Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

bahiscom

betgit

betgaranti

grandpashabet

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

betplay

Hacklink panel

betsmove

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

meritbet

meritbet giriş

uyuşturucu satın al

xxxx

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel giriş

jojobet

amgbahis

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

betsat

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

taksimbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKENDA ATAKA WADAU WA ELIMU NCHINI KUIPITIA SERA YA ELIMU YA MWAKA 2014 NA KUTOA MAONI NINI KIBORESHWE

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akisisitiza jambo kwa wadau wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Carolyne Nombo,akiwapongeza wadau walioshiriki katika mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt.Aneth Komba,akizungumza  wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

KAMISHNA wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa,akielezea namna wanavyoendelea kupokea maoni ya wadau wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia mada mbalimbali  wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

……………………………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amewataka wadau wa elimu nchini kuipitia Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 na kutoa maoni yatakayowezesha serikali kuandaa au uboresha Sera hiyo ambao unakwenda sambamba na uboreshaji wa mitaala ya elimu.

Waziri Mkenda ametoa wito huo leo Machi 30,2022 jijini Dodoma wakati  wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi.

Amesema  kama nchi tayari inayo sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo inamajibu mengi ya maswali yanayoibuka kuhusu ubora wa elimu inayotolewa hapa nchi.

“Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 inahitaji kufanyiwa mapitio ili iweze kuendana na mazingira ya sasa na iweze kutekelezeka,” amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda amesema kuwa ameunda kamati ya wataalamu ili wakafanyie mapitio sera hiyo ili kujua ni kwanini sera haitekelezwi tangu ilipopitishwa mwaka 2014 ambayo inamajibu mengi ya maswali yanayoendelea kuibuka kuhusu ubora wa elimu yetu.

Prof.Mkeda amesema kuwa lengo la serikali ni kuwa na sera itakayoakisi mahitaji halisi ya ubora wa elimu na amebainisha kuwa mwezi wa tano mwaka huu 2022 wanatarajia kupokea rasimu ya mapendekezo yaliyotolewa na wadau wa elimu namna ya kuboresha elimu hapa nchini.

“Ukiangalia mapendekezo ya wadau wengi ni wanataka elimu ya lazima iwe miaka 10 na Sera yetu ya mwaka 2014 inataka mwanafunzi mara baada ya kupata elimu ya awali inatakiwa apate elimu ya lazima kwa miaka 10 ili kumuwezesha mwanafunzi kujua kusoma, kuandika kuhesabu na kupata maarifa ujuzi ya elimu ya ufundi stadi” amesema.

Awali Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo amewashukuru Viongozi wa Dini na Wamiliki wa Shule binafsi kwa kushiriki katika mkutano huo muhimu wa kutoa maoni ambayo yatasaidia kuboresha Sera na Mitaala ili watoto wa Kitanzania wapate elimu itakayowapatia ujuzi na kwa kuzingatia maadili ya Kitanzania.

Kwa upande wake Kamishna wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa, amesema mpaka sasa serikali imepokea maoni ya wadau mbalimbali laki moja na elfu mbili ya namna wanavyopendekeza elimu inayotolewa hapa nchini iweje.

Dk.Mtahabwa amesema miongoni mwa maoni hayo ni kuondoa maudhui yanayojirudia rudia kwa wanafunzi mara baada ya kuvuka darasa, kutoa ujuzi kwa wanafunzi kulingana na geografia ya maeneo na fulsa za kiuchumi zinazopatikana eneo husika.

Mengine ni lugha ya kujifunza na kujifunzia na kuwekwa kwa msisitizo wa maadili mema tangu mwanafunzi akiwa mdogo kabisa ili kuepuka mmomonyoko wa maadili bili kusisitiza elimu ya kawaida pekee.

Naye  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt.Aneth Komba amesema kuwa maboresho ya mitaala unashirikisha makundi yote na katika kuboresha sera ya elimu na mitaa wanajifunza pia kupitia nchi zilizofanikiwa zaidi kuona namna wanavyoendesha elimu yao.

”Zoezi la kupokea maoni litaendelea hata kipindi ambapo sera na mitaala itapitishwa lakini wataendelea kupokea maoni na maoni hayo yatakuwa yanaboresha sera na mitaala kadri itakavyokuwa inahitajika”ameeleza Dk.Komba

Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa Dini na wamiliki wa shule wamesema elimu ni msingi wa kila kitu hivyo pamoja na mambo mengine umakini kwenye lugha ya kufundishia unahitajika kwa kuhakikisha lugha ya Kiswahili na Kingereza zinatumika.

About the author

Alex Sonna