Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

pusulabet

Featured Kitaifa

WAMILIKI WA HOSPITALI BINAFSI WAMEPIGWA MARUFUKU KUPOKEA WATUMISHI WA AFYA WA SERIKALI NDANI YA MUDA WA KAZI

Written by Alex Sonna
.com/img/a/

Na WAF-MWANZA

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe amepiga marufuku Wamiliki wa Hospitali Binafsi tabia ya kuwapokea Watumishi wa afya wa Serikali wakati wa muda unaowataka wawe katika vituo vyao vya Serikali. 

Dkt. Sichalwe ametoa agizo hilo leo Jumatano Februari 23, 2022 wakati akiongea na Wajumbe wa Bodi ya ushauri ya hospitali Binafsi, Wataalamu wa afya ngazi ya Mkoa, na Jiji pamoja na Wamiliki wa Hospitali Binafsi Jijini Mwanza. 

Amesema, Serikali haina lengo la kumkataza Mtoa huduma yoyote kufanya kazi katika vituo vya kutolea huduma binafsi, bali ni lazima utaratibu ufuatwe ili kuepuka changamoto ya upungufu wa Watoa huduma katika vituo vya Serikali wakati wa muda husika. 

“Ni marufuku kumpokea Mtumishi aliyeajiriwa na Serikali, ndani ya muda wa kazi wa Serikali, tukikupata hatutakuwa na huruma, kwasababu tunataka utaratibu ufuatwe Watumishi waje baada ya muda wa Serikali kumalizika.” Amesema Dkt. Sichalwe. 

.com/img/a/

Mbali na hayo, Dkt Sichalwe amewaelekeza Wamiliki hao kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi, kuanzia mgonjwa anapoingia getini, anapopata huduma mpaka anapoondoka ili kuondoa malalamiko yanayoweza kuzuilika. 

Sambamba na hilo, amewataka watoa huduma za afya kuepuka vitendo vya Rushwa na kufanya kazi kwa juhudi na weledi kulingana na taratibu na miongozo ya taaluma zao wakati wa kuwahudumia wananchi ili kuondoa uvunjifu wa haki na malalamiko yanayoweza kuzuilika. 

Aidha, amepiga marufuku vitendo vya kutoa dawa zikizopita muda kwa wagonjwa, huku akisisitiza Serikali imeanza kufuatilia hilo na watakaobainika watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa watoa huduma wengine. 

“Wapo miongoni mwetu ambao sio waaminifu, utakuta dawa imepita muda wake lakini wanaendelea kuitoa kwa wagonjwa, na hii mara nyingi inatokana na utunzaji mbaya wa dawa hizo kwenye vyumba vya vya kuhifadhia dawa” Amesema. 

.com/img/a/

Mbali na hayo, Dkt. Sichalwe amewaelekeza kuhakikisha wanaajiri watumishi walio na vigezo na wanaotambulika na Mabaraza yao ili kuongeza tija katika kuboresha utoaji huduma kwa wananchi, hasa katika eneo la maabara, eneo la dawa na uzazi. 

Pia, Amewaelekeza kufuata Sheria na utaratibu, hasa katika ufunguaji wa Hospitali na Maabara ili kuepuka kuwa na Maabara bubu ambazo nyingi zinatoa huduma kwa viwango duni hivyo kumnyima fursa mwananchi kupata huduma bora za afya. 

Naye Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Thomas Rutachunzibwa amemshukuru Mganga Mkuu kwa kutenga muda na kuja kuongea na Wamiliki wa Hospitali Binafsi katika Mkoa wa Mwanza jambo litaloongeza tija katika kuboresha utoaji huduma kwa wananchi. 

Hata hivyo, amewakumbusha Wataalamu wa afya katika Mkoa huo hususan Madaktari kuhakikisha wanahuisha leseni zao kulingana na Sheria na taratibu za baraza lao ili kupata kibali cha kuendelea kutoa huduma katika vituo vya kutolea huduma za afya. 

About the author

Alex Sonna