ya ujenzi wa vituo 19 vya askari wa wanyamapori karibu na maeneo ya hifadhi.

Waziri Mkuu amesema kati ya vituo hivyo vitatu vitajengwa katika wilaya tatu za mkoa wa Lindi ambazo ni Nachingwea (Nditi), Liwale (Liwale) na Milola (Ruangwa)

Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Samia ameridhia kibali cha ajira 6,000 za askari wa wanyamapori ambao watasambazwa katika maeneo yete yanayopakana na hifadhi.

Amesema ajira hizo zinalenga kuendelea kuimarisha ulinzi na kudhibiti wanyamapori kuingia kwenye maeneo makazi ya wananchi. “Tuanataka wananchi  waendelee kuishi kwa amani.”

Mheshimiwa Majaliwa amesema Serikali imetoa namba ya bure ya mawasiliano ambayo ni 0800110067 ili kuwawezesha wananchi kutoa taarifa mara wanyamapori wanapovamia kwenye makazi yao.

Akiwa katika kata ya Nditi kijiji cha Namanja kabla ya kuzungumza na wananchi Waziri Mkuu alikwenda kuifariji familia ya marehemu Riziki Issa ambaye aliuawa na tembo.

Akizungumza kwa niaba ya familia hiyo Mussa Nambole amesema wamefarijika kwa namna ambavyo viongozi mbalimbali wa Serikali walivyoshirikiana nao katika kipindi cha msiba huo.

Naye, Mbunge wa Nachingwea Dkt. Amandus Chingwile ameishukuru Serikaki kwa kuweka mikakati mbalimbali inayolenga kuzuia uvamizi wa wanyamapori kwenye makazi ya wananchi

About the author

Alex Sonna