marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

betist

betist

casibom

Featured Kitaifa

MTATURU APAZA SAUTI KWENYE MAMBO SITA IKUNGI

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameiomba serikali kutupia jicho mambo sita katika sekta ya elimu,afya na miundombinu ya barabara ikiwemo ujenzi wa vituo vitatu vya afya katika Kata ya Misughaa,Mang’onyi na Issuna.

Akichangia mjadala wa mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),April 14,2022,Mtaturu amesema anaishukuru serikali kwa kupeleka kiasi cha Shilingi Milioni 500 ambazo zimetumika katika ujenzi wa kituo cha afya katika Kata ya Ntuntu ambapo kukamilika kwake kutaondoa adha ya wananchi kutembea umbali mrefu.

“Katika kata 13 zilizopo katika jimbo letu,tumepata kituo hicho kimoja,hivyo niombe kupitia bajeti hii tukipata vituo hivyo vingine vitatu tutakuwa tumegusa maisha ya wananchi wa Misughaa,Mang’onyi na Issuna,”amesema.

Amesema katika ujenzi wa hospitali ya wilaya wamepata Milioni 800 ambayo inaenda kukamilisha ujenzi huo ambao unapaswa kwenda sambamba na upatikanaji wa watumishi wa afya ili wananchi waweze kupata huduma.

Katika sekta hiyo ya afya ameiomba serikali kupeleka waganga wakuu na manesi ili wasaidie kutoa huduma kwa wananchi.

“Kwenye sekta hii tuna upungufu mkubwa wa watumishi,kuna Zahanati unakuta ina mganga au nesi mmoja,siku akipeleka ripoti au kwenda benki kilomita 60 kutoka Makao Makuu ya Wilaya ile Zahanati inafungwa na hakuna huduma inayotolewa,sasa ndugu zangu ugonjwa hauna taarifa haujui umepeleka ripoti,niombe serikali mkija mtuambie mkakati ambao mmeupanga,”ameomba.

ELIMU.

Upande wa elimu ameomba upatikanaji wa walimu 1,380 ili kukidhi upungufu uliopo.

“Sisi katika halmashauri ya Ikungi tuna upungufu wa walimu wengi sana ukiangalia hesabu yetu tunahitaji 2,685 lakini tunao 1,305 tu maana yake tuna upungufu wa 1,380,leo tunataka ufaulu upande lakini hatuwezi kupandisha ufaulu huo bila ya kuwa na walimu wakutosha,na katika hali hii tusitegemee mapinduzi ya elimu katika nnchi yetu,”amesisitiza.

Amesema idadi ndogo ya walimu inashindwa kukidhi uwiano wa walimu na wanafunzi ambapo baadhi ya shule za msingi unakuta kuna walimu watano kwenye shule yenye watoto zaidi ya 700.

“Tunashukuru tumeweza kupata fedha kwenye shule shikizi kule Simbikwa,Taru Mlimani,Mau,Mbughantigha,leo hii tumepanga tusajili shule zianze kufanya kazi lakini zina mwalimu mmoja au wawili,hivyo tusitegemee mabadiliko makubwa ya kitaaluma katika shule zile ,niombe sana tuisaidie idara ya elimu ipate walimu wa kutosha ili afisa elimu anaposimamia awe na uwezo mzuri wa kuelekeza namna serikali inavyotaka kuboresha elimu ,”ameongeza.

Amekumbusha ahadi iliyotolewa na Katibu Mkuu TAMISEMI Prof.Riziki Shemdoe ya kutoa fedha kwa ajili ya kupaua shule ya Msingi Kipompo iliyojengwa kwa juhudi za wananchi.

“Kule Kipompo Prof.Shemdoe uliahidi kukutoa fedha kwa ajili ya kupaua shule hiyo,sasa tayari wananchi wameshajenga madarasa manne pamoja na nyumba ya walimu tunasubiri upauaji ili shule hiyo isaidie wananchi ambao watoto wao wanatembea kilomita tisa kutoka kitongoji cha Kipompo Kata ya Mang’onyi,”ameongeza.

Amesema katika mwaka mmoja huo Halmashauri ya Ikungi wamepokea zaidi ya Sh Bilioni saba.

“Fedha hizi za maendeleo ni nyingi na tunaona zipo katika meneo mbalimbali ya vijiji vyetu,tumeona jambo kubwa la kujenga madarasa 67 na tulipata Shilingi Bilioni 2.6 ni fedha nyingi kwa wakati mmoja, tunashukuru sana na tunaipongeza serikali kwa mapinduzi makubwa katika elimu kenye halmashauri yetu,”amebainisha.

Mtaturu amezungumzia pia suala la ujenzi wa Chuo cha Veta Ikungi ambapo kukamilika kwake kutatoa fursa ya vijana kupata ujuzi na kuweza kujiajiri.

“Niishukuru serikali tulitengenewa fedha Shilingi Bilioni mbili kujenga Chuo cha Veta,lakini ninapoongea na wewe ule ujenzi umesimama,watu wa Veta walipewa kandarasi ya kujenga chuo, nashukuru Naibu Waziri Elimu alikuja akabadilisha utaratibu akasema uende halmashauri hivi ninavyoongea umerudishwa tena Veta,

Ameongeza kuwa,“Hivi ninavyoongea sasa wakandarasi hawajalipwa,mradi umesimama,vifaa hakuna na zaidi ya mifuko ya saruji 1,800 iliyokuwa inaenda Ikungi imepotea njiani haijafika,ujenzi umesimama hakuna kinachoendelea,vijana hawa tunaowatarajia wapate elimu hakuna mahala pa kufundishwa,hivyo tusitegemee mabadiliko ya kielimu au kusababisha ajira kwa wananchi wetu,”amesema.

BARABARA.

Mtaturu ameomba kuwe na mpango maalum wa kujenga madaraja na vivuko ili kusaidia barabara zinazojengwa vijijini ziweze kukamilika kwa wakati.

“Kwenye barabara tumepata Shilingi Bilioni 1.5 na imeleta mabadiliko makubwa na tunaipongeza serikali lakini kwa barabara za vijijini ambazo tunahitaji vivuko na madaraja, na bajeti hatutengi tutakuwa tunategemea kitu ambacho hatujakipanga,

“Ingekuwa vizuri fedha za maendeleo zinatoka moja kwa moja TARURA tunatenga kwa ajili ya vivuko na madaraja ili mameneja wa wilaya wabaki kwenye eneo la kutengeneza barabara na matuta,lakini ukisema leo afanye kazi ile ile usitegemee mabadiliko ya barabara katika halmashauri zetu,”amesisitiza.

PONGEZI.

Amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wake wameona maono na dhamira yake,“Kwa hakika tumeona huruma yake kwa ajili ya watanzania,”.

Amempongeza pia Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa na viongozi wengine wa wizara hiyo kwa hotuba nzuri iliyoonyesha dhamira ya dhati ya kuwaletea wananchi maendeleo.

“Tamisemi ndipo ambapo wananchi wapo wengi ndipo inatoa huduma nyingi kwa wananchi,ukiongelea Mamlaka za serikali za mitaa unaongelea wananchi wa vitongoji ,leo tumeona dhamira ya serikali katika eneo hili,hongera waziri Bashungwa unatoa ushirikiano kwa wabunge,na kero zilizo katika maeneo yetu mnazitatua kwa wakati,”ameeleza.

About the author

Alex Sonna