Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AKISHIRIKI MKUTANO WA UNEP NAIROB KENYA

Written by mzalendoeditor

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 3 Machi, 2022 akishiriki Mkutano maalum wa kuadhimisha miaka hamsini ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) unaofanyika katika makao makuu yake Jijini Nairobi, Kenya.

About the author

mzalendoeditor