marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

perabet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

celtabet

jojobet

Featured Kitaifa

MAJALIWA AFUNGUA KONGAMANO LA KITAIFA LA UFUATILIAJI NA TATHIMINI

Written by Alex Sonna

  

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Kongamano  la Kitaifa la Ufuatiliaji na Tathimini kwenye ukumbi wa PSSSF jijini Dodoma.

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi  wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama  akizungumza katika Kongamano la kitaifa la Ufuatiliaji na Tathimini  lililofunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa PSSSF jijini Dodoma, Aprili 27, 2022.  Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Deogratius Ndejembi.

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

……………………………………………………………

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema masuala ya ufuatiliaji na tathmini yanapaswa kupewa kipaumbele ili Taifa liendelee kupata matokeo yanayokusudiwa katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo. 

“Kwa kufanya hivyo, tutatoa nafasi ya kupima utendaji kwa ujumla na hivyo, kujua tumefikia wapi, tumekwama wapi na wapi tunahitaji kufanya maboresho. Lengo kuu ni kufikia malengo tarajiwa.”

Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo  (Jumatano, Aprili 27, 2022) wakati akifungua Kongamano la Kwanza la Kitaifa la Wiki ya Ufuatiliaji na Tathmini lililofanyika katika ukumbi wa PSSSF jijini Dodoma.

Waziri Mkuu amesema kuwa kongamano hilo linaakisi maono na maelekezo ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kuimarisha tasnia ya ufuatiliaji na tathmini.

Waziri Mkuu amesema tayari Serikali imeandaa mwongozo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za maendeleo unaoainisha majukumu na wajibu wa kila mdau katika usimamizi wa miradi. 

Amesema mwongozo huo ambao umesambazwa katika Wizara, Halmashauri na taasisi zote za Serikali utaanza kutumika katika mwaka wa fedha 2022/2023. Mwongozo wa Taifa wa Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi umeainisha umuhimu wa kushirikisha wananchi katika hatua zote za utekelezaji wa miradi. 

Amesema ni vyema nchi kuwa na mfumo wa ufuatiliaji na tathmini unaotoa fursa ya kushirikisha wananchi na wadau wengine ili kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali na sekta binafsi. 

Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa wananchi wakiwa na fursa ya kufuatilia na kuhoji utekelezaji wa yale tunayoyaahidi hakika uwajibikaji utaongezeka.

Amesema Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2021/22-2025/26) unachangia kufikia Ajenda ya Maendeleo ya Afrika ya mwaka 2063, Dira ya Maendeleo ya Afrika Mashariki ya mwaka 2050 na Ajenda ya Dunia ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030. 

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema bila kuwa na usimamizi madhubuti wa eneo la ufuatiliaji na tathmini itakuwa vigumu kwa nchi yetu kuelewa iko wapi katika utekelezaji wa mipango yote kwa ujumla. 

“Kwa kuzingatia kwamba nchi yetu ni sehemu ya Afrika na Dunia, tunaungana na nchi nyingine duniani katika kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji na tathmini ambayo imepewa kipaumbele katika utekelezaji wa mipango ikiwemo niliyoitaja hapo juu.”

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema Serikali inaendelea kufanya juhudi mbalimbali ili kuhakikisha eneo la Ufuatiliaji na Tathmini linaboreshwa na kusimamiwa ipasavyo.

Amesema mwaka 2008 Serikali kupitia Programu ya Maboresho katika Utumishi wa Umma, iliimarisha eneo la Ufuatiliaji na Tathmni kwa kuboresha miundo ya Wizara zote na kuanzisha Sehemu za Ufuatiliaji na Tathmini chini ya Idara za Sera na Mipango. 

“Hii ilikuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha kunakuwepo na ufuatiliaji wa karibu katika utekelezaji wa miradi, kuhakikisha matumizi  ya rasilimali za fedha kwa malengo kusudiwa, kuongeza uwajibikaji na kujifunza kutokana na yale tunayoyatekeleza katika mipango ya kitafaifa.”

Awali, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ufuatiliaji na Tathmini (TanEA), Profesa Deus Ngaruko amesema malengo makuu ya taasisi hiyo ni kujenga na kuendeleza uwezo wa ufuatiliaji na tathmini ya ndani ya Serikali na Sekta Binafsi.

Alisema pamoja na mambo mengine, pia kongamano hilo la siku mbili litatoa fursa ya kujifunza mbinu na mambo mapya kwenye tasnia ya ufuatiliaji na tathmini ili Watanzania waweze kujengewa uwezo wa kufanya ufuatilia.

About the author

Alex Sonna