marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

betist

betist

Featured Kitaifa

JAMII YAASWA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WANAWEKE

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake linalofanyika mkoani Arusha.

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizindua tafiti ya matukio ya ukatili wa kijinsia dhidi ya Wanawake na Watoto uliofanywa na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru katika kupambana na vitendo hivyo katika jamii.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizindua Programu ya mafunzo kwa Wasichana na daftari la kieletroniki la wajasiriamali na matokeo ya uzinduzi huu ni kuwawezesha wasichana kupata mafunzo ya Uongozi na kuwawezesha wajasirimali Machinga kwa kuwatambua na kuwasajili kwa lengo la kuwaunganisha katika fursa mbalimbali.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la UN Women Hoddan Addou na Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary Oniel mara baada ya Kongamano la Kitaifa la Wanawake lililofanyika mkoani Arusha.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akitia saini katika kibango mara baada ya kuzindua Programu ya mafunzo kwa Wasichana na daftari la kieletroniki la wajasiriamali na matokeo ya uzinduzi huu ni kuwawezesha wasichana kupata mafunzo ya Uongozi na kuwawezesha wajasirimali Machinga kwa kuwatambua na kuwasajili kwa lengo la kuwaunganisha katika fursa mbalimbali

Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake linalofanyika mkoani Arusha kwa lengo la kuwakutanisha Wanawake katika masuala mbalimbali yahusuyo maendeleo ya Wanawake na taifa kwa ujumla.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

……………………………………………………………….

Na WMJJWM Arusha

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju ameiasa jamii kupambana na vitendo vya ukatili hasa dhidi ya Wanawake ili kutorudisha nyuma juhudi za Serikali na wadau za kuleta Usawa wa kijinsia.

Ameyasema hayo mkoani Arusha katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake lililowakutanisha Wanawake na wadau wengine kujadili changamoto zinazowakabili Wanawake na Ustawi wao.

Ameongeza kuwa jamii inatakiwa kusimama katika kupambana na kupinga Mila hasi za kumnyima mwanamke haki na kumkandamiza katika kupata fursa mbalimbali zinazojitokeza kwenye jamii ili kumuwezesha mwanamke kuwa na uwezo wa kutatua changamoto zinazomkabili.

Aidha ameitaka Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kusaidia kubadili fikra kwenye jamii ya namna wanavyomthamini na kumshirikisha mwanamke katika masuala mbalimbali hasa yanayohusu maamuzi ndani ya familia na jamii.

Pia ameitaka jamii na wadau mbalimbali kuendelea kutoa taarifa ya vitendo vya ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto katika vyombo husika ili kusaidia juhudi za Serikali na wadau kupambana na vitendo vya ukatili ili kuwa na Tanzania isiyo na vitendo vya ukatili.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya uendeshaji Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Rosemarie Mwaipopo amesema Taasisi itaendelea kusimamia utekelezaji wa afua mbalimbali za kuhakikisha wanawake wanawezeshwa ili kuhakikisha wanapata fursa sawa katika Sekta mbalimbali.

Naye Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt Bakari George amesema lengo la Kongamano hilo ni kuwakutisha Wanawake na Makundi mengine na kuhakikisha kuwa Wanawake wanapata fursa mbalimbali zikiwemo za kiuchumi

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashiriki Peter Mathuki amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha Usawa wa kijinsia unazingatiwa katika kipindi chakecha uongozi hasa mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto hivyo ameihakikishia Wizara kuendelea kushirikiana nayo ili kuunga mkono mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili.

Akizungumza katika Kongamano hilo Mkurugenzi wa Shirika la Legal Service Facility (LSF) Lulu Ng’wanakilala amesema Shirika lake litaendelea kusaidia Wanawake kupata haki zao katika masuala ya kisheria na kusema kuwa kati ya matukio kumi matukio manne yanayoripotiwa katika takwimu za Shirika hilo matukio hayo ni ya unyanyasaji wa Kijinsia ikiwa ni sawa na asilimia 26.5.

Katika hatua nyingine Naibu Katibu Mkuu Amon Mpanju amezindua Programu ya mafunzo kwa Wasichana na daftari la kieletroniki la wajasiriamali na matokeo ya uzinduzi huu ni kuwawezesha wasichana kupata mafunzo ya Uongozi na kuwawezesha wajasirimali Machinga kwa kuwatambua na kuwasajili kwa lengo la kuwaunganisha katika fursa mbalimbali.

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo Shirika la Legal Service Facility (LSF) imeandaa Kongamano la Kitaifa la Wanawake lenye lengo la kuwakutanisha Wanawake na wadau wengine katika kujadili changamoto zinazowakabili Wanawake na Ustawi wao.

About the author

Alex Sonna