Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

marmaris escort

mavibet

mavibet giriş

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

ibizabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas giriş

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

MAJALIWA AFUNGUA KONGAMANO LA KITAIFA LA UFUATILIAJI NA TATHIMINI

Written by Alex Sonna

  

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Kongamano  la Kitaifa la Ufuatiliaji na Tathimini kwenye ukumbi wa PSSSF jijini Dodoma.

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi  wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama  akizungumza katika Kongamano la kitaifa la Ufuatiliaji na Tathimini  lililofunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa PSSSF jijini Dodoma, Aprili 27, 2022.  Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Deogratius Ndejembi.

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

……………………………………………………………

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema masuala ya ufuatiliaji na tathmini yanapaswa kupewa kipaumbele ili Taifa liendelee kupata matokeo yanayokusudiwa katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo. 

“Kwa kufanya hivyo, tutatoa nafasi ya kupima utendaji kwa ujumla na hivyo, kujua tumefikia wapi, tumekwama wapi na wapi tunahitaji kufanya maboresho. Lengo kuu ni kufikia malengo tarajiwa.”

Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo  (Jumatano, Aprili 27, 2022) wakati akifungua Kongamano la Kwanza la Kitaifa la Wiki ya Ufuatiliaji na Tathmini lililofanyika katika ukumbi wa PSSSF jijini Dodoma.

Waziri Mkuu amesema kuwa kongamano hilo linaakisi maono na maelekezo ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kuimarisha tasnia ya ufuatiliaji na tathmini.

Waziri Mkuu amesema tayari Serikali imeandaa mwongozo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za maendeleo unaoainisha majukumu na wajibu wa kila mdau katika usimamizi wa miradi. 

Amesema mwongozo huo ambao umesambazwa katika Wizara, Halmashauri na taasisi zote za Serikali utaanza kutumika katika mwaka wa fedha 2022/2023. Mwongozo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi umeainisha umuhimu wa kushirikisha wananchi katika hatua zote za utekelezaji wa miradi. 

Amesema ni vyema nchi kuwa na mfumo wa ufuatiliaji na tathmini unaotoa fursa ya kushirikisha wananchi na wadau wengine ili kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali na sekta binafsi. 

Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa wananchi wakiwa na fursa ya kufuatilia na kuhoji utekelezaji wa yale tunayoyaahidi hakika uwajibikaji utaongezeka.

Amesema Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2021/22-2025/26) unachangia kufikia Ajenda ya Maendeleo ya Afrika ya mwaka 2063, Dira ya Maendeleo ya Afrika Mashariki ya mwaka 2050 na Ajenda ya Dunia ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030. 

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema bila kuwa na usimamizi madhubuti wa eneo la ufuatiliaji na tathmini itakuwa vigumu kwa nchi yetu kuelewa iko wapi katika utekelezaji wa mipango yote kwa ujumla. 

“Kwa kuzingatia kwamba nchi yetu ni sehemu ya Afrika na Dunia, tunaungana na nchi nyingine duniani katika kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji na tathmini ambayo imepewa kipaumbele katika utekelezaji wa mipango ikiwemo niliyoitaja hapo juu.”

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema Serikali inaendelea kufanya juhudi mbalimbali ili kuhakikisha eneo la Ufuatiliaji na Tathmini linaboreshwa na kusimamiwa ipasavyo.

Amesema mwaka 2008 Serikali kupitia Programu ya Maboresho katika Utumishi wa Umma, iliimarisha eneo la Ufuatiliaji na Tathmni kwa kuboresha miundo ya Wizara zote na kuanzisha Sehemu za Ufuatiliaji na Tathmini chini ya Idara za Sera na Mipango. 

“Hii ilikuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha kunakuwepo na ufuatiliaji wa karibu katika utekelezaji wa miradi, kuhakikisha matumizi  ya rasilimali za fedha kwa malengo kusudiwa, kuongeza uwajibikaji na kujifunza kutokana na yale tunayoyatekeleza katika mipango ya kitafaifa.”

Awali, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ufuatiliaji na Tathmini (TanEA), Profesa Deus Ngaruko amesema malengo makuu ya taasisi hiyo ni kujenga na kuendeleza uwezo wa ufuatiliaji na tathmini ya ndani ya Serikali na Sekta Binafsi.

Alisema pamoja na mambo mengine, pia kongamano hilo la siku mbili litatoa fursa ya kujifunza mbinu na mambo mapya kwenye tasnia ya ufuatiliaji na tathmini ili Watanzania waweze kujengewa uwezo wa kufanya ufuatilia.

About the author

Alex Sonna