Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

mavibet

superbetin

superbetin

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pusulabet, pusulabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

coinbar

coinbar

maxwin, maxwin giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

betewin

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

jojobet güncel giriş

marsbahis

nakitbahis

bets10

jojobet

tambet

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

timebet

deneme bonusu veren siteler

coinbar

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

fenomenbet, fenomenbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

perabet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

imajbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

Uncategorized

UVCCM TAWI LA KIZOTA RELINI YATOA MSAADA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA DODOMA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Remedius Emmanuel akishiriki kwenye zoezi la kufyeka nyasi katika Hospitali la Rufaa Mkoa wa Dodoma, usafi ambao uliandaliwa na UVCCM Tawi la Kizota Relini Mkoani Dodoma ikiwa ni kama kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan haswa kwenye sekta ya afya.

Baadhi ya Wanachama kutoka UVCCM Tawi la Kizota Relini wakifanya usafi kwenye maeneo ya Hospitali la Rufaa mkoa wa Dodoma ikiwa ni kama kuunga mmkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wake hasa kwenye sekta ya afya.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Remedius Emmanuel akimkabidhi sabuni pamoja na taulo za kike mmoja kati ya wagonjwa waliolazwa kwenye kwenye wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Dodoma.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Remedius Emmanuel (kulia) akipokea risala kutoka kwa Mwenyekiti wa UVCCM Tawi la Kizota Relini Irine Sangautwa (kushoto) baada ya kumaliza zoezi la kufanya usafi na kuwapatia wagonjwa baadhi ya mahitaji.

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Dodoma Baraka Mponda akizungumza na wana UVCCM Tawi la Kizota Relini baada ya kutembelewa hospitalini hapo ambapo aliupongeza uongozi wa UVCCM Tawi la Kizota Relini na serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuipa kipaumbele sekta ya afya.

…………………………………………………….

Na Bolgas Odilo-Dodoma

UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Kizota Relini limeadhimisha mwaka mmoja wa uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kufanya usafi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na kutoa msaada wa taulo za kike na sabuni kwa wagonjwa waliolazwa kwenye jengo la idara ya magonjwa ya wanawake.

Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa shughuli hizo Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Remedius Emmanuel aliwapongeza vijana hao kwa kuamua kumuunga mkono Rais Samia kwa kazi anazoendelea kuzifanya hasa kwenye kipindi chake cha mwaka mmoja akiwa madarakani.

“Ni mwaka mmoja wa uongozi wa serikali ya awamu ya sita chini ya kiongozi wetu Rais Samia na jambo hili mnalolifanya sidhani kama watu wengi wamefanya, na ni ishara tosha ya kushukuru kwa yale yote ambayo Rais ameyafanya katika kipindi chake chote cha uongozi,” alisema.

Emmanuel ambaye alikuwa anamuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Antony Mtaka alisema, misingi ya kujenga chama na serikali inaanzia katika ngazi ya tawi na shina.

Kwa Upande wake Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Baraka Mponda aliishukuru serikali inayoongozwa na CCM kwa jitihada zake ikiwemo kuhakikisha inaboresha huduma za afya katika hospitali zote nchini.

Alisema wataendelea kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wagonjwa wanaokuja katika hospitali hiyo ikiwa ni kama jitihada za kumuunga mkono Rais Samia katika utendaji kazi wake kwa Watanzania.

“Sisi ni watumishi wa umma ambao tumeajiriwa na serikali ya CCM tumefurahi leo tumekuja kutembelewa na waajili wetu ambao ni wana CCM tumefurahi na tunatambua mchango wao katika kulijenga taifa,” alisema.

Awali akisoma Risala Mbele ya Mkuu wa Wilaya, Mwenyekiti wa UVCCM Tawi la Kizoto Relini Irine Sangautwa alisema tangu Rais Samia alipoingia madarakani amekuwa ni mfano wa kuigwa katika kuendeleza na kukuza uchumi wa nchi.

Aidha, Sangautwa alisema kuwa Rais Samia amekuwa ni kiongozi anayejali sekta ya elimu, utalii, sanaa na michezo hivyo kama vijana kuna haja ya kuendelea kuunga mkono jitihada hizo.

“Kwa kuona hilo vijana wa kata ya kizota relini kwa nia safi kabisa tunapenda kwenda pamoja na mama kwa kauli mbiu isemayo “kizota mpya na vijana wenye lengo la kupinga vita madawa ya kulevya, kutoa elimu ya afya, kuinua elimu, michezo, sanaa na utamaduni,” alibainisha.

Naye Katibu wa UVCCM Tawi hilo Ibrahim Hashim alisema Kizota Relini imekuwa ikifanya vizuri katika michezo ikiwemo mpira wa miguu, na pete hivyo wameadhimia kuzindua timu ya chipukizi football club ikiwa ni mojawapo ya mafanikio.

Hashim alitaja changamoto wanazokumbana nazo kuwa ni pamoja na ukosefu wa vifaa vya michezo kama Jezi,Mpira na fedha kwaajili ya usajili wa timu.

“Changamoto nyingine ni ukosefu wa mafunzo ya mara kwa mara ya vijana ya UVCCM na ukosefu wa umiliki wa uwanja rasmi wa mpira wa miguu,” alisema.

About the author

Alex Sonna