Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

SHANTA KUANZA UZALISHAJI WA DHAHABU SINGIDA 2023 BAADA YA KUKAMILIKA KWA UJEZI WA MIUNDOMBINU

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akikagua maendeleo ya Mgodi wa Kati wa Shanta Mkoani Singida unaotarajiwa kuanza uzarishaji Mwaka 2023

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akikagua maendeleo ya Mgodi wa Kati wa Shanta Mkoani Singida unaotarajiwa kuanza uzarishaji Mwaka 2023

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akizungumza wakati alipotembelea Mgodi wa Kati wa Shanta Mkoani Singida

Meneja Mkuu wa mradi Mhandisi Jiten Divecha akiwasilisha taarifa fupi ya Mgodi wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Madini Dkt. Kiruswa mara baada ya kutembelea mgodi huo

Muonekano wa Mitambo katika mgodi wa Kati wa Shanta wa madini ya dhahabu Mkoani Singida

………………………………………….

Na. Steven Nyamiti, Singida.

MGODI wa Kati wa uchimbaji wa madini ya Dhahabu wa Shanta wa Singida unatarajiwa kuanza rasmi uzalishaji mwanzoni mwa mwaka 2023 mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu ya mgodi huo.

Meneja Mkuu wa mradi huo, Mhandisi Jiten Divecha ameyasema hayo Mei 13, 2022 kwa Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa wakati alipotembelea na kukagua Maendeleo ya Mradi wa Mgodi wa Kati wa Dhababu wa Singida (Singida Gold Mine) unaomilikiwa na Kampuni ya Shanta Mining Company Limited uliyopo Wilaya ya Ikungi mkoani Singida.

Divecha amesema, kwa sasa mgodi umeendelea kutoa fursa mbalimbali za ajira kwa Watanzania pamoja na kununua bidhaa za Kitanzania.

Akizungumza, mara baada ya kukagua maeneo ya uchimbaji katika mgodi huo, Dkt.Kiruswa ameagiza uongozi kuhakikisha wanamaliza changamoto zote zinazokwamisha kuanza kwa mradi huo ili uchimbaji uanze kwa haraka.

Amesema, wananchi wa Ikungi na wakazi wa Singida wanatarajia kuona mgodi huo unaanza kazi ili wananchi waweze kunufaika na uwepo wa mgodi katika jamii yao.

Pia, Dkt.Kiruswa ameipongeza Kampuni ya ya Uchimbaji Madini ya Shanta kwa uwekezaji mkubwa wanaoendelea kuufanya katika mgodi huo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya mgodi, ajira zinazotolewa, afya na miradi mbalimbali ya maendeleo.

Vile vile, Dkt. Kiruswa ameuagiza mgodi wa Shanta kuandaa na kutekeleza mpango wa uchangiaji wa kampuni yao kwenye jamii (CSR) kwa mujibu wa Sheria.

Amesema, wanatakiwa kuhakikisha kama wawekezaji jamii inayowazunguka inanufaika na mradi husika huku akifurahishwa na Sheria ya Local Content inavyotekelezwa na mgodi huo.

“Nimefurahishwa na mpango wa Local Content, nimetembea hapa sijaona hata mgeni mmoja, wanaofanya kazi hapa wote ni Watanzania, lakini pia mnatumia rasilimali zinazopatikana hapa hapa, nimesikia hata maharage yanatoka hapa,”amesema Dkt. Kiruswa.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Miraji Mtaturu amemueleza Dkt.Kiruswa kuwa, wananchi wa Singida wanatamani mradi huo uanze mara moja ili waweze kunufaika na mradi huo.

Amesema, mradi utakapoanza utaleta maendeleo kwa jamii inayozunguka pamoja na kuongeza mapato kwa Serikali.

Wengine waliohudhuria ziara ya Naibu Waziri wa Madini ni viongozi mbalimbali wa Wilaya ya Ikungi, viongozi wa vijiji na kata wanaozunguka eneo la mradi na wadau wa Sekta ya Madini.

About the author

Alex Sonna