Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

TAKUKURU MIKOA ZATAKIWA KUIMARISHA KLABU ZA WAPINGA RUSHWA MASHULENI ILI KUJENGA JAMII YENYE MAADILI

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi wa usimamizi wa maadili kutoka Ofisi ya Rais Menejmenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora bi. Leila Mavika akizungumza wakati akihitimisha  fainali ya mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha TAKUKURU Mkoa wa Dodoma tukio lililofanyika leo Julai 2,2022 katika shule ya Sekondari Maria De Mathias.

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Sosthenes Kibwango  akizungumza wakati kuhitimisha  fainali ya mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha TAKUKURU Mkoa wa Dodoma tukio lililofanyika leo Julai 2,2022 jijini Dodoma katika shule ya Sekondari Maria De Mathias.

Mkurugenzi wa usimamizi wa maadili kutoka Ofisi ya Rais Menejmenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora bi. Leila Mavika wa pili kutoka kushoto akimkabidhi tuzo ya ushindi mwakilishi wa wanafunzi kutoka shule ya sekondari Maria De Mathias Jasmini Ibrahimu mara baada ya kuibuka washindi kwenye shindano hilo.

Baadhi ya wanafunzi kutoka shule 6 zilizoingia fainali ya mashindano hayo wakifuatilia matukio yaliyokuwa yakitokea wakati fainali ya mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha TAKUKURU Mkoa wa Dodoma tukio lililofanyika leo Julai 2,2022 jijini Dodoma katika shule ya Sekondari Maria De Mathias.

Mkurugenzi wa usimamizi wa maadili kutoka Ofisi ya Rais Menejmenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora bi. Leila Mavika kwanza kutoka kushoto akiwa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Sosthenes Kibwengo wakifuatilia mdahalo kwa wanafunzi (hawapo pichani) wakati fainali ya mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha TAKUKURU Mkoa wa Dodoma tukio lililofanyika leo Julai 2,2022 jijini Dodoma katika shule ya Sekondari Maria De Mathias.

Baadhi ya wanafunzi wakitoa burudani wakatiwa wa  kuhitimisha  fainali ya mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha TAKUKURU Mkoa wa Dodoma tukio lililofanyika leo Julai 2,2022 jijini Dodoma katika shule ya Sekondari Maria De Mathias.

Mkurugenzi wa usimamizi wa maadili kutoka Ofisi ya Rais Menejmenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora bi. Leila Mavika aliyekaa katikati akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi walioshiriki mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha TAKUKURU Mkoa wa Dodoma tukio lililofanyika leo Julai 2,2022 jijini Dodoma katika shule ya Sekondari Maria De Mathias.

……………………………………..

Na  Ezekiel Mtonyole – Dodoma.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU za Mikoa zimetakiwa kuanzisha na kuzimarisha klabu za wapinga rushwa za wanafunzi mashuleni na kuzipa mafunzo ya jinsi ya kuzuia na kupambana na rushwa  ili kujenga jamii ijayo itakayokuwa na maadili na kuchukia vitendo vya rushwa.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa usimamizi wa maadili kutoka Ofisi ya Rais Menejmenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Leila Mavika wakati wa fainali ya mashindano la mdahalo kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwa wanachama wa klabu  za wapinga rushwa za shule za sekondari za Jiji la Dodoma.

Ambapo amesema kuna haja ya kuziimarisha klabu za wanafunzi wapinga rushwa ili kuimarisha maadili katika jamii ambayo itakuwa inachukia vitendo vya rushwa.

“Kwenye utumishi wa umma kitachohitajika ni utaalmu, uaminifu na uwajibikaji na ninaamini kuwa endapo tutaimarisha klabu za wapinga rushwa utaweza kupata watumishi wa umma wa baadaye watakaokuwa na hivi vigezo” amesema bi. Leila.

Amesema ni lazima kila mwananchi awe mzalendo kwa nchi yake kwa kupinga vitendo vya rushwa hivyo ninaamini kama tutaimarisha tangu utotoni tutafanikiwa kijenga kizazi chenye maadili.

Ameipongeza TAKUKURU Mkoa wa Dodoma kwa kuja na ubunifu wa mashindano hayo ambayo amesema yatawaimarisha wanafunzi katika kivichukia vitendo vya rushwa na kupata viongozi waadilifu wa baadaye.

Awali Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma  Sosthenes Kibwengo amesema mashindano hayo yalianza mwezi wa 4, 2022 yakishirikisha shule za sekondari 58 na zilikuwa zikipungua na hatimae shule 6 kuingia fainali.

Amesema maada katika mdahalo huo ilikuwa ni udhibiti wa vitendo vya rushwa katika miradi ya maendeleo maada ambayo ililenga kuwajengea uwezo wanafunzi na jamii katika kusimamia miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa katika maeneo yao.

“Fedha zinazotumika katika miradi ya maendeleo ni kodi za wananchi kwahiyo tunalenga kupitia mashindano hayo tunawajengea uwezo wanafunzi kutambua na kuwa nauelewa katika kudhibiti vitendo vya rushwa kwenye miradi.

Tunaamini kuwajengea uwezo watoto hawa watakwenda kutoa elimu katika maeneo yao na watakwenda kuelemisha jamii zinazowazunguka kupata uelewa wa kudhibiti vitendo vya rushwa katika miradi na usimamizi wa miradi hiyo” Amesema Kibwengo.

Amesema mashindano hayo yalilenga kuwajenga vijana katika mapambano dhidi ya rushwa ili kuwa na jamii ambayo inaichukia rushwa na watumishi wa umma wa maadaye wenye maadili kwenye utumishi wao.

“Tunaamini kupitia mafunzo haya wanafunzi hao watakwenda kuwa mabalozi wa zuri kwenye familia zao na taifa kwa ujumla na tutakuwa tumebadilisha jamii kwa kiasi kikubwa” amesema.

Shule 6 zilizoingia fainali ni Shule ya Sekondari Maria De Mathias, Bunge High School, Makutopora, Chinangali, Dodoma Sekondari na Itega Sekondari huku shule ya Sekondari Maria De Mathias wakiibuka washindi na kupata zawadi ya shilingi laki tatu.

About the author

Alex Sonna