slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

holiganbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

pusulabet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

parobet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

celtabet

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

elexbet

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

nesinecasino

cashwin

tambet

betexper

cashwin

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

betexper

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

herabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

galabet

galabet

ilbet

ilbet giriş

pusulabet

nakitbahis

marsbahis

marsbahis

Featured Kitaifa

WAZIRI MKENDA ATAKA WADAU WA ELIMU NCHINI KUIPITIA SERA YA ELIMU YA MWAKA 2014 NA KUTOA MAONI NINI KIBORESHWE

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akisisitiza jambo kwa wadau wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Carolyne Nombo,akiwapongeza wadau walioshiriki katika mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt.Aneth Komba,akizungumza  wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

KAMISHNA wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa,akielezea namna wanavyoendelea kupokea maoni ya wadau wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia mada mbalimbali  wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

……………………………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amewataka wadau wa elimu nchini kuipitia Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 na kutoa maoni yatakayowezesha serikali kuandaa au uboresha Sera hiyo ambao unakwenda sambamba na uboreshaji wa mitaala ya elimu.

Waziri Mkenda ametoa wito huo leo Machi 30,2022 jijini Dodoma wakati  wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi.

Amesema  kama nchi tayari inayo sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo inamajibu mengi ya maswali yanayoibuka kuhusu ubora wa elimu inayotolewa hapa nchi.

“Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 inahitaji kufanyiwa mapitio ili iweze kuendana na mazingira ya sasa na iweze kutekelezeka,” amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda amesema kuwa ameunda kamati ya wataalamu ili wakafanyie mapitio sera hiyo ili kujua ni kwanini sera haitekelezwi tangu ilipopitishwa mwaka 2014 ambayo inamajibu mengi ya maswali yanayoendelea kuibuka kuhusu ubora wa elimu yetu.

Prof.Mkeda amesema kuwa lengo la serikali ni kuwa na sera itakayoakisi mahitaji halisi ya ubora wa elimu na amebainisha kuwa mwezi wa tano mwaka huu 2022 wanatarajia kupokea rasimu ya mapendekezo yaliyotolewa na wadau wa elimu namna ya kuboresha elimu hapa nchini.

“Ukiangalia mapendekezo ya wadau wengi ni wanataka elimu ya lazima iwe miaka 10 na Sera yetu ya mwaka 2014 inataka mwanafunzi mara baada ya kupata elimu ya awali inatakiwa apate elimu ya lazima kwa miaka 10 ili kumuwezesha mwanafunzi kujua kusoma, kuandika kuhesabu na kupata maarifa ujuzi ya elimu ya ufundi stadi” amesema.

Awali Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo amewashukuru Viongozi wa Dini na Wamiliki wa Shule binafsi kwa kushiriki katika mkutano huo muhimu wa kutoa maoni ambayo yatasaidia kuboresha Sera na Mitaala ili watoto wa Kitanzania wapate elimu itakayowapatia ujuzi na kwa kuzingatia maadili ya Kitanzania.

Kwa upande wake Kamishna wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa, amesema mpaka sasa serikali imepokea maoni ya wadau mbalimbali laki moja na elfu mbili ya namna wanavyopendekeza elimu inayotolewa hapa nchini iweje.

Dk.Mtahabwa amesema miongoni mwa maoni hayo ni kuondoa maudhui yanayojirudia rudia kwa wanafunzi mara baada ya kuvuka darasa, kutoa ujuzi kwa wanafunzi kulingana na geografia ya maeneo na fulsa za kiuchumi zinazopatikana eneo husika.

Mengine ni lugha ya kujifunza na kujifunzia na kuwekwa kwa msisitizo wa maadili mema tangu mwanafunzi akiwa mdogo kabisa ili kuepuka mmomonyoko wa maadili bili kusisitiza elimu ya kawaida pekee.

Naye  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt.Aneth Komba amesema kuwa maboresho ya mitaala unashirikisha makundi yote na katika kuboresha sera ya elimu na mitaa wanajifunza pia kupitia nchi zilizofanikiwa zaidi kuona namna wanavyoendesha elimu yao.

”Zoezi la kupokea maoni litaendelea hata kipindi ambapo sera na mitaala itapitishwa lakini wataendelea kupokea maoni na maoni hayo yatakuwa yanaboresha sera na mitaala kadri itakavyokuwa inahitajika”ameeleza Dk.Komba

Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa Dini na wamiliki wa shule wamesema elimu ni msingi wa kila kitu hivyo pamoja na mambo mengine umakini kwenye lugha ya kufundishia unahitajika kwa kuhakikisha lugha ya Kiswahili na Kingereza zinatumika.

About the author

Alex Sonna