marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

Featured Kitaifa

WAZEE WAASWA KUTUNZA AFYA ZAO

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju akifunga Mkutano uliowakutanisha Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara uliofanyika leo Mei 19,2022 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Taifa Lameck Sendo akielezea namna Baraza hilo lilivyoshiriki kutoa maoni kwenye mapito ya Sera ya Wazee wakati wa Mkutano uliowakutanisha Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara uliofanyika jijini Dodoma.

Kamishna wa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt Nandera Mhando akielezea jambo wakati wa Mkutano uliowakutanisha Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara uliofanyika jijini Dodoma.

Katibu wa Baraza la Ushauri la Wazee Taifa Bw.Anderson Lyimo,akizungumza wakati wa Mkutano uliowakutanisha Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara uliofanyika leo Mei 19,2022 jijini Dodoma.

Baadhi ya Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara wakati wa Mkutano uliowakutanisha Viongozi hao kutoka mikoa ya Tanzania Bara uliofanyika jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Mtwara,Mohamed Bakari,akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi (hayupo pichani) wakati wa kufungwa kwa Mkutano uliowakutanisha Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara uliofanyika leo Mei 19,2022 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara mara baada ya kufunga Mkutano uliowakutanisha Viongozi hao jijini Dodoma.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

………………………………………….

Na WMJJWM- Dodoma

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju amewaasa Wazee nchini kuwa mstari wa mbele kuhakikisha wanatunza Afya zao kwa kujiepusha na mtindo ya maisha hatarishi.

Mpanju ameyasema hayo Mei 19, 2022 jijini Dodoma wakati akifunga Mkutano wa viongozi wa mabaraza ya Wazee kutoka Mikoa ya Tanzania Bara.

Alisema kuwa Wazee wanapaswa kuhakikisha wanajitunza kiafya ili waweze kutumika na Taifa kwani Wazee ni hazina kwenye masuala mbalimbali husuani kushauri tunapojenga uchumi wa nchi.

“Niwaombe wazee wangu tujitunze hasa katika Afya zenu, Afya ni muhimu sana kwani bado tunahitaji nasaha na mawazo yenu katika Sekta mbalimbali ili tuweze kufikia Maendeleo tuliyojiwekea kama Taifa” alisema Mpanju

Aidha Mpanju amemuagiza Kamishna wa Ustawi wa Jamii kuhakikisha Sera ya Wazee inayoboreshwa inapokea maoni na kukamilika mwezi Oktoba mwaka huu na ili kuanza kwa mchakato wa utungwaji wa Sheria ya Wazee.

“Kuna mengine mengi mmeyasema ila mengi ya hayo yanahitaji Mwongozo wa Sera ya Wazee hivyo Sera hii ikikamilika hayo mengine yatafanyika na kutekelezeka kwa ufanisi” alisema Mpanju

Ameongeza kuwa Serikali itahakikisha wazee wanalindwa kwa kuhakikisha inaweka mifuno itakayosaidia kuwalinda na vitendo vya ukatili pamoja na kuwapa huduma Bora za Afya. Amewaasa pia familia, ndugu na jamaa kuwajibika kuwatunza Wazee wao ili wawe katika mazingira mazuri kwa Ustawi wao.

“Vijana tuwalinde na kuwatunza wazee wetu timizeni wajibu wenu kwani wakati wa ujana wao waliwatunza na kuwalea kama Watoto wenu” alisema Mpanju

Naye Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Ustawi wa Jamii kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Amina Faki alisema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa itahakikisha Wazee wanapata huduma kwa kuzingatia sheria na Sera zilizopo ili kutoa huduma chanya kwa Wazee ikiwemo huduma za afya, kushirikishwa na kuwakinga Wazee na vitendo vya ukatili.

“Katika kutoa huduma Bora za Afya Serikali imetenga jumla ya madirisha 5888 katika Vituo vya kutoa huduma za afya kote nchini zikiwemo Zahanati, Vituo vya Afya Hospitali za Wilaya Mkoa na Rufaa” alisema Bi. Amina

Akizungumza katika Mkutano huo Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Taifa Lameck Sendo alisema Mkutano huo umetoka na maazimio ambayo yakitekelezwa kwa ufanisi na weledi Wazee nchini watapata ulinzi na huduma muhimu kwa Ustawi wao.

Akiyataja maazimio hayo ni pamoja na kuimarisha Baraza la Wazee Taifa, Wazee kulindwa na vitendo vya ukatili, Wazee kushirikiswa katika masuala mbalimbali katika jamii, kufutwa kwa Kodi mbalimbali kwa wazee na upatikanaji wa Huduma bora za Afya.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la Help Age Daniel Smart alisema Shirika lake linaendelea kushirikiana na Serikali katika ngazi mbalimbali kuhakikisha inawezesha mabaraza ya Wazee kuundwa na kuweze kujiendesha kwa sababu umuhimu wa mabaraza hayo ni kuhakikisha Wazee wanakuwa na mfumo ambao utawasaidia kulindwa na kupata huduma muhimu.

Nao baadhi ya Wazee kutoka Mikoa ya Tanzania Bara wametoa Maazimio wakati wa Mkutano huo ikiwemo Halmashauri kutenga fedha kwa ajili ya kuendesha mabaraza ya Wazee, kuwajumuisha wazee katika masuala ya jamii, kupatikana kwa huduma ya Afya kwa Wazee wote na Wazee kupatiwa Pensheni ili ziweze kuendesha kupunguza changamoto za maisha.

About the author

Alex Sonna