slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

hardcore anal porn

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

betgit

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

marsbahis

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

elexbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

holiganbet giriş

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

holiganbet

jojobet

grandpashabet

1win

ibizabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

gameofbet

Hacklink panel

mislibet giriş

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

roketbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

Featured Kitaifa

RC SINGIDA AKAGUA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA TASAF WILAYANI MKALAMA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge akizungumza na
wananchi wa Kijiji cha Singa  Kata ya Kinampundu katika ziara yake ya kukagua miradi inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) aliyoifanya hivi karibuni wilayani Mkalama.

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo
akizungumza na wananchi wa kijiji cha Singa katika ziara hiyo.

Wananchi wakijiji cha Singa 
wakicheza ngoma wakati wakimkaribisha Mkuu wa wilaya katika ziara hiyo.

Mwenyekiti
wa CCM Wilaya ya Mkalama  Lameck Itungi akizungumza katika 
ziara hiyo.

Wananchi wa kijiji cha Singa wakiwa kwenye mkutano wa mkuu
wa mkoa .

Katibu tawala wa Wilaya ya Mkalama,.Elizabeth Rwegasira
akifanya utambulisha kwa watumishi wa Halmashauri pamoja na msafara uliongozana
na Mkuu wa Mkoa wa Singida.

Wataalamu
kutoka ngazi ya wilaya na Mkoa
wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Mkoa katika kijiji cha  Mnguli kitongoji cha Kipamba.

Mwenyekiti
wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Gumanga, James Mkwega akitoa neno la shukrani kwa serikali ya awamu ya sita  kwakutoa fedha za utekelezaji wa miradi kwa
wilaya ya Mkalama  ambapo pia
amesema  wataunga mkono juhudi za serikali
kwa kusimamia fedha 
za  miradi vizuri pamoja na kufanya kazi kwa
bidii kwa masilahi mapana ya wilaya na wananchi wa Mkalama.

Diwani wa Kata ya Mwangeza ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti
wa Halmshauri ya Wilaya ya Mkalama, Bosco Samwel akizungumza  kwenye ziara hiyo.

Wananchi wa Kijiji cha
Munguli Kitongoji cha Kipamba wakitumbuiza kwa ngoma za asili  za jamii ya Wahadzabe wakati wa ziara ya Mkuu
wa Mkoa katika  Kijiji  cha Munguli.

Mkutano
ukiendelea.

 Afisa Mazingira Wilaya ya Mkalama, Amon Sanga akieleza utekelezaji wa mradi wakurejesha
Ardhi iliyoharibika na kuongeza usalama wa chakula unaotekelezwa katika Kata ya
Mpambala kwa vijiji vya Nyahaa, Mkiko, Mpambala , Lugongo pamoja na Kata ya
Mwangeza  Kijiji cha  Munguli.

Mratibu
wa TASAF Wilaya ya Mkalama, Gudluck Mlau akieleza namna mradi wa kunusuru
kaya masikini unavyotekelezwa
wilayani  humo.

Mratibu wa Sensa  Wilaya ya Mkalama, Daniel Tesha akieleza maandalizi ya sensa ya watu
na makazi  inayotarajiwa kufanyika Agosti
23 mwaka huu.

Mwenyekiti wa jamii ya Wahadzabe Edward Mashimba akitoa
neno la shukrani kwa ujio wa Mkuu wa Mkoa katika Kitongoji cha Kipamba ambapo
alisema jamii ya Wahadzabe iko tayari kushiki shughuli  zote zamaendeleo  pamoja na kushiriki katika zoezi la sensa ya
watu na makazi  ifikapo Agost 23 mwaka
huu.

  Mkuu wa Mkoa
wa  Singida Dkt. Mahenge akiwa katika
picha ya pamoja na wananchi wa jamii ya wahadzabe pamoja na wataalamu
mbalimbali wakati wa ziara hiyo.

Rachel Joram na Dotto Mwaibale,  Mkalama  

MKUU wa Mkoa wa Singida Dkt . Binilith mahenge ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kutenga kiasi cha sh.2,118,079,899.00 kutoka  kwenye mfuko wa kimataifa wa mazingira katika
kutekeleza mradi  wa kurejesha Ardhi
iliyoharibika na kuongeza usalama wa chakula
katika kata ya Mpambala na Kata ya Mwangeza Kijiji cha Munguli Wilaya

ya  Mkalama mkoani Singida

Dkt. Mahenge aliyasema  hayo  katika
ziara aliyoifanya  wilayani hapa  ya kutembelea miradi  mbalimbali
ya maendeleo  inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo wa kunusuru Kaya Masikini (TASAF)  katika Kijiji cha  Singa Kata ya Kinampundu na  Kijiji cha Munguli Kitongoji cha Kipamba  Kata ya Mwangeza  na kusema  kukamilika kwa mradi hiyo itatatua changamoto

nyingi za wananchi ikiwani pamoja na
kutatua kero za maji, na kutunza mazingira , kuzuia  mmomonyoko  kwenye  maeneo

 yanayotekelezwa miradi.

Aidha amewataka wataalamu wa ngazi zote kusimamia vizuri
pamoja  kushirikiana kutatua  changamoto
zitakazojitokeza ili kuharakisha maendeleo ya  Wananchi wa wilaya ya mkalama ikiwa ni pamoja

na kutatua migogoro mbalimbali iliyopo katika maeneo  ya miradi.

Akitembelea bwawa la kijiji cha  Singa kata ya Kinampundu  liliochimbwa na wanufaika wa mradi wa kunusuru
kaya masikini TASAF aliwataka wananchi hao kutumia mradi huo vizuri ili uweze
kuwanufaisha kwakuwataka kulima kilimo cha umwagiliaji na kutoruhusu mifugo
kuingia na kukanyaga   kujaza mchanga  kwenye  mradi ili maji hayo yaweze kudumu  hadi kipindi cha masika.

Awali akimkaribisha
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mkuu wa Wilaya ya Mkalama  Sophia  Kizigo alianza kwa kumshukuru Mkuu wa Mkoa

kutembelea wilaya ya mkalama  kujionea
maendeleo ya wilaya  na kuongeza kuwa  ziara yake inachochea kasi ya maendeleo kwani
wananchi wanajisikia furaha kutembelewa na viongozi wa kubwa huku akimuomba
Mkuu wa  mkoa Dkt . Mahenge inapotokea
kugawanywa maeneo ya utawala na Kata ya Mwangeza iangaliwe kwa jicho la pekee
kwani ni kubwa hivyo kupunguza ufanisi wa kuwafikia wananchi waliopo maeneo ya
mbali.

Diwani wa Kata ya Mwangeza  Bosco  Samwel
aliongeza kuwa ni kweli Serikali imefanya mambo makubwa katika kata yake

na hasa kwa jamii ya Wahadzabe inayoishi
kijiji cha Munguli kitongoji cha Kipamba  lakini kilio
bado kipo kwenye ubovu wa miundo mbinu ya barabara , umeme, ukosefu

wa  nyumba za walimu pamoja na uhaba wawalimu
katika shule shikizi ya Kipamba ambayo tayari imesajiliwa pamoja na shule
shikizi ya Mwasulagi ambayo hakuna barabara ya kufika katika shule hiyo.

Afisa Mazingira Wilaya ya Mkalama  Amon Sanga alieleza
utekelezaji wa mradi wa mazingira umesaidia kuwepo kwa mpango wa matumizi bora
ya ardhi  kwa vijiji vitano
vinavyotekeleza mradi wa LDFS ,huku vikundi vya uzalishaji kiuchumi vikianza
kunufaika na ufugaji kwa kupata mizinga ya nyuki  420 pamoja na kuwepo kwa msitu ambao tayari
una hati miliki ya kimila unaotoa manufaa
mbalimbali  ikiwa ni pamoja na

ufugaji wa nyuki, upatikanaji wa mahitaji ya
jamii ya kihadzabe kama vile dawa,mizizi , matunda na wanyama pori.

Akizungumzia utekelezaji wa mradi wa TASAF Mratibu wa TASAF Wilaya ya Mkalma, Gudluck Mlau alisema kuwa kwa kipindi cha Julai 2021 hadi
Mei  2022 Halmashauri ya Wilaya ya
Mkalama im epokea kiasi cha Tsh,.1,591,881,600.00 na malipo yamefanyika katika
vijiji vyote 70 ambapo jumla ya walengwa 7,235 walinufaika na mradi huo huku
kijiji cha Munguli kikipokea  fedha za
ruzuku  kiasi cha Tsh.43,998,000.00 kwa
kipindi cha mwezi  Januari  hadi Mei 2022 huku walengwa 354 wakipokea
ruzuku zao kwa njia ya mtandao jambo linalowapa urahisi  wakupokea fedha zao .

Sanjari na hayo  Mratibu
wa Sensa Wilaya ya Mkalama, Daniel Tesha
alieleza maandalizi ya sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika

Agosti 23 mwaka huu kuwa yanaendelea vizuri na kuongeza kuwa  tayari
hamasa imeshafanyika kwa vijiji vyote70 vya wilaya ya Mkalama na tayari

eneo  Maalumu limetengwa katika kitongoji
cha Kipamba kijiji cha Munguli  maalumu
kwa jamii ya wahadzabe na bajeti maalumu
imewasilishwa ofisi ya Takwimu taifa
ili jamii hiyo iweze kupata chakula katika siku hiyo ya sensa na kuweza

kushiriki kikamilifu.

Baadhi ya wananchi wajamii ya wahadzabe wameishukuru
serikali kuweka kipaumbele na kupeleka miradi mingi katika jamii hiyo huku
wakiaahidi kuunga mkono  juhudi za
serikali kwa kufanya kazi kwa bidii na kushiriki zoezi la sensa  ya watu na makazi ifikapo Agosti 23 mwaka huu.

About the author

Alex Sonna