slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

cratosroyalbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

jojobet

teosbet

holiganbet

amgbahis

romabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

KANUNI MPYA YA MAFAO YA PENSHENI YATANGAZWA RASMI

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Jamal Katundu akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu Kanuni mpya ya Mafao ya Pensheni katika ukumbi wa mkutano jengo la PSSSF, Jijini Dodoma

rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Bw. Tumaini Nyamhokya akieleza jambo katika mkutano huo.

Mkurugenzi Mtendaji, Chama cha Waajiri nchini (ATE), Bi. Suzanne Ndomba Doran, akifafanua akichangia jambo wakati wa mkutano huo na Waandishi wa Habari uliofanyika katika ukumbi wa mkutano PSSSF, Jijini Dodoma.

…………………………………………..

Na: Mwandishi Wetu – Dodoma

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Jamal Katundu ametangaza rasmi kanuni mpya ya Mafao ya Pensheni kufuatia maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyoelekeza mnamo tarehe 14 Mei, 2022 kuhusu mapendekezo ya kanuni ya Mafao ya wastaafu iliyoombwa na TUCTA Mei mosi, 2022.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma hii leo Mei 26, 2022 Katibu Mkuu Prof. Jamal Katundu alieleza kuwa Kanuni za mwaka 2018 zililalamikiwa na baadhi ya wadau, hivyo Serikali ilisitisha utekelezaji wake na kuelekeza Kanuni zote za mafao zilizokuwa zinatumika katika Mifuko iliyounganishwa ziendelee kutumika katika kipindi cha mpito sambamba na wadau wa utatu yaani (Serikali, Waajiri na Wafanyakazi) kukaa pamoja na kukubaliana Kanuni itakayowianisha mafao kwa wafanyakazi wote.

“Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ni sikivu na imeridhia maombi ya wadau wa sekta ya Hifadhi ya Jamii ikijumuisha wawakilishi wa Wafanyakazi (TUCTA), Waajiri (ATE) na Serikali kwa kupandisha asilimia ya kikokotoo kutoka 25% iliyolalalamikiwa mwaka 2018 mpaka 33%,” alisema

Alisema kuwa Kanuni hiyo mpya ambayo imetangazwa ina manufaa mengi ikiwemo Mifuko ya pensheni ya PSSSF na NSSF itaimarika na kuwa endelevu, kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo kutoka asilimia 25 iliyokataliwa mwaka 2018 hadi asilimia 33,  kuongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 67 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa Mifuko ya pensheni, Mifuko itaweza kuongeza pensheni ya kila mwezi kwa kuzingatia tathimini zitakazofanyika kila baada ya miaka mitatu, pamoja na Wanachama wote wanaochangia kwenye Mifuko ya pensheni watatumia kanuni moja ya mafao na hivyo kuweka uwiano na usawa wa mafao baina ya Wastaafu.

Alifafanua kuwa, Kanuni hiyo mpya itakuwa na vikokotoo vifuatavyo; Kiwango cha mkupuo kitakuwa cha asilimia 33 kwa Mifuko yote, Kikokotoo limbikizi kitakuwa 1/580 kama ilivyo kwa Mfuko wa NSSF na iliyokuwa Mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF, Makadirio ya miaka 12.5 ya kuishi baada ya kustaafu kama ilivyo kwa Mfuko wa NSSF na iliyokuwa Mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wananchama wa iliyokuwa PSPF na LAPF, Mshahara wa kukokotoa mafao ya pensheni utakuwa wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu (3) ndani ya miaka 10 kabla ya kustaafu na umri wa kustaafu kwa lazima utaendelea kuwa miaka 60.

Aliongeza kuwa, pensheni za wastaafu watakaotumia kanuni hizo zitakuwa zikihuishwa mara kwa mara kwa kuzingatia mfumuko wa bei na uwezo wa Mifuko ya pensheni.

Aidha, Kanuni hiyo mpya iliyoridhiwa na wadau itaanza kutumika rasmi Julai 1, 2022.

Sambamba na hayo alieleza kuwa Serikali imeweka utaratibu maalum wa kutoa elimu kwa wananchama na umma kuhusu kanuni hiyo mpya ili kuhakikisha wananchi wanakuwa na uelewa sahihi juu ya kanuni hiyo pamoja na faida zake.

Wakati huo huo, rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Bw. Tumaini Nyamhokya amesema kuwa zoezi la uandaaji wa Kanuni mpya ya Mafao ya pensheni ilikuwa shirikishi ambapo Vyama vya Wafanyakazi, Waajiri nchini na Serikali kwa pamoja wameweza kufanikisha hayo kwa ajili ya kuhakikisha uendelevu wa mifuko ya hifadhi ya jamii na wanachama kupata mafao yao.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji, Chama cha Waajiri nchini (ATE), Bi. Suzanne Ndomba Doran, alieleza kuwa Kanuni hiyo mpya ya Mafao ya Pensheni imezingatia utaalamu hivyo ameshauri elimu itolewe zaidi kwa wanachama, wafanyakazi, waajiri na wananchi ili ifahamike.

About the author

Alex Sonna