Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

Grandpashabet giriş

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet Güncel Giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

casibom

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

DOLA MILIONI 6 ZAKAMILISHA UJENZI WA VIHENGE VYA KISASA SUMBAWANGA

Written by Alex Sonna

Vihenge vya kisasa nane vilivyokamilika kujengwa na Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga katika eneo la Kanondo Manispaa ya Sumbawanga vyenye uwezo wa kubeba tani 20,000 za mazao.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti (katikati) akiongea na Meneja wa NFRA Sumbawanga Marwa Range (wa pili toka kushoto) juzi wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa vihenge na ghala la kisasa vilivyokamilika katika eneo la Kanondo Manispaa ya Sumbawanga.

Meneja wa NFRA Kanda ya Sumbawanga Marwa Range (katikati) akiongea na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti (wa pili toka kulia) juzi wakati wa 
ziara ya  kagua ghala jipya lenye uwezo wa kubeba tani 5,000 za mazao. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba.

 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti (wa kwanza kushoto) akisikiliza maelezo ya fundi wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Matanga Manispaa ya Sumbawanga kinachojengwa kutokana na fedha za tozo ya miamala ya mawasiliano.  Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba.
(Habari na Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa)

……………………………………………..

Na. OMM Rukwa

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kanda ya Sumbawanga imefanikisha ujenzi wa vihenge nane na ghala moja la kisasa vitakavyoongeza uwezo wa kuhifadhi mazao tani 25,000 kwa gharama ya Dola za Kimarekani Milioni 6.019.

Akizungumza na waandishi wa habari juzi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti aliyetembelea mradi huo uliopo eneo la Kanondo katika Manispaa ya Sumbawanga alisema kukamilika kwake ni mafanikio kwa wakulima wa Rukwa na Taifa kuwa na uwezo wa kuhifadhi nafaka kisasa.

“Mradi huu utakuwa mkombozi kwa Taifa kuhifadhi akiba yake ya chakula kwa njia ya kisasa ambapo wananchi wa Rukwa ndio wanufaika wakubwa kutokana na vihenge hivi kuwa hapa Sumbawanga” alisema Mkirikiti.

Akitoa taarifa ya mradi huo , Mhandisi Mkazi toka kampuni ya M/s Unia Araj  ya Poland Mhandisi Haruna Kalunga alisema mradi huu ulianza kutekelezwa mwaka 2020 umehusisha ujenzi wa vihenge nane, majengo 6,ghala moja, mzani mmoja na uzio  kuzunguka eneo hilo.

Mhandisi Kalunga aliongeza kusema vihenge hivyo vya kisasa vikubwa vipo sita na vidogo viwili pamoja na miundombinu yake vina uwezo wa kubeba tani 20,000 ambapo ghala la kuhifadhia mazao limekamika pia likiwa na uwezo wa kubeba tani 5,000  na kuwa mradi huo umekamilika mwezi Machi mwaka huu na majaribio tayari yamefanyika mwezi Aprili mwaka huu.

“Mpaka sasa mkandarasi ameshalipwa Dola za Kimarekani 5,417,459 sawa na asilimia 90 ya fedha zote za mkataba ambazo ni Dola za Kimarekani 6,019,399” alieleza Mhandisi Kalunga.

Katika hatua nyingine Mhandisi Kalunga alitoa ombi kwa serikali kupitia VETA kuwarasimisha vijana wa kitanzania wapatao 60 ambao walioshiriki kazi za ujenzi wa vihenge vyote na miundombinu yake kutokana na uwezo na uzoefu wao.

“Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tunaomba vijana wazalendo walioshiriki ujenzi wa mradi huu warasimishwe na VETA kupitia mpango wa urasimishaji ujuzi nje ya mfumo rasmi” alihitimisha taarifa yake Mhandisi Kalunga.

Naye Meneja wa NFRA Kanda ya Sumbawanga Marwa Range alisema kufuatia kukamilika kwa mradi huo Wakala tayari umeanza kutumia miundombinu hiyo kuhifadhi mazao na kuwa utasaidia kuboresha hali ya uhifadhi nafaka kwa matumizi ya Taifa.

Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kupitia mpango wa Storage Capacity Expansion Project (SCEP) ilipokea mkopo wa fedha wenye masharti mepesi toka serikali ya Poland kwa ajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi wa vihenge vya kuhifadhia mazao na miundombinu yake kwenye mkoa wa Rukwa.

About the author

Alex Sonna