Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

‘UTALII NI MBONI YA JICHO LETU’-MTATURU.

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameiomba serikali ijikite katika kulinda rasilimali zilizopo na isiache watu wachache ambao hawana nia njema nan chi wakaharibu vivutio vilivyopo.

Mtaturu ametoa rai hiyo Juni 16,2022,Jijini Dodoma wakati akichangia mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2022/2023.

Amesema ni lazima kama nchi iwe na vipaumbele katika kulinda vivutio vilivyopo ili kuenzi kazi nzuri anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan katika kutangaza utalii kupitia filamu ya Tanzania The Royal Tour.

“Utalii ndio unaingiza fedha nyingi kuliko sekta yoyote ,utalii huu tumepewa kama tunu na Mungu, lazima tulinde rasilimiali tulizonazo,na kupitia kazi ya Mh Rais tunaona matokeo yake watu wanakuja nchini,sasa leo hii tukitangaza vivutio ambavyo kesho havipo inakuwa haina maana,

“Niombe sana serikali isiache watu wachache ambao hawana nia njema waharibu vivutio vyetu,wengine wanakuja na sababu ndogo tu kuwa serikali inawajali wanyama kuliko wananchi hii sio kweli,wote wanaishi nchi hii ila lazima tuwe na vipaumbele tulinde vivutio na huku tunalinda na binadamu hatuwezi kuruhusu hali hii eti kwa sababu kuna watu wataona wanaonewa,”ameongeza.

Amesema pori la Loliondo lilianzishwa mwaka 1951 na kama lingekuwa halijahifadhiwa leo hii kungekuwa hakuna vivutio.

“Hatuwezi kuacha watu wachache wakatuharibia tena bahati mbaya wanatumika nan chi nyingine kuharibifu kwa sababu ya ushindani wa utalii,niombe serikali iwe makini vinginevyo tutaanza kuingia kwenye huruma ambazo hazina sababu ,wengine wana ajenda zao,”amesema.

Amesema pori hilo lilikuwa na mita za mraba 4,000, serikali imepunguza mita za mraba 2,500 na kuwaachia wananchi wafanye shughuli zao na eneo la mita za mraba 1,500 ni chanzo cha ikolojia ya kulinda Serengeti.

“Leo Serengeti ni mbuga inayosifika duniani, watu wengi wanataka kuja kuiangalia Serengeti,pale kuna Nyumbu wanapita kila mwaka na kuzaliana ,vyanzo vya maji ambavyo vinapatikana kutunza Serengeti vinapitia pale Loliondo,sasa tukianza kuja na sababu ndogo ndogo haina mashiko,

“Tanzani bado ni kubwa,ardhi hii ipo chini ya Rais aruhusu waende popote wakaishi waache eneo hilo liweze kulindwa na kuhifadhiwa ili tuweze kuendelea kupata watalii kama ambavyo tumeendelea kulinda katika miaka yote tangu mwaka 1951,”amebainisha.

Mtaturu amesema sekta ya utalii imeendelea kuonekana kama mboni ya jicho hivyo serikali isisite kuchukua hatua na kusimamia.

‘Naomba sana kama kuna mtu anafanya tofauti na haki za binadamu wachukuliwe kuwa ni wao lakini sio ionekane serikali nzima haijafanya kazi yake,”amesema.

About the author

Alex Sonna