Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

TAKUKURU MKOA WA KINONDONI WASHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUWAFARIJI WAZEE WAHITAJI.  

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni Bi. Bibie Msumi (wa kwanza kutoka kushoto) akimkabidhi zawadi Mwanzilishi wa Kituo Cha Kulea cha Tushikane Pamoja Foundation Kilichopo Manispaa ya Ubungo Mkoa wa Dar es Salaam.

Mzee Philipo Mchopa kutoka Kituo Cha Tushikamane Pamoja Foundation akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea zawadi kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni.

Wafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelea Kituo cha Kulea Wazee cha Tushikamane Pamoja Foundation kwa ajili ya kuwasaidia wahitaji katika kituo hicho

………………………………………………………….

NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni leo imeadhimisha siku ya Wanawake Duniani kwa kwenda kuwafariji wahitaji katika Kituo cha Kulea Wazee cha Tushikamane Pamoja Foundation kilichopo Manispaa ya Ubungo Mkoa wa Dar es Salaam.

Katika kufariji Wazee wa Kituo cha Tushikamane Pamoja Foundation, Wanawake TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni wametoa sadaka ya vitu mbalimbali ikiwemo Mchele, Unga wa Mahindi, Mafuta ya kupikia pamoja na sukari.

Akizungumza baada ya kukabidhi sadaka kwa wahitaji, Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni Bi. Bibie Msumi, amesema kuwa mwaka huu wameamua kusherekea siku ya wanawake duniani kwa kutoa sadaka kwa wazee kutokana wameonekana kuwa na uwitaji.

Amesema kuwa sadaka waliotoa ni sehemu ya kusherekea siku ya wanawake duniani, huku akitoa wito kwa jamii kuwa na utamaduni wa kutoa kiasi chochote kama sadaka kwa wahitaji wakiwemo watoto yatima.

“Taasisi nyengine, vikundi mbalimbali chochote kile mtakachopata pelekeni kwa watu wenye uwitaji kama tulivyokuja sisi hapa kuwapa wazee, sio lazima kiwe kikubwa wenyewe wanajua kitawasaidia na hakuna kidogo katika kutoa sadaka” amesema. Bi. Msumi.

Mchunguzi wa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni Bi. Dorothea Mrema, amesema kuwa kujumu lao ni kuzuia na kupambana na rushwa pamoja na kushirikiana na jamii katika nyanja mbalimbali.

“Sisi ni wazee watarajiwa, tumekuja kusambaza upendo kwa kuisaidia jamii katika mambo mbalimbali, tunaomba tuendelee kuwa pamoja katika kushirikiana” amesema Bi. Mrema.

Mwanzilishi wa Kituo cha Kulea Wazee cha Tushikamane Pamoja Foundation Bi. Rose Mwapachu, amewashukuru wanawake kutoka katika Taasisi ya TAKUKURU Mkoa Kinondoni kwa sadaka yao ambayo wanakwenda kuitumia zaidi ya miezi miwili katika mahitaji ya chakula.

“Naomba isiwe mara ya mwisho kuja kututembelea, undugu na urafiki huu uendelee kila siku pale mtakapo pata nafasi karibuni tena, Mwenyezi Mungu awabariki” amesema Bi. Mwapachu.

Hata hivyo ameeleza kuwa miongoni mwa changamoto kubwa iliyopo katika kituo hicho ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi pamoja na usafiri wa kuwapeleka wazee hospitali kupata huduma ya matibabu pale wanapokuwa wagonjwa.

Akizungumza kwa niaba ya wazee wa Kituo cha Tushikamane Pamoja Foundation, Mzee Philipo Mchopa,  amesema kuwa leo imekuwa ni siku ya baraka kwao baada ya kupata zawadi ambayo inakwenda kuwa msaada katika mahitaji ya chakula.

“Tunashukuru sana kwa kujitoa, kuwa na moyo mzuri, kwani wengine wamekuwa na tabia ya kutowajali wazee na kuwaacha bila msaada, muendelee kutujali bado tunawaitaji msitochoke, hongereni sana wanawake” amesema Mzee Mchopa.

Amesema kuwa kitendo cha kutoa sadaka ni ibada kubwa, kwani watu wanaweza wakasali kila siku kanisani na bado ikawa sawa na bure, uku akiishauri jamii ifanye ibada kwa njia ya matendo kwani ni bora zaidi.

Ameipongeza TAKUKURU kwa kuendelea kufanya kazi ya kuzuia na kupambana na rushwa kwa sababu rushwa ni dhambi mbele ya Mwenyezi Mungu na ni adui mkubwa wa  haki.

Kwa upande wake Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Ubungo Bi. Zainabu Masilamba, amesema kuwa kituo hicho kimekuwa msaada mkubwa kwa wazee kutoka maeneo mbalimbali katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Bi. Masilamba ameeleza kuwa katika jitiada za kupunguza wazee waliotelekezwa na ndugu zao, wameendelea kutoa elimu katika vikundi mbalimbali kuhusu kuwatuza wazee.

Amefafanua kuwa unyanyasaji kwa wazee kwa kiasi fulani unatokana na mzee wenyewe kutowajibika katika kipindi cha malezi ya mtoto wake akiwa mdogo.

“Wazee wa kiume ni wengi ambao wametelekezwa na watoto wao, tunashauri wakina baba wawatuze watoto wao, kwani katwimu zinaonesha wakibaba ni wengi wanatelekeza watoto kuliko wakinamama” amesema

About the author

Alex Sonna