Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

betasus

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

Featured Kitaifa

WATOTO NA VIJANA WATAKIWA KUISHI KATIKA MAADILI MEMA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Abdulnuru akizungumza katika Iftar iliyoandaliwa na Kituo cha Redio Cha CFM jijini Dodoma ajili ya Watoto na vijana wanaiishi katika mazingira magumu, Mkurugrenzi huyo alimwakilisha Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Mwanaidi Ali Khamis.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Abdulnuru (kushoto) akijadiliana jambo na Mwakilishi wa Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Sheikh Ahmed Said (kulia) wakati wa Iftar iliyoandaliwa na Kituo cha Redio CFM jijini Dodoma kwa ajili ya Watoto na vijana waishio katika mazingira magumu 

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Lucas Mbise akizungumza katika Iftar iliyoandaliwa na Kituo cha Redio Cha CFM jijini Dodoma kwa ajili ya Watoto na vijana waishio katika mazingira magumu.

Mwakilishi wa Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Sheikh Ahmed Said akizungumza wakati wa Iftar iliyoandaliwa na kituo cha Redio Cha CFM jijini Dodoma kwa ajili ya Watoto na vijana waishio katika mazingira magumu

Baadhi ya Watoto waliojumuika katika Iftar iliyoandaliwa kwajili ya kufuturisha Watoto na vijana waishio katika mazingira magumu iliyoandaliwa na Kituo cha Redio Cha CFM jijini Dodoma. Halfa hiyo iliudhuriwa na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Badru Abdulnuru akimwakilisha Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Mwanaidi Ali Khamis.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Badru Abdulnuru katika picha ya pamoja na baadhi ya walezi wa Watoto na vijana wanaoishi katika Mazingira magumu mara baada ya Iftar iliyoandaliwa na Kituo cha Redio Cha CFM jijini Dodoma kwa ajili ya Watoto na vijana hao 

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Badru Abdulnuru akimlisha mtoto keki mara  mara baada ya Iftar iliyoandaliwa na Kituo cha Redio Cha CFM jijini Dodoma.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

……………………………………………..

Na WMJJWM- Dodoma

Watoto na Viijana nchini wameaswa kuachana na vitendo viovu na kuwa na tabia zitakazowezesha kuharibu maisha yao na kushindwa kutimiza ndoto zao katika maisha.

Rai hiyo imetolewa Jijini Dodoma tarehe 23, Aprili 2022 na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Badru Abdulnuru alipokuwa akimwakilisha Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mwanaidi Ali Khamis katika iftar iliyoandaliwa na Kituo cha Redio cha CFM kwaajili ya Watoto na vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi na magumu.

Akizungumza katika Iftar hiyo Bw. Badru alisema kundi la Watoto na vijana linapaswa kuishi katika maadili mema kama inavyofundishwa na dini, wazazi na walezi ili waweze kufikia ndoto zao kwani ndio wazazi na Viongozi wajao hivyo ni vyema kujua katika maadili yakayosaidia kuwa na taifa imara.

Ameongeza kuwa Serikali imeendelea kuhakikisha inaweka misingi mbalimbali itakayosaidia Watoto na Vijana kuepukana na changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo maambukizi ya virusi ya VVU na UKIMWI ikiwemo Ajenda ya Kitaifa ya Kuwekeza katika Afya na Maendeleo ya Vijana Balehe (2021/2022 – 2024/20225) .

Amesisitiza kuwa mtoto au kijana unayeishi katika Mazingira magumu sio kuwa umekosea sana katika ulimwengu bali Mwenyezi Mungu anajua maisha ya Watoto na vijana hao hivyo wataendelea kuungana na Serikali na wadau wengine kuhakikisha wanatoanhuduma kwa watoto na vijana wanaoishi katika Mazingira magumu ili waweze kupata huduma hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Lucas Mbise alisema Wilaya hiyo imekuwa ikishirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha Watoto na vijana wanaoishi kwenye Mazingira Hatarishi wanapata huduma na misaada mbalimbali ya kijamii ili waweze kuishi angalau katika mazingira yatakayowapa faraja na matumaini.

“Niwasihi watoto na vijana mliopo hapa kwenye hii Iftar msikate tamaa kwa maana nafasi uliyonayo hapa kwa uzima na uhai tuendelee kumuomba Mwenyezi Mungu atujalie uzima na kufikia katika ndoto zenu mlizonazo” alisema Mbise

Naye Mkurugenzi wa Biashara na Ubunifu kutoka CFM Nickson George alisema lengo la Iftar hiyo ni kujumuika na Watoto na vijana wanaoishi katika Mazingira Hatarishi kwa kuwapa faraja katika kipindi hiki cha Mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhan na Watoto na Vijana hao wametokea katika Vituo vinne vya kuelekea Watoto na Vijana vilivyopo jijini Dodoma.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Sheikh Ahmed Said alisema suala walilofanya Kituo cha Redio Cha CFM kuwa ni jambo kubwa na jema hasa katika kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Nao baadhi ya Watoto na vijana wanaoishi katika Mazingira magumu kutoka katika Vituo vinne jijini Dodoma wameiomba Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kuwaangalia kwa jicho la pekee Watoto na vijana wanaoishi katika Mazingira magumu nchini hasa kwa Mkoa wa Dodoma.

Aidha wamewashukuru walezi kutoka katika vituo mbalimbali vinavyolea Watoto na vijana hao kwa kuwapa Malezi na mapenzi ila bado wanaohitaji msaada kutoka kwa Serikali na wadau ili kuendelea kuendeleza ndoto za Watoto na vijana hao kujiendeleza kimaisha.

About the author

Alex Sonna