Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

DC MSAFIRI AINGILIA KATI MGOGORO WA ARDHI KATI YA MWEKEZAJI KADRI NA WANANCHI WAVAMIZI

Written by Alex Sonna

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha
SERIKALI ya wilaya ya Kibaha, Mkoani Pwani imetoa wiki moja kwa Halmashauri ya Mji wa Kibaha pamoja na Mtendaji kata ya Visiga kupima upya eneo la Mwekezaji KADRI, huko Zegereni -Bwawa la Chumvi ambalo lipo kwenye mgogoro mkubwa na wananchi waliovamia .
Aidha Serikali hiyo, imetoa onyo kwa baadhi ya wananchi na viongozi vinara ambao wanaokuza migogoro ya ardhi kwa maslahi yao binafsi .
Mkuu wa wilaya ya Kibaha,Sara Msafiri alitoa agizo Hilo , wakati alipoingilia kati mgogoro huo baada ya mkurugenzi Mshamu Munde kufumua kamati mbili za wananchi wavamizi waliokuwa wakikinzana kuchelewesha utatuzi wa mgogoro huo .
“Mtendaji wa kata na Mkurugenzi wa Halmashauri mji Kibaha nawapa siku saba muanze zoezi la upimaji ardhi ya mwekezaji ,ikiwa ni mchakato wa kuelekea kutatua mgogoro huu “
“Zoezi litaendelea,na Mwenyekiti wa mtaa atakuwa msimamizi na zoezi litakuwa chini ya vyombo vya ulinzi na Usalama”alisisitiza Sara.
“Mara ya mwisho mliishia mkurugenzi kupanga kamati ya wananchi wa pande mbili za kamati zilizokuwa awali ,tutambue Ni kamati Halali ,kinachotakiwa Ni kufanya utambuzi upya wa ukubwa wa eneo, utambuzi na upimaji wa hekari 250 ambazo mwekezaji anataka kugawa na kujua Kama zitatosha kulingana na watu waliopo ndani toka wavamie ama kuuziwa kinyemeela Hadi mwaka 2017″alisema Sara .
Nae diwani wa Kata ya Visiga Kambi Legeza aliwasihi wananchi hao kuvuta subira na kuiamini Serikali katika zoezi linalokwenda kutatua mgogoro wao.
Kambi alisema, Makubaliano Ni kuwatambua waliouziwa kinyume na taratibu na waliovamia tangu kipindi cha nyuma mwisho 2017 Lakini kufikia 2018 yaliibuka makundi ya kuvamia na wakazi wapya siku Hadi siku na kusababisha mgogoro kuwa mkubwa zaidi.
Awali katibu wa kamati ya wananchi Adam Eliam, alisema kwanza hakuna elimu ya utatuzi wa mgogoro kwa wananchi lengwa.
Alidai hatua iliyopo Ni eneo litambuliwe mipaka ya mwekezaji, kipengele cha pili kutambua hekari alizotoa Mwekezaji, Zina viwanja vingapi,na kutambua wananchi waliopo hadi 2017 .
Mwakilishi wa familia ya mwekezaji KADRI aliyejitambulisha kwa jina la Steve Kadri alisema ,eneo Hilo Lina ukubwa wa hekari 2,800, wanalimiliki kihalali na Ni la kifamilia .
Alieleza, watu waliovamia walikuwa zaidi ya 100 ,na walivyoona eneo linazidi kumegwa wameamua kutoa hekari 250 ili kuondokana na matatizo.

Steve alifafanua, wapo tayari eneo lipimwe na taratibu nyingine zifuatwe kulingana na agizo la Serikali ya wilaya ya Kibaha ,waweze kuendeleza shamba Lao kwa Uhuru .

About the author

Alex Sonna