marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

milanobet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

Featured Kitaifa

TBS IMEWEKA MIFUMO YA KUDHIBITI ILI KUHAKIKISHA CHAKULA KILICHOPO SOKONI NI SALAMA-MHANDISI MAGANGA

Written by Alex Sonna

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Johaness Maganga (katikati) akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam.  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Johaness Maganga akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora Shirika la Viwango Tanzania, Bw.Lazaro Msasalaga  akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam. Mwakilishi kutoka Shirika la Afya la Umoja wa Kimataifa (WHO) Bi.Rose Shija akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam. Afisa Afya na Mazingira kutoka Wizara ya Afya (Wizara ya Afya) Bi.Josephine Kapinga akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam. Afisa Biashara kutoka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara  Bw.Denis Mzamily akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya wadau mbalimbali wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yaliyofanyika leo Juni  7,2022 katika ofisi za TBS Jijini Dar es Salaam.

(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

**************************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Makadirio yaliyofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2015 yanaonesha kuwa kila mwaka, zaidi ya watu milioni 600 duniani huugua, na watu 420,000 kati yao hufa kutokana na kula chakula kisicho salama. Magonjwa haya hutokea zaidi kwa watu wenye kipato cha chini na zaidi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.

TBS imeweka mifumo ya kiudhibiti ili kuhakikisha kuwa chakula kilichopo katika soko hapa nchini ni salama ili kuilinda jamii dhidi ya madhara yatokanayo na kula chakula kisicho salama.

Ameyasema hayo leo Juni 7,2022 katika Ofisi za TBs Jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Johaness Maganga wakati akizungumza na wadau mbalimbali katika kuadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day).

Amesema mara kadhaa TBS imekuwa ikishirikiana na wadau wa chakula ili kufikia lengo la kuwa na chakula salama katika soko, hivyo basi maadhimisho haya yamewashirikisha pia wadau wa usalama wa chakula kutoka wizara na taasisi mbalimbali za serikali na za kimataifa, ikiwemo Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Wizara ya Afya, Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Taasisi ya Chakula na Lishe pamoja na Mamlaka ya Mkemia Mkuu wa Serikali. Vilevile, ofizi za mashirika ya kimataifa, Shirika la Afya la Umoja wa Kimataifa (WHO) pamoja na Shirika la Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) wamejumuika nao katika maadhimisho haya. 

“Tunatambua mchango mkubwa kutoka kwa wadau hawa katika kuhakikisha usalama wa chakula nchini, ikiwa ni pamoja na kushiriki katika masuala mbalimbali kama vile kuandaa sera, kanuni na miongazo mbalimbali katika uzalishaji, usafirishaji, uuzaji na uandaaji wa chakula”. Amesema Mhandisi Maganga.

Aidha Mhandisi Maganga amesema kutokana na suala la usalama wa chakula kuwa mtambuka, mfumo thabiti wa udhibiti wake unapaswa kuwa shirikishi, ukihusisha afya ya binadamu, wanyama, mimea na mazingira.

“Wanyama na mimea ndio chanzo kikubwa cha chakula cha binadamu. Afya ya wanyama ni muhimu ili kuepuka magonjwa yanayoambukizwa kwa binadamu kwa kula nyama kutoka kwa wanyama hao”. Amesema 

Pamoja na hayo ameeleza kuwa kuadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani kwa mwaka 2022, TBS imejikita katika kutoa elimu kwa jamii kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Mada na matangazo kuhusu usalama na ubora wa chakula zimekuwa zikitolewa katika redio, televisheni, magazeti na mitandao ya kujamii kwa wiki moja, kuanzia tarehe 30 Mei, 

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Shirika la Afya la Umoja wa Kimataifa (WHO) Bi.Rose Shija amesema WHO imeongoza juhudi za kutathmini ukubwa wa tatizo la magonjwa yatokanayo na chakula kisicho salama duniani na imesaidia nchi kujenga au kuimarisha mifumo ya kitaifa ya ufuatiliaji wa magonjwa yatokanayo na chakula kisicho salama.

Amesema WHO imehakikisha kuwa viwango vya kimataifa vya usalama wa chakula Codex Alimentarius vinazingatia afya ya Umma na kwamba nchi zilizo na uwezo mdogo zinajengewa uwezo ka kushiriki kwenye mafunzo ya Codex.

“Tunatoa wito kwa wadau wote kukuza na kuendeleza utamaduni wa usalama wa chakula na pia kuzingatia viwango vya chakula vya kimataifa na vya ndani, kukuza utunzaji salama wa chakula pamoja na kutoa elimu ya usalama wa chakula.

About the author

Alex Sonna