Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

casinomaxi

casinomaxi giriş

betturkey giriş

betturkey

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

betsat

jojobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza oyna

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

kulisbet, kulisbet giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

sweet bonanza siteleri

Canada Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

sweet bonanza

jojobet giriş

betflix

betflix

deneme bonusu

grandpashabet

matbet

marsbahis

imajbet

teosbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet giriş

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

pusulabet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

primebahis

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

Bet365 Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

tarafbet

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

caddebet, caddebet giriş

meritbet

holiganbet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

nerobet

meritking

marsbahis, marsbahis giriş

monobahis, monobahis giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

ligobet

jojobet

https://sjconsultors.com/

lunabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

Pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

jojobet

Deneme Bonusu VDS Kiralama

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10

bets10 giriş

extrabet giriş

grandpashabet

dental implants turkey

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

jojobet giriş

maritbet

holiganbet

grandpashabet

mavibet

lunabet

lunabet giriş

izmit escort

kingroyal

Featured Kitaifa

SERIKALI YAVUNA BILIONI 540 KUTOKA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA

Written by Alex Sonna

……………………………………………………

*Ni matunda ya usimamizi imara wa Ofisi ya Msajili Hazina

*Mengi makubwa yafanyika mwaka mmoja wa Rais Samia

Na Mwandishi Maalumu, Dodoma

OFISI ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh bilioni 539.39 kutokana na mapato yasiyo ya kodi kati ya Machi 2021 na Februari 2022, ikiwa ni ongezeko la asilimia 105 kutoka kiasi cha Sh bilioni 262.99 kilichokuwa kimekusanywa katika kipindi kama hicho kwa mwaka uliopita.

Kauli hiyo imetolewa na Msajili wa Hazina, Mgonya Benedicto jijini Dodoma alipokuwa akielezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kipindi cha mwaka mmoja chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. 

Makusanyo hayo ambayo ni moja ya majukumu ya Msajili wa Hazina, yamepata ufanisi kutokana na mapato kuimarika mwaka hadi mwaka hivyo kuongeza mapato yasiyo ya kodi yanayojumuisha Gawio, Michango ya 15% ya Mapato ghafi na mapato mengineyo. 

Ufanisi huo uliotangazwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina inayosimamia Taasisi na Mashirika ya Umma 287, ikijumuisha kampuni na Taasisi 40 zinazomilikiwa na Serikali kwa hisa chache na Taasisi 10 za nje ya nchi, umetokana na usimamizi madhubuti wa serikali na maelekezo thabiti kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan. 

Ilivyookoa fedha za Umma

Aidha, sambamba ni hilo katika kuwajibika kwake na ikiwa ni utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria, Ofisi ya Msajili wa Hazina kwa kushirikiana na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imefanikiwa kuokoa Fedha za Umma na Mali za Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) zilizowekwa dhamana katika Benki ya Exim Tanzania. 

Awali, kampuni hiyo ilishindwa kulipa deni la Dola za Marekani milioni 6.7, na baada ya majadiliano, Serikali ililipa Dola za Marekani milioni 2.7, hivyo kuokoa kiasi cha Dola Milioni 4 pamoja na mali za TFC kama maghala na jengo la ofisi vilivyokuwa zimewekwa dhamana.

Pia imewezesha Benki ya Maendeleo (TIB DFI) kurejeshewa fedha za Madeni ya Mikopo iliyokuwa hailipiki iliyotolewa kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). 

Kwa mujibu wa Msajili huyo, deni la TPDC lilikamilishwa Novemba 2021 ambapo kiasi cha Dola za Marekani milioni 34.39 zimelipwa huku deni la NHC – Mpaka kufikia 31 Desemba 31, 2021, NHC ilisharejesha kiasi cha Sh bilioni 30.16 na deni limebaki kiasi cha Sh 17.62 ambapo malipo yanaendelea kufanyika. Aidha deni la TANESCO – Mpaka kufikia Desemba 31, 2021, TANESCO ilisharejesha kiasi cha Shilingi bilioni 29.40 na deni limebaki kiasi cha Sh bilioni 15.58 na linaendelea kulipwa. 

“Malipo ya madeni ya mikopo hii yameiwezesha Benki ya TIB DFI kuimarisha hali yake ya Ukwasi na kuwezesha utekelezaji wa majukumu yake,” alisema Msajili wa Hazina. 

Upanuzi mkubwa Kilombero

Akizungumzia upanuzi wa Kiwanda cha Sukari Kilombero, alisema Serikali kupitia Msajili wa Hazina pamoja na wanahisa wenza (Illovo Group) wameingia makubaliano kutekeleza mradi mkubwa wa upanuzi wa kiwanda kwa gharama ya kiasi cha Sh bilioni 571.6 (Dola za marekani milioni 238.5). 

Uwekezaji huo unatarajiwa kuzalisha sukari tani 144,000 ambayo itaongeza uwezo wa Kiwanda cha Sukari cha Kilombero kuzalisha sukari hadi kufikia tani 271,000 kutoka tani 127,000 za sasa. 

Yaokoa shamba la bil. 152

Msajili pia ameokoa shamba la Mngeta – Kilombero Plantation Limited (KPL) kwa kulinunua kwa Dola za Marekani milioni 7.40. Hata hivyo, kwa mujibu wa taarifa ya Mthamini Mkuu wa Serikali, shamba la Mngeta lina thamani ya shilingi bilioni 152.19. 

“Ni dhahiri kuwa uwekezaji huu ni mkubwa na Serikali itapata rudisho thabiti na endelevu” alisema Msajili na kuongeza kuwa Serikali iliamua kukabidhi mali hizi kwa Kampuni ya SUMA JKT ambayo inajishughulisha na vitega uchumi mbalimbali ikiwemo Kilimo cha Biashara, ambapo tayari shughuli za kilimo zimeanza. 

NBC, Airtel mapato juu

Akizungumza utendaji wa Kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache alisema taasisi yake imefanya majadiliano na wabia wenza na kusimamia kwa karibu matumizi yasiyo ya lazima na hivyo kushuhudia ongezeko la gawio kwa wanahisa. Alisema, mafanikio ya jitihada hizo yamejidhihirisha katika utendaji wa benki ya NBC ambayo imeongeza faida kabla ya kodi kutoka Sh bilioni 7 mwaka 2020 hadi Sh bilioni 60 mwaka 2021 ikiwa ni ongezeko la asilimia 757. 

Aidha alisema mapato kutoka Kampuni ya Airtel yameongezeka kutoka kiasi cha Sh bilioni 34.66 mwaka 2020/21 hadi kiasi cha Sh bilioni 70.22 katika kipindi cha miezi 8 ya mwaka 2021/22. Mapato haya yanajumuisha ulipaji wa gawio, mauzo ya minara na utekelezaji wa makubaliano maalumu ya wanahisa. 

Akizungumzia ujenzi wa mfumo wa bajeti kwa Mashirika na Taasisi za Umma (PLANREP) alisema katika kuendelea kudhibiti matumizi ya Mashirika ya Umma, Ofisi imeanzisha Mfumo wa Mipango na Bajeti (PLANREP). 

Alisema kumekuwepo na mafanikio makubwa kwa kuwekwa kwa mfumo huo kwa Taasisi, Wakala za Serikali na Mashirika ya Umma ambapo Taasisi zote zimefanikiwa kuingiza Taarifa zao za bajeti kwa ajili ya uchambuzi, idhini na kuanza kufanya matumizi kuanzia mwezi Julai 2021. 

“Ofisi ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kuchambua bajeti za Taasisi na Mashirika kwa mwaka wa fedha 2021/22 na inaendelea kusimamia bajeti za Taasisi hizo kupitia Mfumo huo ambao umeunganishwa na Mfumo wa Malipo Serikalini (MUSE),” alisema Mgonya. 

Msajili huyo alisema kwamba Ofisi ya Msajili wa Hazina kama msimamizi mkuu wa uwekezaji wa Serikali kwa niaba ya Rais itaendelea kusimamia kwa karibu utendaji wa Mashirika na Taasisi za Umma ili kuhakikisha kuwa Serikali inapata faida ya uwekezaji wake sambamba na kuongezeka kwa mapato yasiyo ya kodi ili kusaidia miradi ya maendeleo kwa faida ya Taifa na wananchi wote kwa ujumla. 

About the author

Alex Sonna