Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI MKENDA ATAKA WADAU WA ELIMU NCHINI KUIPITIA SERA YA ELIMU YA MWAKA 2014 NA KUTOA MAONI NINI KIBORESHWE

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akisisitiza jambo kwa wadau wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Carolyne Nombo,akiwapongeza wadau walioshiriki katika mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt.Aneth Komba,akizungumza  wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

KAMISHNA wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa,akielezea namna wanavyoendelea kupokea maoni ya wadau wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia mada mbalimbali  wakati wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi uliofanyika leo Machi 30,2022 jijini Dodoma.

……………………………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amewataka wadau wa elimu nchini kuipitia Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 na kutoa maoni yatakayowezesha serikali kuandaa au uboresha Sera hiyo ambao unakwenda sambamba na uboreshaji wa mitaala ya elimu.

Waziri Mkenda ametoa wito huo leo Machi 30,2022 jijini Dodoma wakati  wa mkutano wa kupokea maoni kuhusu uboreshaji wa mitaala na sera ya elimu kutoka kwa viongozi wa Dini pamoja na wamiliki wa shule binafsi.

Amesema  kama nchi tayari inayo sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo inamajibu mengi ya maswali yanayoibuka kuhusu ubora wa elimu inayotolewa hapa nchi.

“Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 inahitaji kufanyiwa mapitio ili iweze kuendana na mazingira ya sasa na iweze kutekelezeka,” amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda amesema kuwa ameunda kamati ya wataalamu ili wakafanyie mapitio sera hiyo ili kujua ni kwanini sera haitekelezwi tangu ilipopitishwa mwaka 2014 ambayo inamajibu mengi ya maswali yanayoendelea kuibuka kuhusu ubora wa elimu yetu.

Prof.Mkeda amesema kuwa lengo la serikali ni kuwa na sera itakayoakisi mahitaji halisi ya ubora wa elimu na amebainisha kuwa mwezi wa tano mwaka huu 2022 wanatarajia kupokea rasimu ya mapendekezo yaliyotolewa na wadau wa elimu namna ya kuboresha elimu hapa nchini.

“Ukiangalia mapendekezo ya wadau wengi ni wanataka elimu ya lazima iwe miaka 10 na Sera yetu ya mwaka 2014 inataka mwanafunzi mara baada ya kupata elimu ya awali inatakiwa apate elimu ya lazima kwa miaka 10 ili kumuwezesha mwanafunzi kujua kusoma, kuandika kuhesabu na kupata maarifa ujuzi ya elimu ya ufundi stadi” amesema.

Awali Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo amewashukuru Viongozi wa Dini na Wamiliki wa Shule binafsi kwa kushiriki katika mkutano huo muhimu wa kutoa maoni ambayo yatasaidia kuboresha Sera na Mitaala ili watoto wa Kitanzania wapate elimu itakayowapatia ujuzi na kwa kuzingatia maadili ya Kitanzania.

Kwa upande wake Kamishna wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa, amesema mpaka sasa serikali imepokea maoni ya wadau mbalimbali laki moja na elfu mbili ya namna wanavyopendekeza elimu inayotolewa hapa nchini iweje.

Dk.Mtahabwa amesema miongoni mwa maoni hayo ni kuondoa maudhui yanayojirudia rudia kwa wanafunzi mara baada ya kuvuka darasa, kutoa ujuzi kwa wanafunzi kulingana na geografia ya maeneo na fulsa za kiuchumi zinazopatikana eneo husika.

Mengine ni lugha ya kujifunza na kujifunzia na kuwekwa kwa msisitizo wa maadili mema tangu mwanafunzi akiwa mdogo kabisa ili kuepuka mmomonyoko wa maadili bili kusisitiza elimu ya kawaida pekee.

Naye  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt.Aneth Komba amesema kuwa maboresho ya mitaala unashirikisha makundi yote na katika kuboresha sera ya elimu na mitaa wanajifunza pia kupitia nchi zilizofanikiwa zaidi kuona namna wanavyoendesha elimu yao.

”Zoezi la kupokea maoni litaendelea hata kipindi ambapo sera na mitaala itapitishwa lakini wataendelea kupokea maoni na maoni hayo yatakuwa yanaboresha sera na mitaala kadri itakavyokuwa inahitajika”ameeleza Dk.Komba

Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa Dini na wamiliki wa shule wamesema elimu ni msingi wa kila kitu hivyo pamoja na mambo mengine umakini kwenye lugha ya kufundishia unahitajika kwa kuhakikisha lugha ya Kiswahili na Kingereza zinatumika.

About the author

Alex Sonna