marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

perabet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

celtabet

jojobet

Featured Kitaifa

VIFO VITOKANAVYO NA MALARIA NCHINI VIMEPUNGUA KWA ASILIMIA 70

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Kitengo cha ufuatiliaji wa tathmini ya udhibiti wa Malaria, Dk.Sijenunu Aron  akitoa mada ya hali ya Maralia nchini katika semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Mkuu wa Kitengo cha udhibiti wa Mbu waenezao Malaria Bw.Winfred Mwafongo,akielezea mkakati wa udhibiti wa Mbu waenezao Malaria kwa njia ya utangamano wakati wa  semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Kaimu Meneja Mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria Dk.Abdallah Lusasi akitoa mada kuhusu mkakati wa uchunguzi,Matibabu wa Malaria na Tiba Kinga kwa wajawazito wakati wa  semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Afisa wa Kitengo cha uhamasishaji na uraghabishi kuhusu udhibiti wa Malaria Theresia Shirima,wakati wa semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano  Wizara ya Afya Catherine Sungura,akizungumza wakati wa  semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Mwandishi wa habari kutoka Chanel ten Kuringe Mongi,akiuliza swali wakati wa  semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Mwandishi wa habari kutoka Uhuru Selina Mathew akiuliza swali wakati wa  semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

Sehemu ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali mkoa wa Dodoma wakifatilia mada mbalimbali wakati wa  semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani iliyofanyika leo April 20,2022 jijini Dodoma.

………………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

IMEELEZWA kuwa kutokana na utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Malaria nchini vimepungua kwa asilimia 70.

Hayo yameelezwa leo April 20,2022 jijinni Dodoma na Mkuu wa Kitengo cha ufuatiliaji wa tathmini ya udhibiti wa Malaria, Dk.Sijenunu Aron,wakati akitoa mada ya hali ya Maralia nchini katika semina ya waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya siku ya Malaria ambapo hufanyika kila Aprili 25 kila mwaka duniani.

Amesema kuwa utafiti  unaonesha kuwa maambukizi kwa watoto wa shule za msingi yamepungua kutoka asilimia 21.6 mwaka 2017 hadi kufikia asilimia 11.2 mwaka 2021.

Dk. Aron amesema kuwa idadi ya wagonjwa imepunguwa kwa asilimia 53 kwa kila wagonjwa 1000 kutoka wagonjwa 162 hadi kufikia wagonjwa 76.

”Wagonjwa waliolazwa  kutokana na Malaria imepungua kwa asilimia 32 kutoka wagonjwa 307,88 mwaka 2017 hadi 209,888 mwaka 2021 wakati vifo vimepungua kwa asilimia 70 kati ya vifo 100,000 kutoka vifo 6,311 mwaka 2015 hadi 1,909 mwaka 2021”amesema Dk.Aron

 Dk. Aron amesema kuwa pamoja na kupunguwa kwa Malaria hadi kufikia asilimia 7.5 mwaka 2017, bado aslimia 94 ya watanzania wako katika hatari ya kupata maambukizi ya uongojwa huo.

Hata hivyo amesema kuwa mikoa ambayo ina kiwango kikubwa cha Malaria ni Lindi, Mtwara, Pwani, Ruvuma, Tanga na Tabora wakati ile yenye kiwango kidogo ni Kilimanjaro, Manyara, Arusha, Dodoma, Iringa, Singida na Njombe.

Dk.Aron amesema kuwa takwimu za dunia za mwaka 2021, zinaonesha kuwa kwa mwaka 2020 kulikuwa na ongezeko la wagonjwa wanaokadiriwa kufikia milioni 241 katika nchi 85 zenye ugonjwa huo kutoka wagonjwa milioni 227 huku vifo  vikiongezeka hadi kufikia vifo 627,000  kukiwa na ongezeko la vifo 69,000 sawa na asilimia 12 ikilinganishwa na vifo 558,000 kwa mwaka 2019 .

Kwa upande wake Kaimu Meneja Mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria kutoka Wizara ya afya Dk.Abdallah Lusasi ,amesema kuwa hali ya malaria nchini kwa sasa imepungua sana mwaka 2017 tafiti zilionyesha kuwa tulikuwa na malaria asilimia 7.5 lakini sisi tuna mpango mkakati wa kuhakikisha 2023 tunafikia asilimia 5,Mwaka 2025 tufikie asilimia 3.5 na mwaka 2030 tunatokomeza malaria kabisa nchi nzima.

About the author

Alex Sonna