MzalendoBlog
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Makala
Mzalendo
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Makala

Home » MAN CITY YAICHAPA ATLETICO MADRID LIGI YA MABINGWA ULAYA

Featured • Michezo

MAN CITY YAICHAPA ATLETICO MADRID LIGI YA MABINGWA ULAYA

4 years ago
by Alex Sonna
24 Views
Written by Alex Sonna

Manchester City imeanza vyema kampeni ya kutafuta ubingwa baada ya kuichapa bao 1-0 ya Atletico Madrid katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.

Shujaa wa Man City ni kiungo mshambuliajiΒ  Kevin De Bruyne dakika ya 70 aliifungia bao muhimu Manchester City.

    FacebookXGoogle+PinterestLinkedIn
LIVERPOOL YAIZAMISHA BENFICA UGENINI LIGI YA MABINGWA ULAYA
NAIBU WAZIRI RIDHIWANI AWAONYA WENYEVITI MABARAZA YA ARDHI

You may also like

Featured • Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO...

Featured • Kitaifa

π—ͺπ—”π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” π—ͺπ—”π— π—˜π—₯π—œπ——π—›π—œπ—žπ—” 𝗑𝗔 π—¨π—§π—˜π—‘π——π—”π—π—œ π—žπ—”π—­π—œ π—ͺ𝗔 π——π—žπ—§.π—¦π—”π— π—œπ—”...

Featured • Kitaifa

BILIONI 860 ZINATUMIKA UJENZI MIRADI YA DHARURA NCHINI...

Featured • Kitaifa

NM-AIST NAΒ  ESCSA ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO...

Featured • Kitaifa

MASWI AKUTANA NA WAJUMBE WA AFRIKA WA UANGALIZI WA...

Featured • Kitaifa

MNZAVA ASISITIZA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

About the author

Alex Sonna

View all posts

Copyright © 2025. Mzalendo Blog - Design by Yatosha Web Services.

  • Habari
  • Michezo
  • Burudani
  • Makala