Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

starzbet

starzbet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

imajbet

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

Featured Kitaifa Magazeti

MBUNGE MTATURU ALIA NA MAFAO YA WASTAAFU

Written by Alex Sonna

SERIKALI imesema imefanya jitihada mbalimbali za kulipa Deni la Mfuko wa PSSSF ikiwa ni pamoja na kutoa Hatifungani ya Shilingi. Trioni 2.17 ambazo zitaimarisha mtiririko wa mapato na kuwezesha kutoa mafao kwa wakati

Aidha,imesema wanufaika 42,427 wa Mfuko wa PSSSF wamelipwa jumla ya Sh. trilioni 1.99.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 24, na Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Patrobas Katambi wakati akijibu swali la Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu(CCM).

Katika swali lake, Mbunge huyo amehoji, ni lini Serikali itamaliza changamoto ya kuchelewesha mafao kwa wastaafu?.

Akijibu swali hilo Katambi amelihakikishia bunge kuwa serikali itaendelea kuwalipa wastaafu mafao yao.

“Kuanzia Julai 1, 2021 hadi Aprili 30, 2022, wastaafu na wanufaika 24,757 wa Mfuko wa NSSF wamelipwa jumla ya Sh. bilioni 78,”.amesema.

Katika swali la nyongeza, Mbunge huyo amesema pamoja na majibu ya serikali kuhusiana na wastaafu kulipwa mafao kwa wakati kumekuwa na malalamiko ya kuchelewa kulipwa mafao yao mapema na malalamiko makubwa ni baadhi ya wastaafu kukatwa makato ambayo hayapelekwi kwenye mifuko hiyo.

Kutokana na changamoto hiyo, amehoji, Nini kauli ya serikali kwenye eneo hili kwa sababu imekuwa na usumbufu mkubwa usio na lazima kwa kuwa wamekuwa na mtumishi katika miaka yote.

Aidha, amesema wastaafu wamekuwa wakiombwa taarifa zao upya baada ya kuwa wameshastaafu serikali inakuwa ina taarifa zao zaidi ya miaka 30 na kuhoji kama haioni kwamba ni usumbufu wa kuwaomba wastaafu ambao wamekuwa nao miaka yote ya umri wao,”amehoji.

Akijibu swali hilo, Katambi amefafanua kuwa tayari wameshafanyia kazi suala hilo na maelezo yalishatolewa ndani ya bunge na aliyekuwa waziri mwenye dhamana wakati huo Jenista Mhagama na wa sasa Profesa Joyce Ndalichako.

“Tayari tathimini na mapitio yameanza kufanyika upya ili kuhakikisha kwamba wanalipwa kwa wakati na tayari kuna mifumo mbalimbali ya kitehama ambayo imeanzishwa hii yote ni kwa ajili ya kutengeneza ile membership administration service system.

Mbali na hayo amesema hivi karibuni wataanza ziara ya mkoa kwa mkoa kuanza kusikiliza changamoto za wastaafu ikiwa ni pamoja na kuhakiki taarifa mbalimbali ili kuhakikisha wanalipwa kwa wakati.

“Utakumbuka kwenye bunge lako hili tulitoa taarifa kupitia ofisi ya Waziri Mkuu kwamba ili suala la uombaji wa barua za wastaafu limefikia mwisho kwa sababu taarifa hizi ni wajibu sasa wa mifumo yenyewe kuweza kuhakikisha zinatunza kumbukumbu sahihi za wanachama wake ikiwa ni pamoja na kuanzisha ndani ya huo mfumo wa membership pamoja na mfumo wa NSSF wenyewe, yote hii taarifa zitakuwa mle,”.

Ametumia nafasi hiyo kuwasihi waajiri kote nchini kuwasilisha michango ya wanachama kwa wakati ili wasihangaike,pia kuhakikisha mfuko wenyewe unahakiki taarifa za wale wastaafu hata mwaka mmoja kabla ya kustaafu ili kupunguza usumbufu kwa watumishi hao ambao wametumikia Taifa.

About the author

Alex Sonna