marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

robinbet

meritking

meritking

grandpashabet

Featured Kitaifa

DC MBONEKO AKAGUA MIRADI MAJI INAYOTEKELEZWA NA RUWASA SHINYANGA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI

Written by Alex Sonna
 

 

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kushoto) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji kwenye shule ya msingi Masengwa wilayani Shinyanga, (katikati) ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (wapili kutoka kulia) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.

Na Marco Maduhu, SHINYANGA
MKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, amefanya ziara ya kutembelea utekelezaji wa miradi ya maji katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, ambayo inatekelezwa na wakala wa maji vijijini (RUWASA) wilayani humo.

 

 

Mboneko amefanya ziara hiyo leo March 16,2022, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani, ambacho kilele chake ni Machi 22 mwaka huu, na alikuwa ameambatana viongozi mbalimbali wa Serikali, pamoja na chama cha mapinduzi CCM wilayani humo.
Alisema katika miradi ya maji ambayo ameitembelea, amekuta imeshakamilika kwa asilimia kubwa, na kuanza kutoa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi.

 

“Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, alitoa fedha za utekelezaji wa miradi ya maji kwa wananchi, na leo nimeona kazi ambayo imefanyika ambapo miradi inataoa maji, na katika maadhimisho ya wiki ya maji hapa Shinyanga sisi ni kufungulia maji kwenye mabomba tu na kumtua ndoo kichwani mwanamke, na kumuondolea adha ya kufuata maji umbali mrefu,” alisema Mboneko.

“Katika miradi hii ya maji ambayo imetekelezwa na wasihi wananchi muitunze miundombinu yake na kutoiharibu, ili idumu kwa muda mrefu kuwa hudumia na kuendelea kupata maji safi na salama,” aliongeza.

Aidha, alizionya kamati za maji kuwa pesa ambazo watakuwa wakizikusanya kwenye vituo vya kuchotea maji, wazipeleke benki kwenye akaunti husika na siyo kuzifanyia ubadhilifu.
Pia, aliwataka watu ambao wanasimamia kuuza maji kwenye vituo, wawepo muda wote na siyo kuanza kutafutwa, ili wananchi wafurahie huduma hiyo ya maji safi na salama na kuacha kutumia maji yasiyofaa.
Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga vijijini Edward Ngelela, amepongeza utekelezaji wa miradi hiyo ya maji, na kubainisha kuwa huo ndiyo utekelezaji wa ilani ya chama hicho kwa vitendo.
Nao baadhi ya akina mama akiwamo Rebeka Mpuya na Jesca Masanja, walisema huduma hiyo ya maji kuwa karibu, imewaondolea changamoto ya kufuata maji umbali mrefu, na hawataugua tena magonjwa yatokanayo na matumizi ya maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.

Kwa upande wake Meneja Wakala wa Maji vijijni (RUWASA) wilayani Shinyanga Emmael Nkopi, alisema asilimia kubwa ya miradi ya maji ambayo wanaitekeleza wilayani humo umeshakamilika, na mingine kuanza kutoa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akizungumza mara baada ya kukagua mradi wa maji safi na salama katika Kata ya Masengwa wilayani Shinyanga, na kupongeza kazi kubwa ambayo wanaifanya Ruwasa ya utekelezaji wa miradi ya maji wilayani humo.Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga vijijini Edward Ngelela, akizungumza kwenye ziara hiyo ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maji wilayani humo.
Diwani wa Masengwa Nicodemas Simon, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Diwani wa Iselamagazi Isack Sengerema, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Diwani wa Salawe Joseph Buyugu, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Mwanafunzi Betha Emmanuel ambaye anasma shule ya msingi Masengwa, akizungumza kwenye ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ya ukaguzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na RUWASA)wilayani Shinyanga, ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya maji duniani, ambapo shule hiyo nayo ni wanufaika wakuu wa mradi wa maji safi na salama shuleni hapo.
Mwanamke Ester Jilala mkazi wa kijiji cha Ibubu Kata ya Iselamagazi wilayani Shinyanga akielezea furaha ya kupata maji safi na salama kijijini humo.
Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara akiwa katika Gati la maji kijiji cha Mishepo akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (katikati) kuhusu Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akinawa mikono kwenye Kituo cha Kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International. Vituo vingine vimejengwa katika shule ya Msingi Jimondoli na Ng’hama katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara (katikati) akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kuhusu Kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International kwa kushirikiana na Ruwasa.
Wanafunzi wakinawa mikono kwenye kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International kwa kushirikiana na Ruwasa
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (kulia) akiangalia Wanafunzi wakinawa mikono kwenye kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kushoto) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji kwenye shule ya msingi Masengwa wilayani Shinyanga, (katikati) ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (wapili kutoka kulia) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (katikati) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji katika kijiji cha Ibubu Kaya ya Iselamagazi wilayani Shinyanga, (kulia)ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (kushoto) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kulia) akifungua Maji Bombani katika kituo cha kuchotea maji katika kijiji cha Buduhe kilichopo Kata ya Salawe wilayani Shinyanga, (katikati) ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Edward Ngelela na (kushoto) ni Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga Emmael Nkopi.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (kulia) akimtwisha ndoo ya maji mwanamke Mary Station mkazi wa kijiji cha Buduhe Kata ya Salawe wilayani Shinyanga, alipofika kuona mradi wa maji katika kijiji hicho.
Wananchi wakishuhudia ufunguaji wa maji bombani kwenye vituo vya kuchotea maji, katika ziara ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko alipotembelea miradi ya maji wilayani Shinyanga, katika maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Wananchi wakiendelea kushuhudia ufunguaji wa maji kwenye vituo vya kuchotea maji, katika ziara ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko alipotembelea miradi ya maji wilayani Shinyanga, katika maadhimisho ya wiki ya maji duniani.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, (katikati) akiwa katika Ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji wilayani Shinyanga ambayo inatekelezwa na wakala wa maji vijijini (RUWASA).
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (katikati) akipiga picha ya pamoja na watumishi wa RUWASA wilayani Shinyanga, mara baada ya kumaliza kukagua miradi ya maji ambayo wanaitekeleza wilayani Shinyanga.
 
Na Marco Maduhu, SHINYANGA.
 
Soma pia :

About the author

Alex Sonna