Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casinowon

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark güncel giriş

porno izle

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

pashagamingg

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat güncel giriş

jojobet

mercurecasino

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

İmajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

DC MBONEKO AKAGUA MIRADI MAJI INAYOTEKELEZWA NA RUWASA SHINYANGA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI

Written by Alex Sonna
 

 

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kushoto) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji kwenye shule ya msingi Masengwa wilayani Shinyanga, (katikati) ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (wapili kutoka kulia) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.

Na Marco Maduhu, SHINYANGA
MKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, amefanya ziara ya kutembelea utekelezaji wa miradi ya maji katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, ambayo inatekelezwa na wakala wa maji vijijini (RUWASA) wilayani humo.

 

 

Mboneko amefanya ziara hiyo leo March 16,2022, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani, ambacho kilele chake ni Machi 22 mwaka huu, na alikuwa ameambatana viongozi mbalimbali wa Serikali, pamoja na chama cha mapinduzi CCM wilayani humo.
Alisema katika miradi ya maji ambayo ameitembelea, amekuta imeshakamilika kwa asilimia kubwa, na kuanza kutoa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi.

 

“Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, alitoa fedha za utekelezaji wa miradi ya maji kwa wananchi, na leo nimeona kazi ambayo imefanyika ambapo miradi inataoa maji, na katika maadhimisho ya wiki ya maji hapa Shinyanga sisi ni kufungulia maji kwenye mabomba tu na kumtua ndoo kichwani mwanamke, na kumuondolea adha ya kufuata maji umbali mrefu,” alisema Mboneko.

“Katika miradi hii ya maji ambayo imetekelezwa na wasihi wananchi muitunze miundombinu yake na kutoiharibu, ili idumu kwa muda mrefu kuwa hudumia na kuendelea kupata maji safi na salama,” aliongeza.

Aidha, alizionya kamati za maji kuwa pesa ambazo watakuwa wakizikusanya kwenye vituo vya kuchotea maji, wazipeleke benki kwenye akaunti husika na siyo kuzifanyia ubadhilifu.
Pia, aliwataka watu ambao wanasimamia kuuza maji kwenye vituo, wawepo muda wote na siyo kuanza kutafutwa, ili wananchi wafurahie huduma hiyo ya maji safi na salama na kuacha kutumia maji yasiyofaa.
Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga vijijini Edward Ngelela, amepongeza utekelezaji wa miradi hiyo ya maji, na kubainisha kuwa huo ndiyo utekelezaji wa ilani ya chama hicho kwa vitendo.
Nao baadhi ya akina mama akiwamo Rebeka Mpuya na Jesca Masanja, walisema huduma hiyo ya maji kuwa karibu, imewaondolea changamoto ya kufuata maji umbali mrefu, na hawataugua tena magonjwa yatokanayo na matumizi ya maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.

Kwa upande wake Meneja Wakala wa Maji vijijni (RUWASA) wilayani Shinyanga Emmael Nkopi, alisema asilimia kubwa ya miradi ya maji ambayo wanaitekeleza wilayani humo umeshakamilika, na mingine kuanza kutoa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akizungumza mara baada ya kukagua mradi wa maji safi na salama katika Kata ya Masengwa wilayani Shinyanga, na kupongeza kazi kubwa ambayo wanaifanya Ruwasa ya utekelezaji wa miradi ya maji wilayani humo.Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga vijijini Edward Ngelela, akizungumza kwenye ziara hiyo ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maji wilayani humo.
Diwani wa Masengwa Nicodemas Simon, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Diwani wa Iselamagazi Isack Sengerema, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Diwani wa Salawe Joseph Buyugu, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Mwanafunzi Betha Emmanuel ambaye anasma shule ya msingi Masengwa, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA)wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani, ambapo shule hiyo nayo ni wanufaika wakuu wa mradi wa maji safi na salama shuleni hapo.
Mwanamke Ester Jilala mkazi wa kijiji cha Ibubu Kata ya Iselamagazi wilayani Shinyanga akielezea furaha ya kupata maji safi na salama kijijini humo.
Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara akiwa katika Gati la maji kijiji cha Mishepo akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (katikati) kuhusu Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akinawa mikono kwenye Kituo cha Kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International. Vituo vingine vimejengwa katika shule ya Msingi Jimondoli na Ng’hama katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara (katikati) akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kuhusu Kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International kwa kushirikiana na Ruwasa.
Wanafunzi wakinawa mikono kwenye kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International kwa kushirikiana na Ruwasa
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (kulia) akiangalia Wanafunzi wakinawa mikono kwenye kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kushoto) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji kwenye shule ya msingi Masengwa wilayani Shinyanga, (katikati) ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (wapili kutoka kulia) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (katikati) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji katika kijiji cha Ibubu Kaya ya Iselamagazi wilayani Shinyanga, (kulia)ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (kushoto) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kulia) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji katika kijiji cha Buduhe kilichopo Kata ya Salawe wilayani Shinyanga, (katikati) ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (kushoto) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kulia) akimtwisha ndoo ya maji mwanamke Mary Station mkazi wa kijiji cha Buduhe Kata ya Salawe wilayani Shinyanga, alipofika kuona mradi wa maji katika kijiji hicho.
Wananchi wakishuhudia ufunguaji wa maji bombani kwenye vituo vya kuchotea maji, katika ziara ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko alipotembelea miradi ya maji wilayani Shinyanga, katika maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Wananchi wakiendelea kushuhudia ufunguaji wa maji kwenye vituo vya kuchotea maji, katika ziara ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko alipotembelea miradi ya maji wilayani Shinyanga, katika maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (katikati) akiwa katika Ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji wilayani Shinyanga ambayo inatekelezwa na wakala wa maji vijijini (RUWASA).
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (katikati) akipiga picha ya pamoja na watumishi wa RUWASA wilayani Shinyanga, mara baada ya kumaliza kukagua miradi ya maji ambayo wanaitekeleza wilayani Shinyanga.
 
Na Marco Maduhu, SHINYANGA.
 
Soma pia :

About the author

Alex Sonna