Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Michezo

SHAKA AWAAGA TEMBO WORRIORS,AMPONGEZA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KATIKA MICEZO

Written by Alex Sonna
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Viongozi wa Timu ya Soka ya Watu Wenye Ulemavu (Tembo Worriers) , alipotembelea kambi ya timu hiyo kwa ajili ya kuwatia moyo na kuwaaga wachezaji kabla ya kwenda katika michuano hiyo.
Katibu Mkuu Mkuu TAFF Akizungumza wakati wa hafla ya  kuwatia moyo na kuwaaga wachezaji wa Timu ya Soka ya Watu Wenye Ulemavu (Tembo Worriers) kabla ya kwenda katika michuano hiyo walipotembelewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu Wenye Ulemavu (TAFF), Ndg. Peter Sarungi wakati akimkaribisha Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, aliyetembelea kambi ya timu hiyo kwa ajili ya kuwatia moyo na kuwaaga wachezaji kabla ya kwenda katika michuano hiyo.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akizungumza na Viongozi wa Timu ya Soka ya Watu Wenye Ulemavu (Tembo Worriers) , alipotembelea kambi ya timu hiyo kwa ajili ya kuwatia moyo na kuwaaga wachezaji kabla ya kwenda katika michuano hiyo.(PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI/CCM)
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akikabidhiwa Cheti na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu Wenye Ulemavu (TAFF), Ndg. Peter Sarungi,Cha Shukrani kwa Niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa  kuipa timu hiyo sh. milioni 150 kwa ajili ya maandalizi na kugharamia kambi ya timu hiyo katika hotel ya Regency jijini Dar es Salaam, 
………………………………………..
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema matokeo na mwendo mzuri wa michezo hususan kwa timu ya Soka ya Watu Wenye Ulemavu (Tembo Worriors) ni matokeo ya utekelezaji mzuri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
 
Shaka ameyasema hayo aliposhiriki hafla ya kuiaga Tembo warriors inayoelekea nchini Poland kwa ajili ya maandalizi ya kuelekea mashindano ya dunia yatakayofanyika nchini Uturuki, hafla ambayo imefanyika katika Hoteli ya Regency jijini Dar es Salaam, ambapo alimpongeza Rais Samia kwa mageuzi makubwa anayoyafanya katika kada ya michezo kupitia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.
 
“Sisi kwenye Chama na hata Mwenyekiti wa Chama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan wote mnafahamu kwamba dira yake mwelekeo wake unakwenda sambamba na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi, ya mwaka 2020-2025. Kwenye Ilani huu na ninyi pia mmo kwenye yale ambayo katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. 
 
“Ninayo furaha kutamka kuwa kazi ya utekelezaji wa mkataba huu baina ya Chama Cha Mapinduzi na Watanzania inakwenda vizuri sana. Mageuzi makubwa ya kiuchumi inayopiga nchi yetu, lakini mageuzi makubwa kijamii inayopiga nchi yetu ni matokeo bora kabisa ya Ilani yenye viwango ya Chama Cha Mapinduzi.
 
“Nataka nichukue fursa hii kumpongeza kwa dhati kabisa Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa anayoyafanya katika kada hii ya michezo nchini, lakini kwa uthubitu alionao,” amesema.
 
Shaka aliitaka timu hiyo kuitumia vyema imani waliyoonyeshwa na Rais Samia huku alisisitiza hana shaka kwamba itafanyia vizuri katika michuano hiyo.
 
Kwa upande wake Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu Wenye Ulemavu (TAFF), Peter Sarungi alimshukuru na kumwahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuwa timu hiyo inakwenda kufanya vizuri katika michuona ya Soka ya Dunia.
 
Amesema hatua ya Rais Samia kuipa timu hiyo sh. milioni 150 kwa ajili ya maandalizi na kugharamia kambi yake katika hotel ya Regency jijini Dar es Salaam kwa takriban miezi saba, imeonyesha jinsi anavyotaka mafanikio ya timu, hivyo wanamwahidi makubwa.
 
“Kwa namna ya kipekee mwaka jana mheshimiwa Rais alimwagiza mheshimiwa Waziri Mkuu (Kassim Majaliwa) kuja kutuchangia sh. Milioni 150 kwa ajili ya michezo yetu, lakini vilevile hatuwezi tukasahau kwamba amekuwa karibu sana na sisi, baada tu kushinda kwenda kombe la dunia alitualika kwenda Ikulu na akawa ametupa maelekezo na hayo ni maelekezo ya kwanza kabisa katika historia ya michezo. Timu ya Taifa kukaa kambini chini ya usimamizi na ufadhil wa serikali kwa zaidi ya miezi saba.
 
“Lakini vilevile nitambue na nikupe taarifa kuwa kwenye Kambi hii tuna timu ya Taifa ya walemavu wanaokwenda kushiriki michuano ya Jumuiya ya Madola, hawa wanatokea TPC (Tanzania Paralempic Committee) wapo wachezaji wawili.
 
“Mheshimiwa Rais alituagiza kwamba moja ya jambo ambalo angependa kuliona ni kuitangaza nchi yetu kupitia michezo, lakini vilevile kuhakikisha tunarudi na ushindi, na ushindi kwetu tulivyou ‘udefine’ (tafsiri) ni nafasi zile tatu za juu ambazo lazima urudi na medali, kombe na vitu vingine. Kwa hiyo, hiyo ni ‘target’ ambayo sisi tumepewa na kila siku tukilala tukiamka tunawaza hilo jambo na kuhakikisha tunailetea Tanzania heshima yake inayostahili. 
 
Sarungi amesema wananmshukuru Rais Samia kwa kuwa ameonyesha ni kiongozi na mama mlezi ambaye amekuwa faraja kubwa kwao.
 

About the author

Alex Sonna