Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

millibahis giriş

betlivo

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

timebet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

süratbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

bodrum escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz

jojobet

vdcasino

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10 sorunsuz giriş

betsat giriş

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

matbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

goldenbahis

ngsbahis

betpuan

restbet

yakabet

betplay

deneme bonusu

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU ACHARUKA BUNGENI UKUAJI WA UCHUMI.

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameishauri serikali kuruhusu sekta binafsi iingie katika uchimbaji wa miradi ya chuma ya Liganga na makaa ya mawe ya Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa.

Mtaturu amesema hayo Juni 16,2022,Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2022/2023.

“Tumeelezwa vizuri mpango wa serikali namna utakavyokuza uchumi,lakini tumeelezwa ukuaji wa uchumi unategemea mwakani 2023,kufikia wastani wa asilimia 5.3, wakati huo Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025,inasema ukuaji wa uchumi utakuwa kwa asilimia 6.9,nikiangalia naona tumekuwa tunapanda kwa taratibu sana na sababu ni kwamba kuna baadhi ya vyanzo vya mapato hatujaviangalia,”

Amesema kumekuwa na changamoto ya kutamka lakini hatua haichukuliwi ilhali Ilani ya CCM Ibara ya 17,imeeleza wazi kutumia rasilimali za Taifa kwa ajili ya maendeleo na manufaa kwa watanzia.

“Tunavyoongea leo hii kule Ludewa kuna leseni tulizowapa NDC zipatazo nane, wamezishikilia hawajahi kufanya utafiti,hawajawahi kuchimba, mali ipo ardhini haijawahi kuguswa,tulienda na Kamati yetu ya Miundombinu tumeona makaa yam awe yale huitaji kutumia nguvu kubwa,unachukua chepe unachimba unaenda kuuza,wala hayahitaji kutumia fedha nyingi leo hii kwa sababu NDC ni kampuni ya serikali hawaoni manufaa sana,ni vizuri tukaruhusu sekta binafsi ichimbe na itaenda kwa kasi kwa kuwa wao wanaangalia faida,”amesema Mtaturu.

Mtaturu amesema uwepo wa biashara hiyo ya makaa yam awe itawezesha kukuza bandari ya Mtwara ambayo itapata mzigo wa kutosha wa kwenda nje.

“Tumeanza kuona sasa hivi kuna meli zinaondoka kwenda India kutokea bandari ya Mtwara,kwa hiyo kama tutaweza kupeleka mzigo wa kutosha katika Bandari hiyo tutarudisha fedha ambazo serikali imewekeza ,niombe sana eneo hili waliangalie kwa makini ili waone namna tutakavyoongeza pato la taifa ambalo kimsingi kwetu ni jambo kubwa sana,”amefafanua.

Ili kuongeza ufanisi wa Bandari hiyo Mtaturu ameiomba serikali kujenga barabara ya Njombe -Ludewa hadi Manda yenye urefu wa kilomita 211.

Amesema kati kilomita 211 tayari serikali inajenga kilomita 50 na hivyo kuomba kilomita 161 zilizobakia nazo zijengwe ili kurahisisha usafirishaji mzigo wa makaa ya mawe na chuma kutokea Liganga na Mchuchuma.

“Kwa sababu kutakuwa na movement kubwa ya magari ambayo yatakuwa yanatoka kule kwa ajili ya kupeleka mizigo katika bandari yetu ya Mtwara na eneo lingine,ni vizuri kuifanyia kazi barabara hii ili tukuze uchumi na kuongeza pato la Taifa,”amesema.

*Pongezi kwa Rais.*

Mtaturu amempongeza Rais Samia kwa kazi nzuri anayoifanya na kusema ametoa kauli na kuonyesha utashi wa kweli katika kuleta maendeleo kwa wananchi.

“Na hata hii bajeti iliyosomwa na kaka yangu Mwigulu Nchemba, imeonyesha wazi dhamira yake na imeonyesha wazi namna ambavyo anaitekeleza vizuri Ilani ya CCM,nimpongeze Waziri wa Fedha kwa kuleta hoja ambayo imeonyesha wazi inaenda kuondoa maumivu yaliyokuwepo kwa wananchi,

“Bajeti imegusa nyanja mbalimbali za kimaendeleo ,bajeti hii imegusa sekta zote kwa umakini mkubwa lakini zaidi imeonyesha wazi wazi kwamba inaenda kumgusa mwananchi mnyonge kabisa,naamini kama itaenda kufanyiwa kazi itaenda kuleta mabadiliko na kufanya mapinduzi makubwa ya uchumi wan chi yetu ,”amesisitiza.

*Serikali imeupiga mwingi Jimboni.
*
Amesema jimboni kwake ameona maendeleo mbalimbali yaliyofanywa na serikali katika sekta ya afya,maji,elimu na huduma nyingine za kijamii.

“Niishukuru serikali kwa jitihada zake, katika bajeti hii pamoja na bajeti za kisekta tulizokuwa tunapitisha nimeona katika jimbo langu wilaya yangu ya Ikungi imepata mgao wa fedha lakini kama hiyo haitoshi tumeona namna ambavyo miundombinu ya barabara itaenda kuletewa fedha kwa ajili ya kutengenezewa lami,

“Katika maeneo ya Ikungi tunapata kilomita mbili zinaenda kujengwa pamoja na taa zitawaka hii italeta mabadiliko makubwa sana,tunaishukuru kwa namna ambavyo imeamua kujenga barabara ile ya Singida kwamtoro – Kibaya -Kibrashi -Handeni ambayo tumekuwa tukiisemea kwa muda mrefu,kilomita 462 ikienda kujengwa itaenda kukuza uchumi wa wananchi wetu,tunaomba tupate mkandarasi barabara ianze kujengwa,”ameongeza.

About the author

Alex Sonna