Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO:’AJENDA YA MAZINGIRA NI AJENDA YA KILA MTU’

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.Dkt. Selemani Jafo, akizungumza na vijana wa vyuo mbalimbali vya Mkoa wa Dar es Salaam (hawapo pichani) katika mkutano wa elimu ya mazingira ulioandaliwa na Global Youth Parliament, uliofanyika katika ukumbi wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Tekinolojia Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.

Washiriki wa Mkutano wa elimu ya Mazingira kutoka vyuo vikuu vya Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt. Selemani Jafo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.Selemani Jafo, akiwa meza kuu wakati wa Mkutano wa elimu ya mazingira, iliyoandaliwa na Global Youth Parliament uliyofanyika Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.

*********************

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Selemani Jafo, amesema kuwa ajenda ya Mazingira ni  ya kila mtu, kwani hali ya joto imeongezeka kwa kasi na kupelekea ukame ambao  Taifa letu limeshuhudia  maeneo mbalimbali maji yalikuwa hayapatikani, na Jiji la Dar es Salaam lilipata mgao mkubwa wa maji pamoja na umeme hii ni kutokana na uharibifu wa mazingira.

Aliyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa utoaji elimu kwa vijana ulioandaliwa na Global Youth Parliament uliofanyika ukumbi wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Tekinolojia (COSTECH) uliopo Kijitonyama, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Jafo amesema kuwa uchafuzi wa mazingira unaweza kuathiri uchumi wa Nchi akatolea mfano kipindi cha  kati ya mwezi wa saba mpaka wa kumi na mbili Nchini, kulikuwa na ukame wa hali ya juu na kusababisha baadhi ya viwanda kushindwa kuzalisha kutokana na mgao wa umeme uliojitokeza.

Aidha ameongeza kuwa,   ajenda ya mazingira ni ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hivyo ni vizuri kumuunga mkono ili kuweza kufikia adhima hiyo.

“Mnamo tarehe 5/6/2021 tuliweza kuzindua kampeni kabambe iitwayo “Mazingira yangu, Tanzania yangu Ninaipenda Daima” kampeni hiyo ina chembechembe za kizalendo yenye ajenda ya kwamba sasa mazingira tuyabadilishe iwe ni suala zima la maisha yetu. Kila mtu alibebe suala la mazingira kama suala lake binafsi na ndio maana hivi juzi tumezindua kampeni iitwayo soma na mti hii ni sehemu ya kampeni kabambe ya Mazingira yangu, Tanzania yangu Ninaipenda Daima ni kwamba Nchi yetu ina wanafunzi takribani million 14.1 wa shule ya msingi na Sekondari ndio maana tukasema kila mwanafunzi apande angalau mti mmoja.”

Kwa upande wake Bw. Arnold Mapinduzi Meneja Kanda ya Mashariki Kaskazini (NEMC), amesema kuwa moja ya jukumu la NEMC ni kutoa elimu ya mazingira Kwa jamii hivyo kuwepo kwa vijana kama hawa  ni fursa kwa NEMC na Taifa kwa ujumla, kueneza elimu kwa vijana ni nyenzo kubwa katika kufikisha ujumbe kwa jamii Kwa hiyo wanapokuwa na jambo hili mapema watasaidia kuelimisha ndugu,wazazi hata vijana wenzao.

Vile vile Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Tekinolojia (COSTEC) Dkt. Philbert amewapongeza vijana hao kwa juhudi wanayoifanya katika kutoa elimu kwa vijana wenzao juu ya masuala mazima ya mazingira.

About the author

Alex Sonna