marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI PINDA ATOA MAAGIZO KWA WAFANYAKAZI WA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Geofrey Pinda,akizungumza wakati akifungua baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 lililofanyika leo April 8,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Geofrey Pinda,akifafanua jambo kwa washiriki wakati akifungua baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 lililofanyika leo April 8,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Wakili Mkuu wa Serikali Boniface Luhende,akitoa taarifa wakati wa kikao cha Baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 lililofanyika leo April 8,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Geofrey Pinda (hayupo pichani) wakati wa kikao cha  Baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 Kilichofanyika leo April 8,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Geofrey Pinda,akiwa katika picha ya pamoja na watumishi mara baada ya kufungua Baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 lililofanyika leo April 8,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Geofrey Pinda,akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari  mara baada ya kufungua Baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 lililofanyika leo April 8,2022 jijini Dodoma.

…………………………………………

Na Bolgas Odilo-DODOMA

NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Geofrey Pinda,amesema ni wajibu wa kila mtumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali  kuhakikisha anafahamu wajibu wake mahali pa kazi, ili aweze kutekeleza malengo aliyopangiwa na kuhakikisha anayakamilisha katika muda uliopangwa.

Maagizo hayo ameyatoa leo,Aprili 8,2022 jijini Dodoma wakati akifungua baraza la pili la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwa mwaka wa Fedha 2021/22 ,Mhe.Pinda amesema kila mtumishi ahakikishe anatunza mali na vifaa alivyokabidhiwa kufanyia kazi, Wajibu huo ni pamoja na kuwahi kazini.

“Hivyo, ni wajibu wa kila mtumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali  kuhakikisha anafahamu wajibu wake mahali pa kazi, ili aweze kutekeleza malengo aliyopangiwa na kuhakikisha anayakamilisha katika muda uliopangwa,”amesema.

Kuhusiana na bajeti,Naibu Waziri huyo amesema anaamini Ofisi hiyo  itakuwa imeandaa bajeti yake kwa kufuata utaratibu wa Medium Term Expenditure Framework (MTEF).

“Utaratibu ambao bajeti huandaliwa kulingana na mipango iliyoainishwa kwenye Mpango Mkakati wa taasisi husika kwa kuzingatia vyanzo vya mapato na rasilimali zilizopo.Mtindo huu wa bajeti huonesha wazi wazi utendaji wa kila idara hususani kwa mtu mmoja mmoja kulingana na vipimo vya utendaji wake.

“Nichukue nafasi hii kuwataka wafanyakazi wa OWMS kufuata utaratibu unaoelekezwa na Bajeti yenu. Mtakapokuwa tunafanya mapitio ya Bajeti ya nusu mwaka hapo baadaye, tutaona ni nani au Idara gani haikufanya kazi kulingana na malengo ya OWMS,”amesema.

Pinda,amewahakikishia  wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwa niaba ya Wizara wataendelea  kuwaunga mkono kwa kazi nzuri wanayoendelea  kuifanya licha changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili.

“Changamoto zingine nimezichukua na tutazishughulikia kwa kushirikiana na viongozi wenzangu ikiwa ni pamoja na kuziwasilisha zile changamoto za kiutumishi ili ziweze kushughulikiwa kwa mujibu wa Utumishi wa Umma.

“Ni matumaini yangu mtalitumia Baraza hili kuhimiza kila mtumishi ajue wajibu wake wa kutumia muda wa kazi ipasavyo kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuiwezesha OWMS kusonga mbele katika kutekeleza maagizo ya serikali pamoja na kutoa huduma kwa wakati,”amesema.

Awali, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Boniface Luhende, ,amesema kuwa katika kipindi cha utawala wa Serikali ya awamu ya Sita (Machi 2021 hadi Machi, 2022) Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali iliongezewa bajeti yake kutoka Shilingi Bilioni 11.48 kwa Mwaka wa Fedha 2020/21 hadi Bilioni 12.13 kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 5.4.

“Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imeendesha mashauri ya madai 1,102 na ya Usuluhishi 117. Hivyo kufanya jumla ya mashauri yaliyoendeshwa kwa kipindi cha mwaka mmoja kuwa 1,219.

Aidha, mashauri ya madai yaliyomalizika hadi Januari 2022 na Serikali kushinda ni 444 na Mashauri ya Usuluhishi 6 na hivyo kuokoa kiasi cha Shilingi Bilioni 236.6.

Amesema Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imeweza kujaza nafasi mbalimbali  za ajira.

“Ofisi ilipata vibali vya kuajiri watumishi 23 wapya, watumishi watatu  kwa nafasi ya ajira mbadala na mtumishi mmoja wa kuhamia. Tayari Ofisi imeweza kujaza nafasi hizo na kufikia watumishi 159,”amesema.

 

About the author

Alex Sonna