Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

holiganbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

Gameofbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat giriş

jojobet

radissonbet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

porno izle

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU AICHAMBUA SEKTA YA UTALII

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu wa kuitangaza Programu ya Tanzania The Royal tour na kusema yoyote anayebeza kazi iliyoifanyika hajui maana ya utalii.

Kutokana na hilo amewashauri watanzania na wizara ya Maliasili na Utalii kumuunga mkono kwa kuendelea kuitangaza vizuri kazi hiyo na sio kuiacha ipotee.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo Juni 3,2022,Jijini Dodoma Mtaturu amesema Rais ametutoa kimasomaso kuitangaza nchi kiutalii.

“Rais Samia amefanya kazi nzuri na sisi tunaona ina maana kubwa sana kama nchi,imeenda kuzinduliwa katika sehemu ambayo watu hawavijui vivutio vyetu,imeenda kuzinduliwa katika nchi za Ulaya,nina amini kabisa wale walioshiriki kuona vivutio vile leo tunaona matokeo yake,sasa yule ambaye anaenda kubeza au kukosoa hajui maana ya utalii tumuache ,

“Kuna nchi zimefanya kazi kubwa ya kutangaza vivutio vyao, sisi tumefanya kwa kiasi, lakini mkuu wan chi alivyoingia na kufanya jambo hili limetupa heshima kubwa duniani ,na leo hii ile film kila mtu akiangalia anajua kabisa anatoka Ulaya anakwenda kuona Serengeti,mlima Kilimanjaro anaenda kuona vivutio vya kipekee ambavyo ni vya kipekee katika nchi yetu,”ameongeza.

Ametoa rai kwa watanzania kuendelea kumuunga mkono Rais na wizara iendelee kuitangaza vizuri kazi hiyo na kutokubali ipotee.

“Kazi hii ni kubwa na ina heshima,kiongozi wa nchi kuacha kazi zake na kuingia kufanya kazi ya sekta ni jambo kubwa na la kutiwa mfano ,na matokeo tumeanza kuyaona watu wanakuja nchini kwetu kwa ajili ya kuona vivutio vyetu,”ameongeza.

Mtaturu amempongeza pia waziri wa Maliasili na Utalii Pindi Chana kwa kupewa heshima kubwa ya kuongoza sekta hiyo na kusema wanamjua kuwa ni mtu anayejua namna ya kufanya kazi na alishafanya vizuri kwenye eneo la diplomasia.

“Sisi tuna Imani na wewe,na tunajua kwa kushirikiana na Naibu Waziri,katibu Mkuu na viongozi wengine mtafanya vizuri,na sisi tutaendelea kuwaunga mkono ili lengo la nchi la kufikisha watalii milioni 5 kama Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inavyosema liweze kufikiwa,”amesema.

USHAURI KWA WIZARA.

Mtaturu ameishauri wizara mambo manne ikiwemo kuwa na dirisha moja la ulipaji wa tozo.

“Kumekuwa kweli kuna tozo mbalimbali zinatozwa na kumekuwa na kelele huko nyuma za wanaofanya biashara hii ya utalii wakilalamikia baadhi ya tozo, niipongeze sana serikali kwak uondoa baadhi ya tozo maana watoa huduma wameanza kufaidika na kazi nzuri ya serikali,

“Lakini bado tunaomba mkae na watoa huduma hawa ambao wanafanya kazi nzuri sana ya kuhakikisha wanasimamia na kuwaleta watalii, lakini wanaomba kuwepo na dirisha moja la kuweza kulipa tozo,”amesisitiza.

Amesema kwa sasa mlolongo uliopo unawapotezea na hivyo kuomba wizara iangalie namna ya kupunguza mlolongo huo.

“Kumekuwa na mtawanyiko wa ofisi wa kulipia tozo hali inayowapotezea muda,mtu anaweza kuwa na tozo hata 50 na akatumia siku tatu hadi nne anashughulikia tu kulipa mgeni mmoja,hali hii inapoteza muda na inachelewesha sana kufikia lengo la kupata watalii wengi,”amesema.

Ushauri wa pili alioutoa ni kwenye suala la kodi ya ongezeko la thamani (VAT).

“Suala la VAT kweli hakuna anayekataa kulipa lakini kumekuwa na tatizo la kulipa VAT on deposit anapolipa mgeni nje analipa moja kwa moja kwa mtoa huduma ,mtoa huduma yule anakuwa anakatwa pale pale lakini ikitokea huyu mtalii ameahirisha safari ile VAT analipa huyu mwenzetu wa Tanzania maana yake anaingia hasara na anaitia hasara kampuni yake,

“Niombe fedha hizi zilipwe kwenye deposit lakini waje walipe kwenye maeneo ya tozo mbalimbali hiyo utakuwa umemtendea haki huyu mtoa huduma lakini pia itakuwa ni halisia,unaweza jikuta unalipia VAT mara mbili mara tatu kitu ambacho kinafanya destination ya Tanzania inakuwa ghali kuliko eneo lolote,hili nalo itakuwa ni kikwazo katika kupata watalii wa kutosha,”amebainisha.

Suala lingine ni kuhusu VISA kwa njia ya mtandao ambapo kumekuwa na malalamiko ya ucheleweshaji.

“Malalamiko yamekuwepo kwamba mtu anapolipia Visa online kumekuwa na ucheleweshaji sana, ipo slow,na mtu yupo kule anataka kulipia ili apate ruhusa ya kukata tiketi lakini anashindwa matokeo yake anaamua kuahirisha safari au anaamua kutafuta eneo lingine,”ameongeza.

Mtaturu ametaja eneo lingine analoshauri ni uvamizi wa tembo katika maeneo ya watu na hivyo kuishauri wizara kupitia wataalam wake kutafuta mikakati ya kukabiliana na hali hiyo.

“Mimi naomba nitoe pole sana kwa wananchi wangu wa Ikungi singida Mashariki kwenye kijiji cha Ntewa pale Ntuntu, juzi alikanyagwa mtoto wa miaka miwili na nusu na tembo,eneo la Ikungi ni mbali sana na hifadhi lakini leo hii tunaongea habari ya Ikungi kuwa na uvamizi wa tembo na hapa mnatuambia tembo wapo karibia 60,000 na mnasema ni wachache ,je wakifika 100,000 au 200,000 itakuwaje nchi hii,?amehoji.

Amesema ni vyema wataalam wa wizara wakae watafute mikakati ya kukabiliana na changamoto hiyo.

“Wasijwe wakatuletea story iliyozoeleka mapito ya korido, mapito ya tembo ya miaka nenda rudi ,leo hii watu wengi wanaumia wanakufa, mali zao zinaharibiwa kwa sababu tu tembo anazunguka kila mahali ,inawezekana kuna mazao wanahitaji kula ,inawezekana maji hakuna maeneo ya hifadhi,basi wataalam wetu watumike kupanda hata miti ,wachimbe mabwa ya kutosha kwenye hifadhi ili tembo wasije kwa watu,

“Hii ndio maana ya kuwa na watu professional ,tuna wataalam wengi katika wizara hii, tunawaamini hebu nendeni mkakae mnapofanya utafiti fanyeni na eneo hili tusibaki kuleteana story kwamba ooh hii ni mapito ya tembo,tunajiuliza kule Ntuntu kule walikuwa wanaenda wapi,tembo wamekaa wiki nzima wiki mbili wanawafanya wananchi washindwe kufanya shughuli zao za kawaida,”amesema.

Amesema kila siku wanahamasisha wananchi wafanye kazi lakini kwa hali hiyo hawataweza kwa sababu ya uwepo wa tembo vamizi wanaozunguka ambao ni hatari kwa maisha yao.

“Niombe anapokuja waziri hapa atueleze mkakati ni upi wa kitaalam sio hoja hii ya kila siku imekuwa kama msamiati ambao haueleweki ,haya ni mapito sijui korido lugha nyingine zinawasumbua wananchi hawajui ,kwa hiyo niombe sana pamoja na kazi nzuri mnayofanya lakini eneo hili linatutia doa ,kama Taifa twendeni tukafanye kazi kwa pamoja,”ameomba.

About the author

Alex Sonna