Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

Brain Savior Review

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

hacker google hacked

hardcore porn

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

betgit

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

marsbahis

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

tarafbet giriş

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

madribet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

holiganbet

sekabet

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

mislibet giriş

holiganbet giriş

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

roketbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

truvabet

matadorbet

pusulabet

bets10

betgaranti

safirbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MABULA ATOA TAHADHARI KWA WANAOVAMIA MAENEO

Written by Alex Sonna

p class=”MsoNormal”>

WAZIRI wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angelina Mabula akizungumza wakati wa kikao cha kamati ya
Mawaziri sita wa kisekta wakiongozwa na Waziri huyo pamoja na viongozi wa mkoa
wa Tanga kulia  ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega
     

 

WAZIRI wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makaz Dkt Angelina Mabula akizungumza wakati wa kikao cha kamati ya
Mawaziri sita wa kisekta wakiongozwa na Waziri huyo pamoja na viongozi wa mkoa
wa Tanga
Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.Allan Kijazi akizungumza wakati wa kikao hicho
MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akizungumza wakati wa kikao hicho

MBUNGE wa JImbo la Mkinga (CCM) Dastan Kitandula akifuatilia kikao hicho

 

 NA OSCAR
ASSENGA, TANGA

WAZIRI wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Dkt Angelina Mabula amewatahadharisha wananchi wenye tabia za kuvamia maeneo na
kutegemea kwamba serikali itaridhia waendelee kuwepo jambo hilo halitajirudia tena.

Dkt Mabula
aliyasema hayo leo mjini Tanga mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati ya
Mawaziri sita wa kisekta wakiongozwa na Waziri huyo pamoja na viongozi wa mkoa
wa Tanga.

Alisema ziara
yao ni ya kwenda mkoa kwa mkoa kushughulia suala migogoro ya ardhi kwenye
Vijiji 975 ambavyo baraza la mawaziri limeridhia viende kufanyiwa marekebisho
au vingine kuondoshwa na vingine vifanyiwe mpango wa matumizi kutokana na
maamuzi yatakayotoka

Alisema wakishafanya
hivyo hawatarajii kuona kutakuwa na maeneo ya urasimishaji au kuridhia kumegwa
maeneo watahitaji kila mmoja aweze kutekeleza wajibu wake kwa kutii sheria bila
shurui maana hawawezi kuwa na mazoezi kama hayo kila mwaka

Alisema
kwamba wameongea na viongozi wa mkoa wa Tanga hasa maadhimio waliyokubalina na
baraza la mawaziri na Rais ameridhia waanze kupita kwenye mikoa ili waweze
kutoa taarifa hizo ili mikoa wahusika na utekelezaji wake yaliyoamuliwa na
serikali.

Waziri huyo
alisema kwa mkoa wa Tanga kuna vijiji 18 kati ya vijiji 975 ambapo kati ya vijiji
hivyo vijiji 14 kuna marekebisho kadhaa yatafanyika ,vijiji 4 kulingana na hali
halisi wanaiona mustakabali wa nchi kama wataviachi viendelee kuwepo athari
zake zitakuwa ni kubwa zaidi wanakwenda kufanya tathimini kuweza kujua hatma ya
vijiji hivyo baada ya wao kuondoka wataacha timu mkoani Tanga.

Alisema timu
hiyo itapita kwenye maeneo hayo wakifanya tathimini na mwisho wa siku
watapeleka ushauri kwa serikali hatua za kuchukua lakini pamoja na tathimini
mkoa kama mkoa watajipanga kwa ajili ya utekelezaji.

“Leo ilikuwa
ni kuwapa maamuzi ya baraza la mawaziri ambayo yana baraka za Rais Samia Suluhu
kwa hiyo suala la utekelezaji wanaanzia wapo ni jukumu la mkoa na timu yake,ushirikishwaji
katika suala zima la utekelezaji maamuzi hayo ili isitokee mtu akalalamikia
kuonea au kufanyaje jukumu lao kama serikali ni kuhakikisha wanatoa elimu ili
masuala hayo yasijirudie”Alisema

Alisema kwa
sababu wamekuwa na operesheni mbalimnbali mwisho wa siku usimamizi wake unakuwa
sio mzuri matokeo yake yanajirudia kipindi hiki chini ya Rais Samia Suluhu angependa
kuona mambo hayo yanajirudia na ndio maana kwenye wizara ya ardhi ameridhia
kutoa fedha nyingi ili waweze kumalizikana na migogoro ya watumiaji ardhi.

Waziri huyo
alisema hivyo wanalolifanya ni mendelezo kuona kila mmoja awajibike ndio maana
alisisitiza Mkuu wa mkoa ,Wilaya,Maafisa Tarafa na watendaji chini kila mmoja
akisisimie jukumu lake suala kama hilo halitaweza kujirudia tena,

“Lakini nitoe
rai kwa wananchi watakaokuwa wametengewa maeneo na  kuweka mpango bora wa matumizi ya ardhi
hatutarajii kuona mnaingi maeneo ya hifadhi yaliyozuiliwa ,mnaingiakwenye
maeneo ya vyanzo vya maji,maeneo ya taasisi mbalimbali ambazo wamekuwa
wakivamia maana hayo ndio yametufikisha hapa tulipo”Alisema Waziri Dkt Mabula

Hata hivyo
alisema kila mmoja watumishi wa serikali na watendaji wanayo nafasi yao katika
kufanya usimamizi mambo hayo yasijirudii ikiwemo wananchi watii sheria bila
shurti.

“Lakini
niwaambie kwamba kwamba kwa wale ambao wanavamia maeneo na kutegemea serikali
itaridhia waendelee kuwepo pale hilo halitajirudi tena tukishafanya maamuzi hatutarajii
kuona kutakuwa na maeneo ya urasimishaji au kuridhia kumega maeneo”Alisema
Waziri Dkt Mabula.

Awali
akizungumza wakati wa kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima alianza kwa
kumpongeza Waziri Dkt Mabula huku akieleza mkoa wa Tanga wameshaanza kupambana
na migogoro ya ardhi kutokana na uwepo wa ushirikiano mzuri baina yao na Kamishna
wa Ardhi na watu wake wanawasaidia sana.

Alisema siri
moja wanawasaidia kwa sababu wanapokwenda kwake anawaambie wasimumunye maneno
kwani wao sio wanasiasa,wao wakija waniambia jambo hili lipoje historia yake na
kuna maeneo mengine kuna onekana kuna siasa na kuna maeneo maamuzi yanaonekana ni
eneo la siasa.

Mkuu huyo wa
mkoa alisema  lakini ikienda unakuta kuna
vijiji vimeanzishwa na serikali imepeleka huduma za muda mrefu ikiwemo shule za
Msingi,Hospitali hivyo wanapokwenda kuwaambia maeneo yao sio rasmi wanaanzisha
mgogoro na kuwatia watu wasiwasi.

“Lakini hayo
ndio umekuja na kamati kuyaondoa na hayo ni mambo makubwa yaliyofanywa na kamati
na ni mafanikio..Tanga na kuna maeneo ya muheza ya Mkonge yaliyokuwa rasmi ya
serikali watu wamevamia na katika kuvamia wenye umiliki hawakukemea jambo hilo
miaka sita au tano iliyopita  sasa
wanakuja kufata matumizi yake ya maeneo yao”Alisema

Aidha
alitolea mfano eneo la uwanja wa ndege kuna watu wameingia kuna mipaka na kuna
watu wameingia na kutaka kuipeleka serikali mahakamani na sasa hawana ndege
kubwa kutokana na uwepo wa mgogoro na wananchi.

“Sasa
tumewaachia miaka 10 serikali nimeambiwa mtaingia kwenye ukarabati  wanatafakari tunaomba huo mgogoro umalizike
mapema ili mradi wa ujenzi wa uwanja wa ndege uendelee na kufungua
fursa”Alisema

Naye kwa upande
wake Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Dkt Allan Kijazi alisema kamati hiyo imepita
maeneo mbalimbali na kuweza kutoa mrejesho wa maamuzi ya baraza la mawaziri
kuhusu migogoro iliyopo kwenye maeneo mbalimbali nchini.

Alisema baada
ya kutolewa maamuzi hayo ilikubaliana kamati hiyo ya mawaziri nane ipite nchi
nzima kueleza nini kimeamuliwa kwa migogoro hiyo ambayo ipo muda mrefu na
imekuwa ni kero kwa wananchi.

About the author

Alex Sonna