Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI MABULA ATETA NA WAMILIKI WA SHULE NA VYUO BINAFSI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula wakati wa kikao chake na Wamiliki wa Shule na Vyuo visivyo vya kiserikali jijini Dodoma

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Wamiliki wa Shule na Vyuo visivyo vya kiserikali walipokwenda kuwasilisha ombi la kutaka kuondolewa kwa kodi ya pango la ardhi kwa shule na vyuo hivyo jijini Dodoma

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisikiliza hoja za Wamiliki wa Shule na Vyuo visivyo vya kiserikali waliokwenda kuomba kuondolewa kodi ya pango la ardhi kwa shule na vyuo hivyo jijini Dodoma

…………………………………………..

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amekutana na wamiliki wa shule na vyuo visivyo vya kiserikali kujadili hoja ya wamiliki hao kutaka waondolewe kulipa kodi ya pango la ardhi kwa shule na vyuo hivyo.

Hatua hiyo inafuatia Shirikisho la Wamiliki wa Shule na Vyuo visivyo vya kiserikali (TOMONGSCO) kuwasilisha hoja kwa Waziri wa Ardhi ya kutaka ufafanuzi na kuondolewa kwa kodi ya pango la ardhi kwa maelezo kuwa shule na vyuo vinatoa huduma kama zinavyofanya shule za serikali.

Wakiwasilisha hoja zao mbele ya Dkt Mabula Juni 16, 2022 jijini Dodoma, wamiliki hao walisema, ni vizuri wao wakatambulika kama Taasisi zinazoisaidia serikali katika suala la zima la kutoa huduma ya elimu badala ya kutazamwa kama wafanyabiashara.

Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Benjamin Maduhu alisema, gharama zinazotumiwa kuhudumia wanafunzi wa shule na vyuo hivyo ni kubwa ukilinganisha na ada inayolipwa na wazazi na kuiomba serikali kuangalia namna bora ya kuwaondolea kodi ya pango la ardhi ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi.

‘’Mhe Waziri gharama za kodi ya pango la ardhi kwa shule na vyuo vyetu ni kubwa tunakuomba utusaidie iondolewe maana tunateseka sana na kuna wakati tunafikiria kubadilisha hata matumizi ziwe hoteli’’ alisema Maduhu.

‘’Serikali iangalie namna gani ya kutuondolea hii kodi ya pango la ardhi maana shule na vyuo visivyo vya kisrerikali vinatumia gharama kubwa kuziendesha na return yoyote ikianza kurudi basi ni almost ten years na baada ya hapo majengo yanahitaji kukarabatiwa’’ alisema mmoja wa wamiliki hao ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Jesca Msavatavangu.

Wamiliki hao walieleza kuwa, wao na serikali siyo washindani lakini kwa kuwa wanaisaidia serikali kutoa huduma ya elimu hasa kwa wale wanafunzi wasiochaguliwa kujiunga na shule za serikali basi wangetamani serikali kuwatambua kama msaada na kuwaondolea kodi ya ardhi.

Akijibu hoja za wamiliki hao Waziri wa Ardhi Dkt Mabula alisema hoja zilizowasilishwa kwake ni lazima zipitiwe kwa kina na wataalamu kuona hoja za msingi na sheria na kuona kama upo umuhimu wa kuiondoa kodi hiyo kutokana na maombi yaliyowasilishwa kwenda kupunguza kodi ya serikali jambo alilolieleza lina mchakato mkubwa.

‘’Najua hamshindwi kulipa kodi ya ardhi bali siyo vipaumbele kwenu na ingekuwa kodi hiyo  inaingizwa kwenye bili ya umeme au maji mgelipa, sisi hatuna uwezo wa kuwabana, Aidha  mgelipia kwa wakati kodi hii wala msingehisi maumivu na mnaona ugumu kwa kuwa mmelimbikiza madeni na mtu anatakiwa kulipa milioni kumi anaona kubwa’’ alisema Dkt Mabula

Kwa mujibu wa Dkt Mabula, anachoweza kufanya kwa sasa kuhusu suala hilo ni kuzungumza na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu Mchemba kuangalia namna ya kuwaondolea riba kwa wale wanaodaiwa ili walipe kodi ya msingi na kuwataka wamiliki wanaodaiwa kulipa kodi ya pango la ardhi.

Wamiliki wa Shule na Vyuo visivyokuwa vya kiserikali walikwenda kumuona Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula kwa lengo la kupata ufafanuzi kuhusu tozo ya kodi ya ardhi kwa vyuo na shule hizo sambamba na kuwasilisha ombi la kutaka kuondolewa kabisa kodi hiyo..

About the author

Alex Sonna