marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

Uncategorized

BILIONI 1.8 ZAFANIKISHA UJENZI DARAJA LA KISALALA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joseph Mkirikiti (aliyevaa kofia) akiwaongoza wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM kukagua mradi wa ujenzi wa daraja la Kisalala katika Mji Mdogo wa Laela jana linalojengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 1.8 chini ya TANROADS.

Daraja la Kisalala katika barabara ya Laela- Mwimbi-Kizombwe linaloendelea kujengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 1.89 chini ya mkandarasi mzawa M/s Mselem Civil Contractors wa Sumbawanga ambapo limefika asilimia 70 na litakamilika Aprili mwaka huu .

Meneja wa TANROAD Mkoa wa Rukwa Mhandisi Mgeni Mwanga (kulia) akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa daraja la Kisalala jana wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Rukwa kukagua mafanikio ya utekelezaji Ilani.

Mafundi wa kampuni ya M/s Mselem Civil Engineering & Contactors ya Sumbawanga wakaiendelea na kazi ya ujenzi wa daraja la Kisalala lililopo Mji mdogo wa Laela.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Rukwa Ndugu Rainer Lukala akiwa na wajumbe wa kamati ya Siasa ya Mkoa wakikagua mradi wa ujenzi wa daraja la Kisalala katika barabara ya Laela  hadi Kzombwe wilaya ya Sumbawanga jana.

Meneja wa TANROAD Rukwa Mhandisi Mgeni Mwanga (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa CCM Rukwa Ndugu Rainer Lukala (kushoto ) wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Kisalala  jana wilaya ya Sumbawanga lenye urefu wa mita 35 ambalo linajengwa kwa gharama za shilingi Bilioni 1.89 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita.
(Habari na Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa

………………………………………………………….

Na. OMM Rukwa

Katika kuadhimisha mwaka mmoja tangu Serikali ya Awamu ya Sita kuingia madarakani, Wakala wa Barabara mkoa wa Rukwa (TANROADS) umefanikiwa kukamilisha mradi wa ujenzi wa daraja la kimkakati la Kisalala lenye urefu wa mita 35 litakalogharimu shilingi Bilioni 1.89.

Mafanikio hayo yameelezwa jana (16 Machi,2022)  na Meneja wa TANROAD Mkoa wa Rukwa Mhandisi Mgeni Mwanga wakati akitoa taarifa kwa Kamati ya Siasa ya CCM mkoa huo ilipokagua utekelezaji wa mradi huo katika kata ya Mnokola iliyopo Mji mdogo wa Laela wilaya ya Sumbawanga.

Mhandisi Mwanga aliongeza kusema Serikali ilitoa fedha mwezi Septemba 2021 ambapo mkandarasi mzawa M/s Mselem Civil Engineering and Contractors Company Ltd  wa Sumbawanga alipewa mkataba kwa gharama ya shilingi 1,890,117,000/- na kazi ilichukua miezi sita.

Meneja huyo wa (Wakala wa Barabara) TANROADs mkoa alisema daraja la Kisalala lina urefu wa mita 35 ambapo chanzo cha fedha ni Mfuko wa Barabara na kuwa tayari mkandarasi amelipwa shilingi 1,134,070,200/- huku kazi imefikia asilimia 70 ya utekelezaji.

“Tunamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia shilingi Bilioni 1.89 kwa kazi ya ujenzi wa daraja hili ambalo litakuwa mkombozi kwa wananchi wa kijiji cha Kisalala  kuunganishwa  na maeneo mengine ambapo mradi huu utakamilika ,Aprili 16, mwaka huu” alisema Mhandisi Mwanga.

Kuhusu manufaa ya mradi huo, Mhandisi Mwanga alisema kukamilika kwa daraja hilo kutakuwa kiungo cha barabara kati ya Mji mdogo wa Laela na vijiji vya Mwimbi, Kizombe na nchi ya jirani ya Zambia.

Akizungumzia mradi huo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Rukwa Rainer Lukala alisema Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya  Mkoa imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi huo mkubwa na wa kimkakati utakaokuwa mkombozi wa usafiri na uchumi wa wananchi wa Sumbawanga.

Lukala aliwataka wataalam wa TANROAD kuendelea kusimamia kazi za ujenzi wa barabara ili ziwe bora na ziakisi thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

“Kwa daraja hili kwa kulitazama tunaona michango mkubwa wa wakandarasi wazawa kufanikisha miradi na kuwa Serikali ya Chama cha Mapinduzi imetoa fedha nyingi kutatua kero za wananchi. Tanroad tuandalieni ziara ili tukaone mafanikio zaidi kwenye miradi ya miundombinu ili tuweze kuisemea vema kwa wananchi” alisisitiza Lukala.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti alisema kazi ya ujenzi wa miundombinu kufungua maeneo yaliyojifunga inaendelea vema kutekelezwa na TANROAD pamoja na TARURA.

Kuhusu daraja hilo la Kisalala, Mkirikiti alisema ni muhimu kwani liko katika barabara inayoungaisha Sumbawanga na nchi ya Zambia hivyo kukamilika kwake kutakuwa ni fursa nzuri wa wafanyabiashara kukuza shughuli za kiuchumi. 

Daraja hilo  lina kimo cha meta saba (7) na upana wa meta kumi (10) njia za magari na meta tatu (3) njia ya waenda kwa miguu na ujenzi wake utakamilika Aprili 16 mwaka huu.

About the author

Alex Sonna