Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

betewin

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

JAMII YAASWA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WANAWEKE

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake linalofanyika mkoani Arusha.

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizindua tafiti ya matukio ya ukatili wa kijinsia dhidi ya Wanawake na Watoto uliofanywa na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru katika kupambana na vitendo hivyo katika jamii.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizindua Programu ya mafunzo kwa Wasichana na daftari la kieletroniki la wajasiriamali na matokeo ya uzinduzi huu ni kuwawezesha wasichana kupata mafunzo ya Uongozi na kuwawezesha wajasirimali Machinga kwa kuwatambua na kuwasajili kwa lengo la kuwaunganisha katika fursa mbalimbali.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la UN Women Hoddan Addou na Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary Oniel mara baada ya Kongamano la Kitaifa la Wanawake lililofanyika mkoani Arusha.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akitia saini katika kibango mara baada ya kuzindua Programu ya mafunzo kwa Wasichana na daftari la kieletroniki la wajasiriamali na matokeo ya uzinduzi huu ni kuwawezesha wasichana kupata mafunzo ya Uongozi na kuwawezesha wajasirimali Machinga kwa kuwatambua na kuwasajili kwa lengo la kuwaunganisha katika fursa mbalimbali

Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake linalofanyika mkoani Arusha kwa lengo la kuwakutanisha Wanawake katika masuala mbalimbali yahusuyo maendeleo ya Wanawake na taifa kwa ujumla.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

……………………………………………………………….

Na WMJJWM Arusha

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju ameiasa jamii kupambana na vitendo vya ukatili hasa dhidi ya Wanawake ili kutorudisha nyuma juhudi za Serikali na wadau za kuleta Usawa wa kijinsia.

Ameyasema hayo mkoani Arusha katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake lililowakutanisha Wanawake na wadau wengine kujadili changamoto zinazowakabili Wanawake na Ustawi wao.

Ameongeza kuwa jamii inatakiwa kusimama katika kupambana na kupinga Mila hasi za kumnyima mwanamke haki na kumkandamiza katika kupata fursa mbalimbali zinazojitokeza kwenye jamii ili kumuwezesha mwanamke kuwa na uwezo wa kutatua changamoto zinazomkabili.

Aidha ameitaka Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kusaidia kubadili fikra kwenye jamii ya namna wanavyomthamini na kumshirikisha mwanamke katika masuala mbalimbali hasa yanayohusu maamuzi ndani ya familia na jamii.

Pia ameitaka jamii na wadau mbalimbali kuendelea kutoa taarifa ya vitendo vya ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto katika vyombo husika ili kusaidia juhudi za Serikali na wadau kupambana na vitendo vya ukatili ili kuwa na Tanzania isiyo na vitendo vya ukatili.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya uendeshaji Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Rosemarie Mwaipopo amesema Taasisi itaendelea kusimamia utekelezaji wa afua mbalimbali za kuhakikisha wanawake wanawezeshwa ili kuhakikisha wanapata fursa sawa katika Sekta mbalimbali.

Naye Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt Bakari George amesema lengo la Kongamano hilo ni kuwakutisha Wanawake na Makundi mengine na kuhakikisha kuwa Wanawake wanapata fursa mbalimbali zikiwemo za kiuchumi

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashiriki Peter Mathuki amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha Usawa wa kijinsia unazingatiwa katika kipindi chakecha uongozi hasa mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto hivyo ameihakikishia Wizara kuendelea kushirikiana nayo ili kuunga mkono mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili.

Akizungumza katika Kongamano hilo Mkurugenzi wa Shirika la Legal Service Facility (LSF) Lulu Ng’wanakilala amesema Shirika lake litaendelea kusaidia Wanawake kupata haki zao katika masuala ya kisheria na kusema kuwa kati ya matukio kumi matukio manne yanayoripotiwa katika takwimu za Shirika hilo matukio hayo ni ya unyanyasaji wa Kijinsia ikiwa ni sawa na asilimia 26.5.

Katika hatua nyingine Naibu Katibu Mkuu Amon Mpanju amezindua Programu ya mafunzo kwa Wasichana na daftari la kieletroniki la wajasiriamali na matokeo ya uzinduzi huu ni kuwawezesha wasichana kupata mafunzo ya Uongozi na kuwawezesha wajasirimali Machinga kwa kuwatambua na kuwasajili kwa lengo la kuwaunganisha katika fursa mbalimbali.

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo Shirika la Legal Service Facility (LSF) imeandaa Kongamano la Kitaifa la Wanawake lenye lengo la kuwakutanisha Wanawake na wadau wengine katika kujadili changamoto zinazowakabili Wanawake na Ustawi wao.

About the author

Alex Sonna