Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

pusulabet

Featured Kitaifa

KATIBU MKUU MAJI AWAFUNDA WATUMISHI

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (wa pili kulia) akiwasikiliza watumishi Sekta ya Maji Mkoani Katavi (hawapo pichani).

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira, Mhandisi Mwajuma Waziri akizungumza na watumishi Sekta ya Maji Mkoani Rukwa (hawapo pichani). Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga. 

Baadhi ya watumishi kutoka Ofisi za RUWASA Mkoa wa Katavi na Mamlaka ya Maji Mpanda wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (hayupo pichani)

Baadhi ya watumishi wa Sekta ya Maji Mkoani Rukwa wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (hayupo pichani)

Baadhi ya watumishi wa Sekta ya Maji Mkoani Songwe wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (hayupo pichani)

………………………………………………………

Na Mohamed Saif

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga amewaasa watumishi wote katika Sekta ya Maji kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni ili kufikia malengo ya kuwafikishia wananchi huduma toshelevu ya majisafi na salama.

Katibu Mkuu Sanga ametoa maelekezo hayo hivi karibuni kwa nyakati tofauti alipokutana na watumishi wa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maji katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe.

“Sisi sote hapa ni watumishi wa umma; tunazo sheria, taratibu na kanuni za kiutumishi zinazotuongoza, ni muhimu kila mmojawetu akatimiza majukumu yake kwa kuzingatia haya mambo matatu,” alisisitiza Katibu Mkuu Sanga.

Mhandisi Sanga aliwaelekeza watumishi wote kwenye Sekta ya Maji kuepuka kuwa kero kwa wananchi na badala yake wawe ni wafumbuzi wa kero zinazowakabili wananchi hasa ikizingatiwa kwamba huduma ya maji haina mbadala na kwamba kila mwananchi anayo haki ya kupatiwa huduma bila kikwazo.

Aliwaasa watumishi hao kupenda kazi zao, kushirikiana, kuthaminiana, kupendana, kuheshimiana na kutambua jukumu la kila mmoja kwa jamii anayoihudumia ili kuepusha migongano isiyo ya lazima.

Alisema mwananchi anachohitaji ni kupata huduma ya maji haijalishi huduma hiyo anaipata kutoka kwenye Mamlaka ya Maji ama RUWASA na hivyo alizielekeza taasisi zote zilizo chini ya Wizara ya Maji kushirikiana hasa ikizingatiwa jukumu la msingi la taasisi hizo ni kuhakikisha mwananchi anapata huduma toshelevu ya majisafi na salama.

“Wananchi wanatutegemea kuwafikishia huduma bora, toshelevu na ya uhakika, tusiwe kikwazo katika hili. Kila mmoja kwa nafasi alionayo na kwa taasisi aliyopo amsaidie mwenzake kufikia lengo hili na asiwe kikwazo kwa mwenzake,” alielekeza Mhandisi Sanga.

Aidha, watumishi hao walieleza changamoto zinazowakabili ili kuzipatia ufumbuzi na pia walipata fursa ya kuzungumza na Mhe. Jumaa Aweso, Waziri wa Maji kwa njia ya simu kupitia Mhandisi Sanga na kupata nasaha zake.

Walipongeza utaratibu huo wa Katibu Mkuu Sanga wa kuwatembelea na kujadiliana kwa pamoja kuhusu utekelezaji wa majukumu yao na ufumbuzi wa pamoja wa changamoto na kero mbalimbali zinazowakabili.

“Tunakushukuru sana Katibu Mkuu kwa utaratibu huu unaoendelea nao, tumepata nafasi ya kukueleza ana kwa ana masuala mbalimbali ya kiutendaji na tumefarijika kupata nasaha zako na za Mhe. Waziri ambazo zinaleta motisha kwenye utendaji wetu,” alisema Ligo Gambi, Fundi Sanifu Mamlaka ya Majisafi Mpanda (MUWASA).

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vikao hivyo, Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri ambaye aliambatana na Katibu Mkuu Sanga aliwaelekeza watumishi kuwa na maadili ya kazi, wajitume na wachape kazi kwa bidii ili kuleta matokeo chanya.

Katibu Mkuu Sanga amefanya ziara kwenye mikoa hiyo ili kujionea utekelezwaji wa miradi unaoendelea, kuzungumza na watumishi na kukagua uwezekano wa kujenga miradi mikubwa kwenye maeneo yenye vyanzo toshelevu vya maji.

Vikao hivyo vya Katibu Mkuu Wizara ya Maji na watumishi maarufu kama ‘zungumza na Katibu Mkuu,’ vinavyotoa fursa kwa watumishi kumueleza Katibu Mkuu na Menejimenti yake ya Wizara ya Maji jambo lolote linalowatatiza katika utendaji wa majukumu yao ili kupata ufumbuzi.

About the author

Alex Sonna