Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Uncategorized

NAIBU WAZIRI SAGINI AWATAKA ASKARI POLISI KUTUMIA WELEDI NA MAADILI WANAPOTEKELEZA MAJUKUMU YAO

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri Jumanne Sagini akipokea salamu ya heshima kutoka kwa askari Polisi wanaotarajia kuhitimu Mafunzo ya Uongozi Mdogo Ngazi ya cheo cha Koplo baada ya kuwasili katika Uwanja wa Gwaride Kambapori,Shule ya Polisi Tanzania (TPS)Moshi,iliyopo Mkoani Kilimanjaro

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini akikagua gwaride la askari Polisi wanaotarajia kuhitimu Mafunzo ya Uongozi Mdogo Ngazi ya cheo cha Koplo Kozi No. 4/2021/2022 katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi iliyopo Mkoani Kilimanjaro.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini akikabidhi vyeti na zawadi kwa askari waliofanya vizuri katika Mafunzo ya Uongozi Mdogo Ngazi ya Cheo cha Koplo Kozi No.4/2021/2022 katika uwanja wa Gwaride Kambapori, Shule ya Polisi Tanzania(TPS) Moshi,Mkoani Kilimanjaro,

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini akimvalisha Cheo cha Koplo wa Polisi mmoja kati ya askari waliohitimu mafunzo ya Uongozi mdogo ngazi ya cheo cha Koplo wa Polisi katika Shule ya Polisi Moshi, Kambi ya Kambapori iliyopo Mkoani Kilimanjaro

Naibu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini akizungumza na askari Polisi wanaotarajia kuhitimu Mafunzo ya Uongozi Mdogo Ngazi ya cheo cha Koplo Kozi No. 4/2021/2022 katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi iliyopo Mkoani Kilimanjaro.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini akiteta jambo na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini, CP Liberatuss Sabas wakati wa Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uongozi Mdogo Ngazi ya cheo cha Koplo katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi, Kilimanjaro.

……………………………………………………………

Na Mwandishi MoHA,

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini amewataka askari Polisi kote nchini kuendelea kutumia weledi, maadili na ushirikishwaji wa jamii wakati wanapotekeleza majukumu yao ya kazi mbalimbali kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi.
Ninawaasa mtakapotoka hapa, mwende mkafanye kazi kama mlivyofundishwa, msifanye kazi kama mlivyozoea. Hakikisheni mnafanya kazi zenu kwa kufuata Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo mbalimbali iliyopo na itakayokuwa ikitolewa na viongozi wenu. Alisema.

Naibu Waziri Sagini amesema hayo wakati akifunga mafunzo ya uongozi mdogo wa cheo cha Koplo wa Polisi katika Shule ya Polisi, Kambi ya Kambapori Moshi,mkoani Kilimanjaro ambapo jumla ya askari 1751 wamehitimu mafunzo hayo.

Aidha amewaagiza askari hao kwenda kuyashughulikia makosa ya uhalifu wa kimtandao ambapo baadhi yamekuwa yakidhalilisha utu, kuchochea chuki na uhasama katika Jamii zetu pamoja na kuathiri uchumi na kutishia amani, utulivu na usalama. Amewasihi kuongeza kasi ya kujifunza sayansi na teknolojia ili kuongeza umahiri na weledi wa Jeshi la Polisi kuweza kuwa na mawasiliano ya haraka na Polisi wa mataifa mbalimbali kukabiliana kwa pamoja na uhalifu unaovuka mipaka, ukiwemo ugaidi, usafirishaji haramu wa binadamu, biashara haramu ya madawa ya kulevya na mengineyo.

“Dunia ya sasa imekuwa kijiji, kuna mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia, ambayo huweza kutumika vibaya. Kama wahalifu wanaungana kwa kutumia sayansi na teknolojia za kisasa, ni changamoto kwa Polisi wetu kuona haja ya kuungana kupitia teknolojia hiyo ili kudhibiti uhalifu

Akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, kwa kuridhia na kuruhusu kupandishwa vyeo kwa maafisa, wakaguzi na askari wa ngazi mbalimbali wa vyombo vyote vilivyo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Naibu Waziri Sagini ameuagiza Uongozi wa Jeshi la Polisi kuchukua hatua stahiki za kuzuia uhalifu na kuwashughulikia wahalifu wote watakaobainika hata kama ni maofisa, wakaguzi au askari wa Jeshi la Polisi.

“Nafadhaishwa na uwepo wa matukio ya uhalifu katika maeneo mbalimbali na zaidi haturidhishwi kusikia kwamba wapo baadhi ya askari wanaosaidia au kushiriki katika uhalifu. Niutake Uongozi wa Jeshi la Polisi kuchukua hatua stahiki za kuzuia uhalifu na kuwatia nguvuni wote wanaotishia usalama wa raia na mali zao.”

About the author

Alex Sonna