marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

gameofbet

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

sahabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

ligobet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

galabet

norabahis

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

Featured Kitaifa

REA YAIUNGA MKONO SERIKALI KUBORESHA MAKAZI MAPYA YA WANAOHAMIA KUTOKA NGORONGORO

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (kulia) akizungumza na Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu (katikati), Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Handeni ambaye ni Katibu Tawala, Mashaka Mgeta (wa pili-kulia) na wataalamu mbalimbali wa REA na TANESCO pamoja na Wakandarasi, Juni 13, 2022 wakati wa ziara kukagua maendeleo ya mradi wa kuunganisha umeme katika makazi mapya ya wananchi wanaohamia kijiji cha Msomera mkoani Tanga, kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Msomera, Kata ya Misima, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga, Martin Oleikayo Paraketi (wa kwanza kushoto), akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo (mwenye kofia ya bluu), Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy (mwenye kofia nyeusi na Ujumbe waliofuatana nao Juni 13, 2022 wakati wa ziara kukagua maendeleo ya mradi wa kuunganisha umeme katika makazi mapya ya wananchi wanaohamia kijiji cha Msomera kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro. Wa pili-kushoto ni Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Msomera, Kata ya Misima, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga, Martin Oleikayo Paraketi (wa kwanza kushoto), akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo, Juni 13, 2022 wakati wa ziara kukagua maendeleo ya mradi wa kuunganisha umeme katika makazi mapya ya wananchi wanaohamia kijiji cha Msomera kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro. Kutoka kulia ni Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy.

Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu (kulia) na Mwenyekiti wa Kijiji cha Msomera, Kata ya Misima, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga, Martin Oleikayo Paraketi, wakiwa katika picha ya ukumbusho Juni 13, 2022 wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy kukagua maendeleo ya mradi wa kuunganisha umeme katika makazi mapya ya wananchi wanaohamia kijiji cha Msomera kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy akizungumza na waandishi wa habari Juni 13, 2022 wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (hayupo pichani), kukagua maendeleo ya mradi wa kuunganisha umeme katika makazi mapya ya wananchi wanaohamia kijiji cha Msomera, Kata ya Misima, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga, kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro. Wa kwanza kulia ni Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu (wa nne kutoka kulia), Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Handeni ambaye ni Katibu Tawala, Mashaka Mgeta (wa sita-kulia) na wataalamu mbalimbali wa REA na TANESCO pamoja na Wakandarasi, Juni 13, 2022 wakati wa ziara kukagua maendeleo ya mradi wa kuunganisha umeme katika makazi mapya ya wananchi wanaohamia kijiji cha Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga, kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

*********

Na Veronica Simba  – REA

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita zinazolenga kuboresha eneo la kijiji cha Msomera, Kata ya Misima, wilayani Handeni, ambalo ni makazi mapya ya wananchi wanaohamia kutoka Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Hayo yamebainishwa wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo aliyefuatana na Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy wilayani Handeni, Juni 13 mwaka huu.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika ziara husika, Viongozi hao walisema REA imeunga mkono juhudi hizo za Serikali kwa kuhakikisha wananchi wanaohamia eneo hilo wanapata nishati ya umeme ambayo ni muhimu kwa kila mtu.

“Mpango wa Serikali kuwaomba baadhi ya wakazi wa Ngorongoro kuhamia katika eneo hili umefanya mahitaji ya nishati kuwa makubwa kuliko bajeti tuliyoipanga awali; hivyo tumetembelea tujionee mahitaji halisi ili tukapitishe nyongeza ya bajeti itakayokidhi mahitaji ya wananchi wote wa eneo hili,” alisema Wakili Kalolo.

Aidha, aliongeza kuwa, upelekaji umeme umehusisha pia kuongeza wigo kwa wakazi wa vijiji jirani ambao walikuwa hawajafikiwa na nishati hiyo ili nao wafaidi huduma hiyo na kuboresha hali ya maisha.

Akifafanua zaidi, Mkurugenzi Mkuu wa REA, alisema tayari ujenzi wa kilomita 23 kati ya 30 za njia ya kupeleka umeme katika eneo husika zimekwishakamilika na transfoma iko tayari kuwashwa. Aidha, alibainisha kuwa baadhi ya nyumba zimekwishaungiwa umeme na kwamba Mradi unaendelea.

Katika hatua nyingine, Mhandisi Saidy alieleza kuwa Serikali imeahidi kutoa pesa kwa ajili ya kuongeza wigo wa upelekaji umeme kwa kilomita mbili zaidi kwa kila kijiji ili kuongezea kilomita moja ya awali ambayo kimsingi ilikuwa na lengo kuu la kufikisha umeme mkubwa katika kila kijiji.

“Kwa wananchi wa Mkoa wa Tanga na maeneo yote ya Tanzania, wasiwe na hofu kwani ile kilomita moja ni ya awali, lakini kila kijiji kitapata kilomita mbili za ule umeme mdogo na hivyo tunatarajia tutafikia wateja wengi zaidi,” alisisitiza.

Mhandisi Saidy aliongeza kuwa, kwa Mkoa wa Tanga, REA inatekeleza pia Mradi wa Ujazilizi ambapo jumla ya vitongoji 85 vimekwishafikiwa na huduma na kuna ongezeko la vijiji 51 zaidi ambavyo pia vitapatiwa umeme kupitia Mradi huo.

Alisema, kwa Mkoa wa Tanga kuna jumla ya Kandarasi Sita zinazotekelezwa ambazo alizitaja kuwa mbili kati yake ni za Mradi wa REA Awamu ya Tatu Mzunguko wa Kwanza, Kandarasi Tatu ni za Mradi wa REA Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili na Kandarasi Moja ni ya Mradi wa ujazilizi.

Kwa upande wake, Mbunge wa Handeni Vijijini, Mhandisi John Sallu, aliishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan akieleza kuwa imekuwa mstari wa mbele katika kuwapambania wananchi katika kuhakikisha mazingira wanayoishi yanakuwa bora zaidi ikiwemo kuwapelekea nishati ya umeme.

Akieleza zaidi, Mheshimiwa Sallu alibainisha kuwa, katika Jimbo lake kasi ya utekelezaji wa miradi ya REA inakwenda vizuri na kwamba kupitia ziara ya viongozi wa REA, baadhi ya maeneo ambayo yalikuwa na upungufu yametolewa ahadi ya kufikishiwa nishati ya umeme.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Msomera, Martin Oleikayo Parakett alimshukuru Mungu, Rais Samia pamoja na viongozi walio chini yake hususan wa Wizara ya Nishati, REA na TANESCO kwa kuona umuhimu wa kukipelekea kijiji hicho umeme.

Alitoa rai kuwa nishati hiyo itolewe kwa usawa kwa wakazi wote ambao wanajumuisha wenyeji pamoja na wageni wanaohamia.

Wengine walioshiriki katika ziara hiyo ni Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka REA, Mhandisi Thomas Mbaga, Meneja wa TANESCO Mkoa wa Tanga Mhandisi Julius Sabu, Wataalam kutoka TANESCO pamoja na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Tanga.

About the author

Alex Sonna